Mgombea CUF aahidi kusimamia bandari
Mgombea ubunge wa Jimbo la Tanga mjini, Mussa Mbarouk (CUF), amesema endapo atachaguliwa atahakikisha Bandari ya Tanga inatumika katika shughuli zote za upakiaji na upakuaji wa mafuta na mizigo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
Mgombea CUF aahidi neema Ubena
MGOMBEA ubunge wa Chalinze kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Fabian Skauki, amewaomba wananchi wa Kata ya Ubena kumchagua ili aweze kuwaletea maendeleo. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar...
10 years ago
VijimamboLIPUMBA NDIE MGOMBEA PEKEE CUF ATAKAE WAKILISHA CUF KUGOMBEA URAIS UKAWA
![](http://www.habari247.co.tz/site/wp-content/uploads/2014/12/lipumba.jpg)
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Mghwira aahidi kusimamia mapato ya kodi kupunguza umasikini
9 years ago
Mwananchi05 Sep
Lowassa aahidi bandari ya kisasa Kigoma
9 years ago
Habarileo20 Sep
Mgombea urais Chauma kusimamia sekta ya afya
MGOMBEA wa urais kwa tiketi ya Chama cha Chauma, Hashim Rungwe amesema kuwa Watanzania wampatie ridhaa ya kuongoza ili awaweze kusimamia sekta ya afya.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-X8OwQup7njw/Xs7LL-OIfWI/AAAAAAABMQc/0s6usAMSJb0lO7P692GUxWBwN71lfMqNQCLcBGAsYHQ/s72-c/99284450_3462504267111567_5372765501862707200_o.jpg)
DC APSON AMJULIA HALI MVUVI ALIYENG'ATWA MKONO NA MAMBA, AAHIDI KUMUANZISHIA BIASHARA, KUSIMAMIA MATIBABU
![](https://1.bp.blogspot.com/-X8OwQup7njw/Xs7LL-OIfWI/AAAAAAABMQc/0s6usAMSJb0lO7P692GUxWBwN71lfMqNQCLcBGAsYHQ/s400/99284450_3462504267111567_5372765501862707200_o.jpg)
Baada ya hapo, DC Apson aliamua kwenda nyumbani kwa majeruhi kutoa pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki. Pia alijumuika na viongozi wa kijiji na kata ya Kigonigoni.
"Hata hivyo kama Kiongozi Mkuu wa Serikali wilayani Mwanga nimeamua tutasimamia...
9 years ago
StarTV24 Oct
Mgombea Ubunge CHAUMA aishauri Tume kusimamia haki
Mgombea Ubunge Jimbo la Ubungo kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma CHAUMA Eugene Kabendera ameitaka Tume ya Uchaguzi kutangaza matokeo kwa haki bila kupendelea upande wowote baada ya uchaguzi mkuu.
Kabendera amesema Jimbo la Ubungo lina changamoto nyingi hasa ya maji inayosumbua kwa muda mrefu sasa hivyo anahitajika mbunge kijana kama yeye kusimamia jimbo hilo na kuleta maendeleo.
Kabendera ametoa tamko hilo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam na kusema kuwa haki ni...
9 years ago
Mwananchi18 Oct
CUF kuifanyia mageuzi sekta ya utalii,bandari
9 years ago
Habarileo24 Oct
Mgombea aahidi kufungua kesi za ardhi
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha UPDP, Fahmi Dovutwa ameahidi kugawa fomu za malalamiko ya ardhi na kufungua kesi kwa niaba ya wananchi.