CHECK MAHOJIANONA MCHEZAJI MPYA WA YANGA
![](http://img.youtube.com/vi/6a55RJNE4TI/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0qR8BrPZ-Vbfyj5mw6TM8j1NntAbYVmxZQbZZIzBchOFT7Qga3ALfuBsmSprQuR2Uxp0z46A2xBX3s8xaJx8QbtSyGCGhO0m/NsaJob.jpg?width=650)
MCHEZAJI WA YANGA HALI TETE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cZ399qCqOaHW3diD1A5c7bKLuEO1QDVqf1r3647kfKVErwN*TgpDc8pJyO3x94qVQuqZM39BYzVBNMBwpUMVkSZF1YunA9Yc/straka.jpg?width=650)
MCHEZAJI YANGA APIGWA PINGU...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-qNRWiEacmYM/XvMgLggarQI/AAAAAAABMkw/tjR8Sd3eEoM0VijBZNarfRIqtJzU_5gHwCLcBGAsYHQ/s72-c/EbQPn94XsAYjjXj.jpeg)
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Pichaz 6 za utambulisho wa mchezaji wa kimataifa wa Yanga aliyetokea Niger Issoufou Boubacar Garba
Headlines za ujio wa kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Niger aliyesajiliwa na klabu ya Dar Es Salaam Young African Issoufou Boubacar Garba zilichukua nafasi sana katika vyombo vya habari, ila jioni ya December 15 uongozi wa klabu ya Dar Es Salaam Young African ulithibitisha kumsajili mchezaji huyo kwa mkataba wa miaka miwili, licha ya taarifa za awali […]
The post Pichaz 6 za utambulisho wa mchezaji wa kimataifa wa Yanga aliyetokea Niger Issoufou Boubacar Garba appeared first on...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-705-KEaj3Hc/U76czNPcX_I/AAAAAAAF0f0/nQ8cfxBDHv0/s72-c/MAYAI+NA+MOSHA.jpg)
matapeli walamba email ya Mchezaji wa zamani wa Yanga na Taifa Stars Ally Mayay Tembele
![](http://4.bp.blogspot.com/-705-KEaj3Hc/U76czNPcX_I/AAAAAAAF0f0/nQ8cfxBDHv0/s1600/MAYAI+NA+MOSHA.jpg)
Mbaya zaidi, katika email yake hiyo Ally Mayay Tembele aliwahi kuambatanisha nyaraka nyeti kadhaa ikiwemo pasipoti ambazo wezi hao wanazitumia kama alama...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-g55acd_ZP6o/VZmBbwFzBmI/AAAAAAAHnLI/O96jVgF3zCo/s72-c/kk.png)
Klabu ya Kimondo Super Sports yaijia juu yanga kwa usajili wa mchezaji wake Geofrey Bahati Mwashiuya
![](http://2.bp.blogspot.com/-g55acd_ZP6o/VZmBbwFzBmI/AAAAAAAHnLI/O96jVgF3zCo/s400/kk.png)
Klabu inasikitishwa saana na habari/taarifa zenye mkanganyiko zinazotolewa na msemaji wa timu ya Yanga,Katibu wa timu ya Yanga na mchezaji wetu Geofrey Mwashiuya katika vyombo mbalimbali vya habari;Jerry Muro alisikika katika vyombo vya habari akijinadi...
9 years ago
Dewji Blog03 Jan
Wenger athibitisha kusajili mchezaji ndani ya siku 10 zijazo, jina la mchezaji anayesajiliwa lipo hapa
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Vinara wa msimamo wa Ligi Kuu ya Uingereza, Arsenal wanatarajia kufanya usajili mpya katika kikosi chao ndani ya siku 10, kocha Arsene Wenger (pichani) kathibitisha.
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Newcastle ambao Arsenal iliibuka na ushindi wa goli 1 kwa bila, Wenger alisema anategemea kusajili mchezaji mpya ndani ya siku 10 zinazokuja.
“Ninatumai ndani ya siku 10 zijazo tunaweza kufanya jambo,” Wenger aliwaambia waandishi...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-rqP7uHznJSU/VHc3NkxqO-I/AAAAAAAAY4k/_vImRzh8S_Q/s72-c/1.jpg)
MCHEZAJI EMERSON ALIYELETWA YANGA KWA MAJARIBIO HAJAWAHI CHEZA HATA MECHI MOJA KWENYE TIMU YAKE YA ZAMANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-rqP7uHznJSU/VHc3NkxqO-I/AAAAAAAAY4k/_vImRzh8S_Q/s1600/1.jpg)
Timu anayochezea ya Bonsucesso FC inashika nafasi ya 13 na imeshinda michezo mitatu na kupoteza michezo 6 na kutoka suluhu michezo 6.
Habari kwa hisani ya...
9 years ago
MichuziMCHEZAJI WA STAND UNITED AKABIDHIWA KITITA CHAKE KWA KUIBUKA MCHEZAJI BORA WA MWEZI OKTOBA WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA
Mchezaji huyo alikabidhiwa hundi hiyo wakati wa mazoezi yaliyokuwa yanafanywa na timu yake katika viwanja vya JKM Park ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga hapo kesho.