Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi wamkamata mwizi aliye uchi Mexico

Polisi wamemkamata mwizi mmoja aliye uchi baada ya mtu huyo kudai kuwa alipewa sumu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

POLISI WAMKAMATA WEMA SEPETU AKIDAIWA KUPIGA MUZIKI KWA SAUTI USIKU

Stori: Waandishi Wetu/Amani
KATIKA hali ya kushangaza, polisi walijikuta wakipata shughuli pevu kumkamata staa asiyeishiwa matukio Bongo, Wema Sepetu ambaye alidaiwa kupiga muziki kwa sauti kubwa usiku kucha pasipo kuwa na kibali, Amani linakupa mchapo. Timu iliyofika nyumbani kwa Wema Sepetu kumkamta kwa usumbufu aliosababisha kwa majirani. Tukio hilo lilitokea Jumanne iliyopita, nyumbani kwa mwigizaji huyo, Kijitonyama...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ubuyu:Polisi Wamkamata Wema Sepetu Akidaiwa Kupiga Muziki Kwa Sauti Usiku

Katika hali ya kushangaza, polisi walijikuta wakipata shughuli pevu kumkamata staa asiyeishiwa matukio Bongo, Wema Sepetu ambaye alidaiwa kupiga muziki kwa sauti kubwa usiku kucha pasipo kuwa na kibali, Amani linakupa mchapo.

Tukio hilo lilitokea Jumanne iliyopita, nyumbani kwa mwigizaji huyo, Kijitonyama jijini Dar kulikokuwa na bethidei ya rafiki yake aliyejulikana kwa jina moja la Neema.

Awali, mapaparazi wa GPL walipokea simu ya mmoja wa majirani wa Wema ambaye alidai mwigizaji huyo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waandamanaji wapambana na Polisi Mexico

Kitendawili hakijapata majibu kuhusu walipo Wanafunzi 43 waliopotea nchini Mexico

 

5 years ago

BBCSwahili

Polisi wa usalama barabarani aachwa mdomo wazi baada ya mwizi kumuibia fedha za rushwa Kenya

Kwa mujibu wa habari zilizochapishwa kwenye mtandao wa gazeti la Nation, mwizi huyo alizuka gahfla kutoka msituni, akanyakua kifurushi kilichokuwa na pesa kando mwa barabara na kisha kuchanja mbuga kwa kasi!

 

11 years ago

GPL

DEREVA BAJAJ AGONGA AKIMBIA, WANANCHI WAMKAMATA

Wasamaria wema na dereva wa daladala (aliyevaa jezi nyekundu)  akimuokoa dereva wa Bajaj kupigwa na wananchi.
Dereva wa Bajaj akiwa ndani ya chombo hicho na askari wa Usalama Barabarani akiwa kwenye eneo la tukio.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Aliye waua Waingereza wawili kunyongwa

Mahakama ya Malaysia imemkuta na hatia ya mauaji mtu mmoja kwa tuhuma za mauaji ya wanafunzi wawili wa Uingereza

 

10 years ago

BBCSwahili

Aliye pandikizwa uume,baba mtarajiwa

Daktari wa usapuaji nchini Afrika Kusini amethibitisha kwamba mwanamme wa kwanza aliyepandikizwa uume atakuwa baba hivi karibuni.

 

9 years ago

BBCSwahili

Hujaji aliye Mecca aelezea hali ilivyo

Sheikh Abou Said Abdallah Chambea kutoka Tanzania ambaye yuko mjini Mecca anasimulia kuhusu hali ilivyo huko.

 

10 years ago

Vijimambo

DOGO ALIYE KATAZWA KUTOA NGOMA NA MR BLUE KAIACHIA

Ni upcoming wa muziki wa kizazi kipya hapa Tanzania maarufu kwa jina la ‘Msami’ ambaye aliwahi kupigwa biti na Mr Blue kwa madai ya kwamba Blue hataki Dogo atoe ngoma zake kisa sauti zao zinafanana.Hivyo basi Dogo msami kashindwa kuvumilia na kuamua kuachia ngoma moja inayoitwa ‘Hajawahi’ ukisikiliza nilazima ucheke maana unaweza ukazania ni Mr. Blue kabisa ngoma imetengezwa na Producer Mo fire katika studio ya Fire music. Sikiliza hapa:

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani