Mgombea aahidi kufungua kesi za ardhi
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha UPDP, Fahmi Dovutwa ameahidi kugawa fomu za malalamiko ya ardhi na kufungua kesi kwa niaba ya wananchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi13 Nov
Mgombea ubunge CUF akwama kufungua kesi Mahakama Kuu
9 years ago
StarTV30 Sep
 Lowassa aahidi kufungua kiwanda cha chai Mponde
Mgombea Urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA Edward Lowassa amesema wananchi wakimpa ridhaa ya kuwa Rais ndani ya miezi sita atahakikisha kiwanda cha chai cha Mponde kinafunguliwa na kuanza kuwanufaisha wakulima wa zao hilo.
Kiwanda cha chai cha Mponde kilifungwa baada ya wananchi kuingia kwenye mgogoro wa kimaslahi na aliyekuwa mwekezaji wa kiwanda hicho. Taarifa zaidi na mbonea Herman:
Lowassa alikutana na wananchi waliokuwa wakimsubiri ,lakini kabla ya kuzungumza na wananchi...
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Serikali inajidhalilisha kufungua kesi za kufikirika
11 years ago
Habarileo06 Mar
Mgombea wa Chadema aahidi kuboresha kilimo
MGOMBEA ubunge katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Grace Tendega amesema atakapochaguliwa, moja ya vipaumbele vyake vikubwa, itakuwa ni kuboresha sekta ya Kilimo kwa kuhakikisha pembejeo bora za kilimo, zinapatikana kwa wakati.
9 years ago
Mwananchi13 Oct
Mgombea CUF aahidi kusimamia bandari
10 years ago
Habarileo08 Jul
Mgombea ACT aahidi kuwasaidia wanawake
MTIA nia ya kugombea ubunge katika jimbo la Kahama kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Clara Masanja amesema endapo atapewa ridhaa na chama hicho na kushinda nafasi hiyo, atahakikisha anawajengea wanawake ujasiri ili waweze kujipigania wenyewe katika kupata nafasi za uongozi wa juu.
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
Mgombea CUF aahidi neema Ubena
MGOMBEA ubunge wa Chalinze kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Fabian Skauki, amewaomba wananchi wa Kata ya Ubena kumchagua ili aweze kuwaletea maendeleo. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar...
10 years ago
Habarileo21 Mar
Kinana atembelea alikozaliwa, aahidi kutatua kero ya ardhi
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amefika katika kijiji alichozaliwa na kusoma elimu ya msingi cha Mbughuni wilayani Arumeru mkoani Arusha na kuahidi kusaidia kutatua kero mbalimbali zinazowakabili wananchi.
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Mgombea aahidi nusu ya mshahara kuchangia afya