Mgombea CUF aahidi neema Ubena
MGOMBEA ubunge wa Chalinze kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Fabian Skauki, amewaomba wananchi wa Kata ya Ubena kumchagua ili aweze kuwaletea maendeleo. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
Mgombea udiwani CHADEMA aahidi neema Magomeni
MGOMBEA udiwani wa Kata ya Magomeni, Wilaya ya Bagamoyo, Pwani ameahidi kuwaondolea kero za kijamii zinazowakabili wakazi wa eneo hilo ili kujenga jamii isiyo na manung’uniko. Akizungumza na wananchi wa...
10 years ago
Michuzi17 Jul
MGOMBEA UBUNGE VITI MAALUMU ARUSHA,NEEMA AAHIDI KUINUA VIJANA KIUCHUMI
![SAM_3817](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/W2QmuE8khseuPmjLF3vBAROjkvtlA-H97ypAdXS9GBroqKdBH4hEiu5SLSCmctf_5CgXq3_YCpteu861kpljdlJJRM0U_ZC6cMU2kLH-EB1ayTM=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_3817.jpg)
Katibu wa vijana umoja wa vijana UVCCM wilaya ya Arusha mjini Jamali Khimji akimkabidhi fomu ya ubunge viti maalum Bi.Neema Kiusa(27)katika ofisi za umoja huo jijini Arusha, ahaidi kuinua vijana kiuchumi endapo atapata nafasi ya kuwa Mbunge wa vijana Mkoa wa Arusha(Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog).
Mgombea ubunge kupita kundi la vijana (UVCCM) Neema Kiusa leo amechukua fomu ya kuwania nafasi ya ubunge viti maalumu Mkoa wa Arusha,ambapo amesema kuwa shauku yake kubwa ni...
9 years ago
Mwananchi13 Oct
Mgombea CUF aahidi kusimamia bandari
11 years ago
GPL![](https://3.bp.blogspot.com/-lymOQzXlad0/UytOcGvjr1I/AAAAAAAAkq4/53ueCAv0vKo/s1600/1.+Ridhiwani+akiomba+kura+kwa+wananchi+katika+Kijiji+cha+Visakazi,+Kata+ya+Ubena.jpg)
MGOMBEA WA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE, RIDHIWANI AOMBA KURA KATA YA UBENA
11 years ago
Mwananchi06 Jul
Maximo aahidi neema
9 years ago
Mtanzania09 Oct
Dk. Shein aahidi neema kwa wafanyabiashara
Na Esther Mbussi, Zanzibar
MGOMBEA urais wa Zanzibar, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Ali Mohamed Shein amesema maendeleo kwa wafanyabiashara wadogo visiwani humo ni lazima.
Kutokana na hali hiyo, ameahidi kuwajengea eneo la maonyesho ya biashara ili kuwavutia wafanyabiashara wa nje.
Akizungumza katika viwanja vya Urafiki, Jimbo la Sahurimoyo mjini Unguja juzi, Dk. Shein alisema mradi huo licha ya kuwavutia wafanyabiashara, utawasaidia kutangaza biashara zao.
“Wafanyabiashara...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/magiufuli-akiwa-uwanja-wa-zimbihile-jimbo-la-muleba-kusini.jpg?width=650)
MAGUFULI AAHIDI NEEMA KWA WANABUKOBA
9 years ago
Habarileo23 Sep
Maxime aahidi neema zaidi Mtibwa
KOCHA Mkuu wa Mtibwa Sugar, Mecky Maxime amesema ana matarajio makubwa ya kuendelea kushinda mechi nyingine za Ligi Kuu Tanzania Bara.