Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ubuyu:Polisi Wamkamata Wema Sepetu Akidaiwa Kupiga Muziki Kwa Sauti Usiku

Katika hali ya kushangaza, polisi walijikuta wakipata shughuli pevu kumkamata staa asiyeishiwa matukio Bongo, Wema Sepetu ambaye alidaiwa kupiga muziki kwa sauti kubwa usiku kucha pasipo kuwa na kibali, Amani linakupa mchapo.

Tukio hilo lilitokea Jumanne iliyopita, nyumbani kwa mwigizaji huyo, Kijitonyama jijini Dar kulikokuwa na bethidei ya rafiki yake aliyejulikana kwa jina moja la Neema.

Awali, mapaparazi wa GPL walipokea simu ya mmoja wa majirani wa Wema ambaye alidai mwigizaji huyo...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

POLISI WAMKAMATA WEMA SEPETU AKIDAIWA KUPIGA MUZIKI KWA SAUTI USIKU

Stori: Waandishi Wetu/Amani
KATIKA hali ya kushangaza, polisi walijikuta wakipata shughuli pevu kumkamata staa asiyeishiwa matukio Bongo, Wema Sepetu ambaye alidaiwa kupiga muziki kwa sauti kubwa usiku kucha pasipo kuwa na kibali, Amani linakupa mchapo. Timu iliyofika nyumbani kwa Wema Sepetu kumkamta kwa usumbufu aliosababisha kwa majirani. Tukio hilo lilitokea Jumanne iliyopita, nyumbani kwa mwigizaji huyo, Kijitonyama...

 

9 years ago

Bongo Movies

Wema Sepetu Kanihamasisha Kuimba Muziki - Leyla

Msanii wa kike ambaye ameingia kwenye muziki wa Bongo Flava na kuachia wimbo wake mmoja wenye mahadhi ya Reggae Leyla Walden, amesema msanii Wema Sepetu ndiye aliyemuhamasisha kuingia rasmi kwenye muziki.

Leyla ameyasema hayo alipokuwa akiongea na East Africa Radio, na kueleza kuwa baada ya Wema Sepetu kuandika kwenye ukurasa wake wa Instagram kuwa binti huyo ana kipaji, ilikuwa ni msaada mkubwa kwake na kuamini kuwa anaweza kufanya kitu.

"Nimekuwa nikiimba muda mrefu tangia nipo mdogo, it...

 

9 years ago

Bongo Movies

Picha: Birthday Party ya Wema Sepetu Jana Usiku

Usiku wa jana, Novemba 1 staa wa Bongo Movies , Wema sepetu aliangusha pomba la pati ya kusherekea siku yake ya kuzaliwa ambapo mastaa wengi wa hapa bongo walikuwepo akiwepo na mpenzi wake Luis pamoja na mama yake mzazi.

Pia Wema Sepetu alionyesha gari lake  jipya alilonunua aina ya Range Rover na kulitambulisha mbele ya watu waliohudhuria katika birthday party yake.

Hizi ni baadhi ya picha za sherehe hiyo.

 

10 years ago

Bongo Movies

Baada Sauti ya Mziwanda Akimtongoza Wema Sepetu Kuvuja, Shilole Kayaandika Haya mtandaoni

Nakukutanisha na msanii wa bongofleva Shilole ambaye aliingia kwenye headlines baada ya boyfriend wake msanii Nuh Mziwanda kunaswa kwa sauti akimtongoza mwigizaji Wema Sepetu.

 

Ilionekana kama baada ya kusambaa hadharani kwa sauti hiyo kungefanya mapenzi yao yayumbe au waachane lakini imekua tofauti na matarajio kwani Shilole alithibitisha kuendelea kwao pamoja kwa kupost hiyo picha hapo juu na kuandika ‘Mi siachani nawe na ntakupenda zaidi’

MillardAyo.com

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Wema Sepetu na Penny wamaliza tofauti zao, wakumbatiana na kupiga picha pamoja

Hatimaye mpenzi wa sasa (Wema) na mpenzi wa zamani (Penny) wa msanii wa Bongo fleva Naseeb Abdul a.k.a Diamond Platnumz wamemaliza tofauti zao zilizotokana na ‘penzi’ la hit maker huyo wa ‘Number 1’. Penny, Junaithar aliyewapatanisha, na Wema Muigizaji wa Bongo Movie Wema Sepetu na mtangazaji wa E-FM Penny Mungilwa a.k.a VJ Penny walikutana usiku […]

 

11 years ago

GPL

WEMA SEPETU 'MADAM' AKIWA RED CARPET DAR LIVE USIKU HUU

Staa wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu akipozi katika red carpet ndani ya Dar Live usiku huu tayari kwa shindano la Ijumaa Sexiest Girl linalofikia tamati leo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wema Sepetu amwaga mijihela usiku maalum wa birthday ya Mr. Jack’s a.k.a Jack Daniel’s uliopambwa na Skylight Band

DSC_0002

Doreen Mangula wa Mark Techno Limited ambao ni wauzaji na wasambazaji mvinyo na vinywaji vikali kikiwemo kinywaji cha Jack Daniel’s akitoa maelezo ya kinywaji cha Jack Daniel’s kwa mashabiki wa Skylight Band waliokuwa wakikaribishwa na SHOT za Mr. Jack’s kwenye usiku maalum wa kusheherekea siku ya kuzaliwa kwa Mr. Jack’s a.k.a Jack Daniel’s.

DSC_0014

Doreen Mangula wa Mark Techno Limited ambao ni wauzaji na wasambazaji kinywaji cha Jack Daniel’s akizungumza na mashabiki wa Skylight Band kuhusina na...

 

10 years ago

CloudsFM

Picha za Ommy Dimpoz na Wema Sepetu wakiwa kimahaba zilipigwa usiku ‘mnene’,Dimpoz adai hakuwa na fahamu.

Zile picha za mahaba zilizosambaa kwenye mitandao zikimuonyesha Staa wa Bongo Fleva,Ommy Dimpoz na Wema Sepetu wakiwa kitandani zimezidi kuzua utata baada ya Ommy kusema hakujua alipigwa saa ngapi kwani hakuwa na fahamu bali aulizwe Wema.Ommy amezungumza na Uheard na Soudy Brown alisema kuwa hana maelezo zaidi ya kuzungumza zaidi ya kusema kuwa hajui ni muda upi zilipigwa picha hizo.Wiki hii picha hizo zilisambaa mitandaoni na kuzua maswali kuwa Ommy Dimpoz ameamua kujiweka kwa Wema baada ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani