Cheki pichaz na matokeo ya mchezo wa kukamiana wa Yanga na Azam FC Kombe la Mapinduzi
Bado burudani ya soka ipo Zanzibar kwa kuendelea kuchezwa michezo ya Kombe la Mapinduzi, baada ya kupigwa mchezo wa tatu wa Kundi B mchana wa January 5 kwa kuzikutanisha timu za Mafunzo ya Zanzibar na Mtibwa Sugar ya Morogoro na mchezo kumalizika kwa Mtibwa kuibuka na ushindi wa goli 1-0. Usiku wa January 5 ulichezwa […]
The post Cheki pichaz na matokeo ya mchezo wa kukamiana wa Yanga na Azam FC Kombe la Mapinduzi appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Cheki video ya magoli ya Azam FC dhidi ya Yanga katika mechi ambayo ilikuwa ya kukamiana …
Mtu wangu wa nguvu kama kawaida naendelea kukusogezea kila kitu kinachonifikia kutoka Zanzibar katika michuano ya Kombe la Mapinduzi. Usiku wa January 5 ulipigwa mchezo wa nne wa Kundi B kwa kuzikutanisha timu za Yanga dhidi ya Azam FC katika dimba la Amaan. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusoogezee video ya magoli ya mchezo huo […]
The post Cheki video ya magoli ya Azam FC dhidi ya Yanga katika mechi ambayo ilikuwa ya kukamiana … appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo30 Dec
Ushindi wa Azam FC waishusha Yanga kileleni, cheki pichaz walivyoiadhibu Mtibwa Sugar Dec 30
Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea tena leo December 30 kwa mchezo mmoja wa kiporo kumaliziwa katika dimba la Azam Complex Mbande Chamazi. Huu ni mchezo ambao ulikuwa unakutanisha timu ambazo zinatafuta nafasi ya kusogelea kuelekea kileleni mwa msimamo wa Ligi. Mchezo wa December 30 ulikuwa unazikutanisha timu ya Azam FC dhidi ya klabu ya […]
The post Ushindi wa Azam FC waishusha Yanga kileleni, cheki pichaz walivyoiadhibu Mtibwa Sugar Dec 30 appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo26 Dec
Yanga waendeleza ubabe wao dhidi ya Mbeya City, cheki pichaz na matokeo ya mechi za Ligi Kuu TZ Dec 26
Ligi Kuu soka Tanzania imeendelea uwanja wa Taifa Dar Es Salaam kwa Mabingwa watetezi wa Ligi hiyo Dar Es Salaam Young Africans kuwakaribisha wagonga nyundo wa jiji la Mbeya klabu ya Mbeya City. Huu ni mchezo wa 13 kwa klabu ya Yanga ambao ndio wapo kileleni mwa msimamo wa Ligi. Yanga ambao ndio wanatajwa kuwa […]
The post Yanga waendeleza ubabe wao dhidi ya Mbeya City, cheki pichaz na matokeo ya mechi za Ligi Kuu TZ Dec 26 appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Kombe la Mapinduzi lilete tija Yanga, Azam, Simba
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Cheki pichaz na matokeo ya Mtibwa Sugar walivyowaadhibu wajelajela wa Zanzibar …
Michuano ya Kombe la Mapinduzi iliendelea leo January 5 katika uwanja wa Amaan kama kawaida, mchana wa January 5 ulipigwa mchezo wa tano wa Kombe la Mapinduzi na watatu kwa Kundi B lenye timu za Yanga, Azam FC, Mtibwa Sugar na Mafunzo ya jeshi la magereza visiwani Zanzibar. Mchezo wa mchana wa January 5 ulizikutanisha […]
The post Cheki pichaz na matokeo ya Mtibwa Sugar walivyowaadhibu wajelajela wa Zanzibar … appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Burudani inahamia Zanzibar, Kombe la Mapinduzi 2016 Yanga, Azam FC na Simba ndani, ratiba kamili ipo hapa …
Ni kawaida kila mwaka kufanyika kwa mashindano ya Kombe la Mapinduzi visiwani Zanzibar, kwa mwaka 2016 michuano hiyo inafanyika kama kawaida. Kombe la Mapinduzi kwa sasa Bingwa mtetezi wa Kombe hilo ni klabu ya Simba. Jumapili ya January 3 2016. Hii ndio ratiba kamili mtu wangu ya michuano ya Kombe la Mapinduzi. CHANZO CHA HII […]
The post Burudani inahamia Zanzibar, Kombe la Mapinduzi 2016 Yanga, Azam FC na Simba ndani, ratiba kamili ipo hapa … appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo19 Dec
Stand United wakutana na kipigo cha hat-trick ya Tambwe, cheki matokeo ya Ligi Kuu December 19 (+Pichaz)
Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea tena leo December 19 kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja mbalimbali Tanzania. Uwanja wa Taifa Dar Es Salaam Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu soka Tanzania Bara Dar Es Salaam Young African waliwakaribisha Stand United chama la wana kucheza mchezo wao wa 12 wa Ligi. Mchezo ulianza kwa Yanga kumiliki […]
The post Stand United wakutana na kipigo cha hat-trick ya Tambwe, cheki matokeo ya Ligi Kuu December 19 (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo27 Dec
Hivi ndivyo Azam FC walivyoendeleza ubabe katika uwanja wao wa Chamazi dhidi ya Kagera, Cheki pichaz …
Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea tena kwa michezo miwili kupigwa, Mwanza ulichezwa mchezo wa Toto Africans dhidi ya African Sports ya Tanga, wakati Dar Es Salaam katika dimba la Azam Complex Chamazi, kulikuwa kuna mchezo wa kuvutia kati ya Azam FC dhidi ya Kagera Sugar. Azam FC ambao walikuwa katika uwanja wao wa nyumbai […]
The post Hivi ndivyo Azam FC walivyoendeleza ubabe katika uwanja wao wa Chamazi dhidi ya Kagera, Cheki pichaz … appeared first on TZA_MillardAyo.