Mgombea udiwani CHADEMA aahidi neema Magomeni
MGOMBEA udiwani wa Kata ya Magomeni, Wilaya ya Bagamoyo, Pwani ameahidi kuwaondolea kero za kijamii zinazowakabili wakazi wa eneo hilo ili kujenga jamii isiyo na manung’uniko. Akizungumza na wananchi wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
Mgombea CUF aahidi neema Ubena
MGOMBEA ubunge wa Chalinze kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Fabian Skauki, amewaomba wananchi wa Kata ya Ubena kumchagua ili aweze kuwaletea maendeleo. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar...
10 years ago
Michuzi17 Jul
MGOMBEA UBUNGE VITI MAALUMU ARUSHA,NEEMA AAHIDI KUINUA VIJANA KIUCHUMI
![SAM_3817](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/W2QmuE8khseuPmjLF3vBAROjkvtlA-H97ypAdXS9GBroqKdBH4hEiu5SLSCmctf_5CgXq3_YCpteu861kpljdlJJRM0U_ZC6cMU2kLH-EB1ayTM=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_3817.jpg)
Katibu wa vijana umoja wa vijana UVCCM wilaya ya Arusha mjini Jamali Khimji akimkabidhi fomu ya ubunge viti maalum Bi.Neema Kiusa(27)katika ofisi za umoja huo jijini Arusha, ahaidi kuinua vijana kiuchumi endapo atapata nafasi ya kuwa Mbunge wa vijana Mkoa wa Arusha(Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog).
Mgombea ubunge kupita kundi la vijana (UVCCM) Neema Kiusa leo amechukua fomu ya kuwania nafasi ya ubunge viti maalumu Mkoa wa Arusha,ambapo amesema kuwa shauku yake kubwa ni...
11 years ago
Habarileo06 Mar
Mgombea wa Chadema aahidi kuboresha kilimo
MGOMBEA ubunge katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Grace Tendega amesema atakapochaguliwa, moja ya vipaumbele vyake vikubwa, itakuwa ni kuboresha sekta ya Kilimo kwa kuhakikisha pembejeo bora za kilimo, zinapatikana kwa wakati.
10 years ago
Dewji Blog28 Jul
Kampeni za Udiwani ndani ya CCM Kata ya Magomeni zaanza kwa kishindo
Katibuu Mwenezi wa CCM Kata ya Msasani, Bw. Andrew Mangole (kulia) akiwaomba wana CCM kuachana na makundi na baadala yake wakijenge chama katika misingi imara na kuibuka na ushindi hapo baadae katika uchaguzi Mkuu. (Picha zote na Andrew Chale, modewjiblog).
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Magomeni-Kinondoni) Kampeni za kura za maoni kwa wagombea Udiwani ndani ya Cha Cha Mapinduzi (CCM) zimepamba moto ambapo kila mgombea amejitokeza na kujinadi mbele ya wanachama ili achaguliwe kukiwakilisha...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-63t1CMXqqn4/Vaas5FfWAxI/AAAAAAAHp-o/3BkvaoQ824c/s72-c/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
Mtabiri na mtaalamu wa nyoya Hassan Yahya hussein ajitosa kugombea udiwani kata ya mzimuni, Magomeni, Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-63t1CMXqqn4/Vaas5FfWAxI/AAAAAAAHp-o/3BkvaoQ824c/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
11 years ago
Mwananchi06 Jul
Maximo aahidi neema
9 years ago
Mtanzania09 Oct
Dk. Shein aahidi neema kwa wafanyabiashara
Na Esther Mbussi, Zanzibar
MGOMBEA urais wa Zanzibar, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Ali Mohamed Shein amesema maendeleo kwa wafanyabiashara wadogo visiwani humo ni lazima.
Kutokana na hali hiyo, ameahidi kuwajengea eneo la maonyesho ya biashara ili kuwavutia wafanyabiashara wa nje.
Akizungumza katika viwanja vya Urafiki, Jimbo la Sahurimoyo mjini Unguja juzi, Dk. Shein alisema mradi huo licha ya kuwavutia wafanyabiashara, utawasaidia kutangaza biashara zao.
“Wafanyabiashara...
9 years ago
Mtanzania31 Aug
Mtoto wa Mungai aahidi neema Mafinga
Na Gustaph Haule, Mafinga
MGOMBEA Ubunge wa Chadema Mafinga Mjini, William Mungai, amewaomba wananchi kumchagua aweze kuleta mabadiliko ya maendeleo.
Alisema amejitosa kugombea nafasi hiyo kwa lengo la kuwaletea maendeleo wananchi katika sekta mbalimbali kwa kukabaliana na changamoto zilizopo ikiwamo afya, maji, viwanda, miundombinu, elimu na kuimarisha uchumi kupitia taasisi za benki.
Mtoto huyo wa Mungai alisema jimbo hilo limekuwa mstari wa mbele katika kuchangia mapato ya...