Mgombea wa Chadema aahidi kuboresha kilimo
MGOMBEA ubunge katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Grace Tendega amesema atakapochaguliwa, moja ya vipaumbele vyake vikubwa, itakuwa ni kuboresha sekta ya Kilimo kwa kuhakikisha pembejeo bora za kilimo, zinapatikana kwa wakati.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
Mgombea udiwani CHADEMA aahidi neema Magomeni
MGOMBEA udiwani wa Kata ya Magomeni, Wilaya ya Bagamoyo, Pwani ameahidi kuwaondolea kero za kijamii zinazowakabili wakazi wa eneo hilo ili kujenga jamii isiyo na manung’uniko. Akizungumza na wananchi wa...
10 years ago
Habarileo12 Oct
Lowassa aahidi kuboresha maisha
MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa amesisitiza akichaguliwa kuwa rais, ataboresha maisha ya wananchi ikiwemo kuwezesha kupata milo mitatu.
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
Ridhiwani aahidi kuboresha barabara
MGOMBEA ubunge wa Chalinze kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, Ridhiwani Kikwete, amesema endapo atachaguliwa kuliongoza jimbo hilo atahakikisha anaboresha miundonbinu ya barabara. Ridhiwani alitoa kauli hiyo juzi wakati akihutubia...
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Magufuli aahidi kuboresha huduma za afya
10 years ago
Mtanzania03 Oct
Dk. Shein aahidi kuboresha elimu Pemba
Na Esther Mbussi, Zanzibar
MGOMBEA urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Ali Mohamed Shein, ameahidi kutoa kompyuta na kuongeza idadi ya walimu wa masomo ya sayansi katika shule za sekondari Kusini Unguja.
Akizungumza katika mkutano wa kampeni eneo la Paje, Kusini Unguja Dk. Shein alisema kuongeza idadi ya walimu wa masomo ya sayansi kutasaidia kuongeza ufaulu wa masomo hayo.
“Serikali itaboresha sekta ya elimu kwa kujenga shule na tayari tunamalizia shule 22 tulizoanza...
10 years ago
GPLDK MAGUFULI AAHIDI KUBORESHA MAISHA YA WANAJESHI
10 years ago
Mzalendo Zanzibar16 Sep
M.Seif aahidi mageuzi ya kilimo
Zanzibar: Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF),Maalim Seif Sharif Hamad, amesema chini ya uongozi wake atahakikisha anamjengea uwezo mkulima, kwa lengo la kumwezesha kuinuka kiuchumi.Maalim Seif alisema, atahakikisha wakulima wa Zanzibar wanalima kilimo […]
The post M.Seif aahidi mageuzi ya kilimo appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
BBCSwahili19 Sep