Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BOA Bank yamwaga zawadi kwa wateja wanaoshiriki kampeni ya ‘weka akiba ushinde’

1 (1)

Meneja Mwanandamizi wa Masoko na Mawasiliano wa BOA Tanzania, Bw. Solomon Haule akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na kampeni yake inayoendelea ya ufunguzi wa akaunti mpya kwenye benki hiyo na kuendelea kuweka akiba katika zabuni ili kuhimiza tabia ya kujiwekea akiba nchini, ambapo benki hiyo imewazawadia washindi watano mapema wikiendi hii kwa kufungua akaunti na kuweka akiba na benki ya BOA Tanzania.

Mwandishi Wetu

Benki ya Afrika Nchini Tanzania (BOA Tanzania)...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

NMB YAKABIDHI ZAWADI KWA WASHINDI WA PROMOSHENI YA WEKA NA USHINDE

BENKI ya NMB Jana ilikabidhii zawadi kwa washindi wa promosheni ya Weka na Ushinde. Zaidi ya wateja 165 walijishindia zawadi mbali mbali ikiwa ni: washindi 17 wa Bajaj, wa Pikipiki aina ya ‘Boxer’ 16 na Baiskeli aina ya ‘Phoenix’ 137.
Washindi hao wamepatikana ndani ya mwezi mmoja tangu kuanzishwa kwa promosheni hii ya Weka na Ushinde ambayo inaendelea hadi mwishoni mwa mwaka huu 2014.
Benki ya NMB inatoa wito kwa wananchi kwa ujumla kuchangamkia fursa kwa kushiriki kampeni ya Weka na...

 

11 years ago

Michuzi

Benki ya NBC yakabidhi zawadi ya gari kwa mshindi wa kampeni ya Weka Upewe

 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Tanzania, Bi Mzinga Melu (kushoto) akikabidhi zawadi ya gari jipya aina ya Suzuki Swift kwa Bi. Mary Malifedha Popote mkazi wa Kigoma, aliyeibuka mshindi wa zawadi kubwa ya promosheni ya Weka Upewe iliyokuwa ikiendeshwa na NBC. Hafla ya makabidhiano ilifanyika jijijini Dar es Salaam leo. Wengine kutoka kulia ni Mkuu wa Huduma za Rejareja za Kibenki wa benki hiyo, Mussa Jallow, Mkuu wa Bidhaa za Kuwekeza na Wateja Wakubwa, Andrew Massawe na Mkuu wa...

 

11 years ago

Michuzi

NBC yakabidhi zawadi ya Gari kwa mshindi wa promosheni ya Weka Upewe

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Tanzania, Bi Mzinga Melu (kushoto) akikabidhi zawadi ya gari jipya aina ya Suzuki Swift kwa Bi. Mary Malifedha Popote mkazi wa Kigoma, aliyeibuka mshindi wa zawadi kubwa ya promosheni ya Weka Upewe iliyokuwa ikiendeshwa na NBC. Hafla ya makabidhiano ilifanyika jijijini Dar es Salaam jana. Wengine kutoka kulia ni Mkuu wa Huduma za Rejareja za Kibenki wa benki hiyo, Mussa Jallow, Mkuu wa Bidhaa za Kuwekeza na Wateja Wakubwa, Andrew Massawe na Mkuu wa...

 

10 years ago

Michuzi

BOA Tanzania yakabidhi zawadi mbali mbali kwa washindi wake leo

Meneja Mwanandamizi wa Masoko na Mawasiliano wa BOA Tanzania, Bw. Solomon Haule  akizungymza na waandishi wa habari (hawapi pichani) kuhusu kampeni ya benki ya ufunguzi wa akaunti mpya,ambayo inawawezesha wateja wake watano kujinyakulia zawadi mbali mbali.Mteja wa Benki ya BOA aliejishindia zawadi ya simu aina ya Samsung Galaxy Grand Duos,Ibrahim Agwanda akiionyesha simu hiyo kwa wanahabari (hawapo pichani) mara baada ya kukabidhiwa na Meneja Mwandamizi wa Fedha wa BOA, Bw. Cleopa...

 

11 years ago

GPL

BIG BON WASHEREHEKEA VALENTINE'S DAY KWA KUTOA ZAWADI KWA WATEJA WAO

Wafanyakazi wa kituo cha kuuza mafuta cha Big Bon kilichopo Sinza-Mori jijini Dar es Salaam wakipozi huku wakiwa na zawadi za Valentine's kwa ajili ya wateja wao. Mmoja wa wafanyakazi wa Big Bon akimpatia mteja zawadi kwa ajili ya Siku ya Wapendanao.…

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA MAFUTA YA TOTAL YAHAMASISHA UPENDO KWA KUTOA ZAWADI YA 'VALENTINE DAY' KWA WATEJA


Meneja Maduka, Chakula na Huduma wa Kampuni ya Total nchini Tanzania Jane Mwita akitoa zawadi ya ua kama ishara ya upendo kwa wateja wao ambao wamefika kujaza mafuta katika Kituo cha Mafuta cha Total cha Mliman City jijini Dar es Salaam.Kampuni hiyo imeamua kusambaza upendo katika siku ya Valentine.
Meneja wa Kituo cha Mafuta cha Total Mliman City jijini Dar es Salaam Luqman Salum akitoa zawadi ya ua kwa mteja wao ambaye amefika kujaza mafuta kwenye kituo hicho leo siku ya Valentine...

 

11 years ago

Michuzi

Washindi wa promosheni ya WEKA UPEWE ya NBC wakabidhiwa zawadi zao

Mshindi wa promosheni ya WEKA UPEWE ya NBC Limited Bw. Abib Gervas Ndendya (kushoto) akipokea funguo ya bodaboda kutoka kwa Meneja wa tawi la NBC Njombe bi Dorah Godfrey Lewis (kulia) baada ya kuibuka mshindi katika promosheni hiyo hivi karibuni na baadhi ya wafanyakazi wa tawi hilo wakishuhudia makabidhiano hayo yaliyofanyika Njombe. Droo kubwa ya promosheni hiyo itafanyika wiki ijayo. Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Kagera Mheshimiwa Elizabeth Batenga akiwa na wafanyakazi wa NBC tawi la...

 

11 years ago

TheCitizen

Afford sport financiers, Boa Bank urges govt

Bank of Africa (Boa) has called upon the government to consider tax rebates to corporate entities that support sport activities.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani