Benki ya Afrika(BOA Bank) yapigia chapuo matumizi bora ya mikopo
Na Mwandishi wetu, BagamoyoWATANZANIA wametakiwa kujenga tabia ya kukopa na kurejesha kwa wakati mikopo katika taasisi za fedha kwani huo ni msingi muhimu wa kujipatia maendeleo kwa mtu binafsi na katika ngazi ya taasisi pia.
Mkurugenzi wa Fedha wa Benki ya Afrika, Bw. Mussa Mwachaga amesema mwishoni mwa juma wakati akikabidhi msaada wa Tsh. milioni 10 kwa shule ya Sekondari ya Baobab kuwa uaminifu katika kurejesha mikopo huleta maendeleo ya haraka kwa watu binafsi na taasisi mbalimbali.
“Hili...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo14 May
BOA yatoa mikopo nafuu sekta ya afya
BENKI ya BOA Tanzania imeanza kutoa mikopo ya riba nafuu kwa sekta ya afya, ili kuwezesha zahanati, vituo vya afya na hospitali kutoa huduma bora kwa wananchi.
11 years ago
TheCitizen31 Jan
Afford sport financiers, Boa Bank urges govt
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Benki ya NMB yazindua mfumo wa kisasa wa utunzaji wa taarifa mikopo, wateja sasa kupata mikopo ndani ya siku 4
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc Ineke Bussemaker akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu mfumo wa kisasa wa utunzaji wa taarifa za mikopo uliozinduliwa na Benki hiyo. Mfumo huo utatutumika kwenye kanzi data ya Mikopo ya Benki hiyo ( CRB’s) kwa lengo la kuwawezesha wateja wakubwa na wadogo wa wanaoomba mikopo kuipata ndani ya siku 1 hadi 4 .
Afisa Mkuu Udhibiti wa Hasara wa Benki ya NMB Bw. Tom Borghols (wa pili kutoka kushoto) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa Habari (hawapo...
9 years ago
Mwananchi08 Oct
Benki ya BOA kunufaisha watanzania
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EnLAz5PBx4o/U79nbeXsMzI/AAAAAAAF0vs/dc0O7gDq-Hg/s72-c/unnamed.jpg)
BALOZI KAMALA ASHUKURU BENKI YA MAENDELEO YA ULAYA KWA MIKOPO NA MISAADA INAYOITOA KWA NCHI ZA AFRIKA, KARIBIANI NA PASIFIKI (ACP)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EnLAz5PBx4o/U79nbeXsMzI/AAAAAAAF0vs/dc0O7gDq-Hg/s1600/unnamed.jpg)
Kamati ya Mabalozi wa nchi za ACP leo imekutana na Uongozi wa Benki ya Maendeleo ya Ulaya, Luxembourg...
10 years ago
Bongo503 Sep
Benki ya BOA kuwawezesha wasambazaji wa bidhaa za Vodacom
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
BOA Bank yamwaga zawadi kwa wateja wanaoshiriki kampeni ya ‘weka akiba ushinde’
Meneja Mwanandamizi wa Masoko na Mawasiliano wa BOA Tanzania, Bw. Solomon Haule akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na kampeni yake inayoendelea ya ufunguzi wa akaunti mpya kwenye benki hiyo na kuendelea kuweka akiba katika zabuni ili kuhimiza tabia ya kujiwekea akiba nchini, ambapo benki hiyo imewazawadia washindi watano mapema wikiendi hii kwa kufungua akaunti na kuweka akiba na benki ya BOA Tanzania.
Mwandishi Wetu
Benki ya Afrika Nchini Tanzania (BOA Tanzania)...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jETlAwMNhf8/XrP595VzUZI/AAAAAAALpZM/FQUEV-yevLMA7JzY1eBYGNJoHg8IdtgAgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-07%2Bat%2B1.43.42%2BPM.jpeg)
MTUMISHI WA BENKI YA BOA KIZIMBANI AKIKABILIWA NA MASHTAKA SABA YA WIZI, UTAKATISHAJI FEDHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-jETlAwMNhf8/XrP595VzUZI/AAAAAAALpZM/FQUEV-yevLMA7JzY1eBYGNJoHg8IdtgAgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-07%2Bat%2B1.43.42%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qoBytkvHX7c/XrP591TREOI/AAAAAAALpZQ/catm5v4ZwykIX_SiMoj5Sa3sqGUU9NvwACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-07%2Bat%2B1.08.48%2BPM.jpeg)
Akisoma hati ya mashtaka, wakili wa serikali Mwandamizi Anna Chimpaye amedai mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba kuwa mshtakiwa ametenda makosa ya wizi akiwa mtumishi katika tarehe tofauti tofauti kuanzia Januari 2017 hadi Novemba...
9 years ago
Dewji Blog09 Oct
Benki ya BOA waletea wateja wake huduma mpya ya kutuma fedha Kimataifa ya ‘WARI’
Mkurugenzi wa ICT , Bw. Willington Munya akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa utambulisho wa huduma hiyo mpya ya BOA. anayefuatia ni Meneja wa E.Banking, Bi. Editha Jumbe na wa mwisho ni Afisa masoko Danieli Sarungi. ( Picha na Niccomediatz).
Benk ya BOA Tanzania imeleta huduma mpya kwa wateja wake ijulikanayo kama WARI-huduma ya kutuma fedha kimataifa ambapo kwa sasa huduma hiyo imeingia nchini na mteja anaweza kutuma na kupokea fedha ndani na nje bila ya kuwa...