Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgombea aahidi nusu ya mshahara kuchangia afya

Mgombea ubunge wa Chadema Jimbo la Babati Vijijini, mkoani Manyara, Lawrence Tara amesema akichaguliwa atajitolea nusu ya mshahara kuchangia huduma za jamii.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Mgombea aahidi kufungua kesi za ardhi

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha UPDP, Fahmi Dovutwa ameahidi kugawa fomu za malalamiko ya ardhi na kufungua kesi kwa niaba ya wananchi.

 

10 years ago

Habarileo

Mgombea ACT aahidi kuwasaidia wanawake

MTIA nia ya kugombea ubunge katika jimbo la Kahama kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Clara Masanja amesema endapo atapewa ridhaa na chama hicho na kushinda nafasi hiyo, atahakikisha anawajengea wanawake ujasiri ili waweze kujipigania wenyewe katika kupata nafasi za uongozi wa juu.

 

11 years ago

Habarileo

Mgombea wa Chadema aahidi kuboresha kilimo

MGOMBEA ubunge katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Grace Tendega amesema atakapochaguliwa, moja ya vipaumbele vyake vikubwa, itakuwa ni kuboresha sekta ya Kilimo kwa kuhakikisha pembejeo bora za kilimo, zinapatikana kwa wakati.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mgombea CUF aahidi neema Ubena

MGOMBEA ubunge  wa Chalinze kwa  tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Fabian Skauki, amewaomba wananchi  wa Kata ya Ubena kumchagua ili aweze kuwaletea maendeleo. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar...

 

9 years ago

Mwananchi

Mgombea CUF aahidi kusimamia bandari

Mgombea ubunge wa Jimbo la Tanga mjini, Mussa Mbarouk (CUF), amesema endapo atachaguliwa atahakikisha Bandari ya Tanga inatumika katika shughuli zote za upakiaji na upakuaji wa mafuta na mizigo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mgombea udiwani CHADEMA aahidi neema Magomeni

MGOMBEA udiwani wa Kata ya Magomeni, Wilaya ya Bagamoyo, Pwani ameahidi kuwaondolea kero za kijamii zinazowakabili wakazi wa eneo hilo ili kujenga jamii isiyo na manung’uniko. Akizungumza na wananchi wa...

 

9 years ago

Habarileo

Wadau waombwa kuchangia sekta ya afya

WADAU wa Afya nchini wameombwa kuwekeza kwenye sekta hiyo kutokana na bajeti iliyotengwa kwa ajili ya sekta kuwa finyu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Jitokezeni kuchangia afya ya mama na mtoto’

MAKAMU wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal, amewataka wananchi kujitokeza kuchangia fedha kwa ajili ya Kampeni ya ‘Simama kwa ajili ya akina mama wa Afrika’. Dk. Bilal, alitoa kauli hiyo...

 

9 years ago

StarTV

Mgombea CHAUMA aahidi kuimarisha ulinzi na usalama wa raia

Kutokana na kukithiri kwa vitendo vya kikatili yakiwemo  mauaji ya alibino,mauaji ya vikongwe, ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia chama cha ukombozi wa umma (CHAUMA) kimesema endapo watanzania watakipatia ridhaa ya kuongozi nchi kitahakikisha kinakomesha vitendo vya kikatili kwa makundi hayo kwa kujenga makambi maalumu ili kuimarisha ulinzi na usalama wa raia wake.

Hayo yamesemwa na mgombea urais kupitia chama hicho Hashim Rungwe akiwa katika mkutano wa kampeni wilayani Nzega Mkoani Tabora...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani