Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali inajidhalilisha kufungua kesi za kufikirika

Katika hali inayodhihirisha kwamba Serikali inaendelea kujidhalilisha kwa kupeleka kesi mahakamani zisizo na vichwa wala miguu, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jana iliwaachia huru washtakiwa watatu katika kesi iliyofunguliwa na Serikali, ikidai kwamba watu hao waliandika na kuchapisha makala katika gazeti la Tanzania Daima ikilenga kuwachochea askari wa majeshi ya ulinzi na usalama wasitii amri za viongozi wao, hivyo kuhatarisha usalama wa Taifa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Mgombea aahidi kufungua kesi za ardhi

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha UPDP, Fahmi Dovutwa ameahidi kugawa fomu za malalamiko ya ardhi na kufungua kesi kwa niaba ya wananchi.

 

11 years ago

Mwananchi

Wakili Minde ashauri gharama za kufungua kesi zipunguzwe

Wakili maarufu mkoani Kilimonjaro, Elizabeth Minde, ameliomba Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, kuangalia upya sheria ya gharama za kufungua kesi mahakamani ambazo alisema zimepanda mno na kusababisha wananchi wa kipato cha chini, kushindwa kufungua kesi pale wanapoona haki yao imepokonywa.

 

11 years ago

Mwananchi

Mchungaji Mtikila kufungua kesi kupinga Katiba Mpya

Mwenyekiti wa Chama cha Demokratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila anatarajia kufungua kesi Mahakama Kuu ya Tanzania kupinga kuendelea kwa mchakato wa mabadiliko ya Katiba Mpya.

 

9 years ago

Mwananchi

Mgombea ubunge CUF akwama kufungua kesi Mahakama Kuu

Aliyekuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Mbagala kwa tiketi ya CUF, Kondo Bungo amekwama kufungua kesi ya kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu yaliyompa ushindi mpinzani wake wa CCM, Issa Mangungu.

 

11 years ago

Michuzi

mchoro wa kufikirika wa mkoa wa kilimanjaro

Mchoro wa kubuni baada ya kouna http://issamichuzi.blogspot.se/2014/01/mkoa-wa-kilimanjaro-kuanzisha-mji-wa.html  Picha hii inaonyesha muonekano wa mji wa kisasa wenye kuzingatia utunzaji wa mazingira.

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge wakatae kupitisha Bajeti ya kufikirika

Bunge la Bajeti linaanza vikao vyake mjini Dodoma leo, huku Serikali ikiwa imeshindwa kutekeleza Bajeti ya mwaka 2013/14 kutokana na kukosa fedha na kusababisha miradi mbalimbali ya maendeleo na shughuli za Serikali na taasisi zake kukwama.

 

9 years ago

Vijimambo

KIWIA AKANUSHA KUZIMIA BAADA YA MATOKEO KUTANGAZWA. ASEMA ANATARAJIA KUFUNGUA KESI MAHAKAMANI KWANI BADO HAJASAINI MATOKEO.

Na:George Binagi-GB Pazzo
Aliekuwa Mbunge wa Jimbo la Ilemela Mkoani Mwanza na Mgombea wa nafasi hiyo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi Ukawa Highness Kiwia, anatarajia kufungua kesia ya kupinga matokeo ya uchaguzi jimboni humo kwa madai kwamba haukuwa wa huru na haki kutokana na kugubikwa na changamoto mbalimbali.
Kiwia ambae ameshindwa kutetea jimbo hilo baada kuchukuliwa na Angelina Mabula kutoka Chama cha Mapinduzi CCM,...

 

10 years ago

Michuzi

JK kufungua mkutano wa Mpango wa Uendeshaji wa Shughuli za Serikali kwa Uwazi

Na Beatrice Lyimo-MAELEZO
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Jakaya Kikwete anatarajia kufungua mkutano wa Kanda ya Afrika kuhusu Mpango wa Uendeshaji wa  Shughuli za Serikali kwa uwazi (OGP).
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Ikulu inaeleza kuwa mkutano huo wenye kauli mbiu isemayo “Kuimarisha Utawala Bora Unaozingatia Uwajibikaji na Uwazi” utafanyika Mei 20 hadi 21, 2015 katika ukumbi wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere, jijini Dar es Salaam.
Aidha, imeeleza kuwa dhumuni la  mkutano huo...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YAIPONGEA BENKI YA ACCESS KUFUNGUA TAWI LAKE JIJINI MBEYA

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mhe. Abbas Kandoro akizungumza na wateja pamoja na wafanyakazi wa Benki ya Access wakati alipokuwa mgeni rasmi katika sherehe za uzinduzi wa tawi la benki hiyo jijini Mbeya mwishoni wa wiki iliyopita. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Mhe. Dk. Norman Sigallah King na kutoka kushoto ni Ofisa Masoko Mwandamizi wa Access Bank, Jonas Muganyizi Bisheko, Meneja wa Mkoa wa Benki ya Access Mbeya, Emmanuel Venance na Mwakilishi wa Benki ya Access kutoka Makao makuu jijini Dar...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani