Ashauri namna ya kuboresha kilimo
SERIKALI imeshauriwa kununua mitambo ya kisasa ya kupima aina mbalimbali za udongo, kuondoa kodi katika pembejeo za kilimo na kutafiti kabla masoko ya mazao ya wakulima.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo07 Mar
Ashauri kuanzishwa mfuko wa kilimo cha pamba
SERIKALI imeshauriwa kuweka mfuko maalumu kwa ajili ya kuendeleza Kilimo cha Pamba hapa nchini badala ya kupoteza fedha zake nyingi katika kuendesha vikao vinavyohusu zao hilo. Ombi hilo lilitolewa juzi na Meneja wa Kiwanda cha Kahama oil Mill, William Matonange wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya Kilimo cha mkataba ambacho wao kama wanunuzi wa zao hilo hawakubaliani nacho.
10 years ago
Mwananchi15 Mar
Je, unajua namna ya kuboresha haiba yako?
11 years ago
MichuziTanzania na Colombia zajadili namna ya kuboresha ushirikiano wa kiuchumi
10 years ago
BBCSwahili19 Sep
11 years ago
Habarileo20 Apr
Serikali kuboresha kilimo cha umwagiliaji
WIZARA ya Kilimo, Chakula na Ushirika imesema malengo ya Serikali ni kukifanya kilimo cha umwagiliaji kuleta mapinduzi ya kijani.
11 years ago
Habarileo06 Mar
Mgombea wa Chadema aahidi kuboresha kilimo
MGOMBEA ubunge katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Grace Tendega amesema atakapochaguliwa, moja ya vipaumbele vyake vikubwa, itakuwa ni kuboresha sekta ya Kilimo kwa kuhakikisha pembejeo bora za kilimo, zinapatikana kwa wakati.
11 years ago
Habarileo15 Jun
Benki, Suma JKT kuboresha kilimo
BENKI ya Wanawake Tanzania (TWB) kwa kushirikiana na Jeshi la Kujenga Taifa kupitia SUMA JKT, wamesaini makubaliano ya kufanya mageuzi makubwa ya kilimo cha biashara cha umwagiliaji kwenye ardhi inayomilikiwa na jeshi hilo.
10 years ago
MichuziNAIBU MTENDAJI MKUU BRN AELEZA MIKAKATI YA KUBORESHA KILIMO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X634UbgI2ow/VD5EtyIg6RI/AAAAAAAGqk0/-cGDN7ph7XY/s72-c/ABG%2B1.jpg)
AFRICAN BARRICK YASAINI MKATABA WA KUENDELEZA NA KUBORESHA CHUO CHA MUHIMBILI ILI KUBORESHA TAALUMA YA UDAKTARI
Ushirikiano huu utawezesha wanafunzi wa idara hiyo kupata nafasi za kwenda kufanya masomo kwa vitendo yani (field practise) kwenye ofisi na migodi ya kampuni ya ABG, pia pesa hizo zitatumika kwenye kukarabati majendo na utoaji wa vifaa...