Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LIGI KUU: Azam, Simba kama fainali

>Ni vita ya kupanda ndege. Hilo, pengine ndilo jina  la pambano la leo baina ya Simba na Azam kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Simba na Azam kupepetana ligi kuu

Baada ya Yanga kuchanja mbuga kuelekea ubingwa wa ligi kuu Tanzania Bara, sasa vita ni ya Simba na mabingwa watetezi, Azam FC.

 

9 years ago

Raia Tanzania

Simba, Azam zatofautiana na Yanga ratiba ligi Kuu

SIKU moja baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kutangaza ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara, Uongozi wa Mabingwa wa ligi hiyo, Yanga umeibuka na kuipinga kwa madai kuwa haikuwatendea haki.

Ligi hiyo inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Septemba 12 kwa michezo saba ya ufunguzi kuchezwa katika viwanja tofauti nchini.

Katibu Mkuu wa Yanga, Jonas Tibohora, alisema kuwa wao hawajaridhika na upangaji wa ratiba hiyo, na inaonyesha wazi nia yao ni kutaka wafanye vibaya msimu...

 

9 years ago

Mwananchi

UHONDO WA LIGI KUU: Simba na kisasi, Yanga, Azam kasi

Ligi Kuu Bara inaendelea leo kwa viwanja saba kuwaka moto,  huku bingwa mtetezi, Yanga ikishuka uwanjani kuikabili Prisons, wakati Azam  ikiwa ugenini Kambarage,  Shinyanga kuumana na Stand United  huku Simba  ikitaka kuendeleza ubabe Tanga na kulipa kisasi kwa Mgambo JKT kwenye Uwanja wa Mkwakani, Tanga.

 

10 years ago

Mwananchi

LIGI KUU BARA: Kumekucha Simba, Yanga, Azam vitani leo

>Miamba ya soka nchini, Yanga na Simba baada ya kushindwa kutambiana wiki iliyopita leo itasaka ushindi wa ugenini dhidi ya Stand United na Prisons huku mabingwa watetezi Azam wakiwa nyumbani kuwavaa JKT Ruvu.

 

10 years ago

Michuzi

ligi kuu ya vodacom yazidi kurindima, kagera city hoi kwa mbeya city, yanga yabanwa na ruvu shooting, azam na simba kidedea

Picha na habari na Faustine RuttaLigi Kuu ya Vodacom imeendelea Jumamosi  kwa Mechi kadhaa na Mabingwa Watetezi Azam FC kushinda huko Shinyanga na kutwaa uongozi wa Ligi toka kwa Mtibwa Sugar ambao wanacheza leo, huku Yanga wakiteleza kutwaa uongozi huo baada ya kubanwa na Ruvu Shooting kwa Sare ya 0-0 Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha Azam asema ni kama fainali leo

Kikosi cha Azam  jana kilifanya mazoezi ya  mwisho yaliyojaa ‘taaluma’ ya kutosha kabla ya  kuwavaa El- Merreikh ya Sudan katika robo fainali  ya pekee kwa aina yake kuwania Kombe la Kagame.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani