Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


mchoro wa kufikirika wa mkoa wa kilimanjaro

Mchoro wa kubuni baada ya kouna http://issamichuzi.blogspot.se/2014/01/mkoa-wa-kilimanjaro-kuanzisha-mji-wa.html  Picha hii inaonyesha muonekano wa mji wa kisasa wenye kuzingatia utunzaji wa mazingira.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mchoro uliouzwa milioni 180

Mchoro wa wanawake wa Algiers wa Picasso waweka rekodi kwa mchoro uliogharimu kitita kikubwa zaidi mnadani ulipouzwa kwa dola milioni 180

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge wakatae kupitisha Bajeti ya kufikirika

Bunge la Bajeti linaanza vikao vyake mjini Dodoma leo, huku Serikali ikiwa imeshindwa kutekeleza Bajeti ya mwaka 2013/14 kutokana na kukosa fedha na kusababisha miradi mbalimbali ya maendeleo na shughuli za Serikali na taasisi zake kukwama.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali inajidhalilisha kufungua kesi za kufikirika

Katika hali inayodhihirisha kwamba Serikali inaendelea kujidhalilisha kwa kupeleka kesi mahakamani zisizo na vichwa wala miguu, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jana iliwaachia huru washtakiwa watatu katika kesi iliyofunguliwa na Serikali, ikidai kwamba watu hao waliandika na kuchapisha makala katika gazeti la Tanzania Daima ikilenga kuwachochea askari wa majeshi ya ulinzi na usalama wasitii amri za viongozi wao, hivyo kuhatarisha usalama wa Taifa.

 

9 years ago

Habarileo

Wataalamu wa afya mkoa wa Kilimanjaro waonywa

SERIKALI mkoani Kilimanjaro imetishia kuwawajibisha wataalamu wa sekta ya afya katika halmashauri zote za wilaya mkoani hapa iwapo watazembea na kusababisha ugonjwa wa kipindupindu kuingia mkoani hapa.

 

11 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO AKUTANA NA WADAU WA MICHEZO


Katibu tawala mkoa wa Kilimanjaro Dk Issa Faisal akizungumza wakati wa kikao cha wadau wa michezo mkoa wa Kilimanjaro,kilichofanyika leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa. Mdau namba moja wa michezo mkoa wa Kilimanjaro,mkuu wa mkoa Leonidas Gama akizungumza jambo wakati wa kikao hicho. Wadau wakifuatilia hoja mbalimbali katika mkutano huo.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

Michuzi

mona lisa: mchoro maarufu kuliko yote duniani

Mona Lisa (pia huitwa La Giocconda ambayo kwa Kitaliano ina maana ya furaha au mwanamke mwenye furaha tele) ni mchoro wa mwanzoni mwa karne ya kumi na sita uliochorwa na mchoraji mashuhuri duniaLeonardo da Vinci. Inaaminika kuwa ni mmoja kati ya michoro mashuhuri duniani. Mchoro huu unapatikana katika jumba la maonyesha (makumbusho) la mjini Paris maarufu kama Louvre. Nat King Cole aliutungia wimbo mchoro huu ambao sifa zake si za kawaida

 

9 years ago

Michuzi

DKT MAGUFULI AENDELEA NA KAMPENI ZAKE MKOA WA KILIMANJARO.

 Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. John Pombe Magufuli pamoja na mgombea ubunge wa jimbo la Same Mashariki Mama Anne Kilango wakiwasalimu wakazi wa Same waliojitokeza kwenye mkutano wa kampeni za CCM Ndungu.  Wakazi wa Same Mashariki wakimsikiliza Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. John Pombe Magufuli. Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. John Pombe Magufuli akimvalisha fulana mmoja wa wafuasi wa CHADEMA alieamua kurejea chama...

 

10 years ago

Vijimambo

MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO AKANA KUFANYA UDALALI WA ARDHI

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama akizungumza na wanahabari (hawako pichani) juu ya tuhuma zilizoibuliwa bungeni dhidi yake.Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akiwa na mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga katika mkutano huo na wanahabari.
Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali ya habari mkoani Kilimanjaro.

Na Dixon Busagaga
SIKU moja baada ya kambi rasmi ya Upinzani Bungeni kumlipua mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Leonidas Gama kwa madai ya kufanya udalali na ufisadi katika uporaji...

 

10 years ago

Michuzi

Makalla alipokuwa ziarani mjini Moshi mkoa wa Kilimanjaro

Naibu waziri wa Maji Mhe.Amos makalla akizindua mradi wa maji karanga mjini MoshiNaibu waziri wa maji Amos makalla akiwahurubia wafanyakazi wa mamlaka maji Moshi Naibu Waziri wa Maji Mhe Amos Makalla akikabidhi tuzo ya ubora wa utunzaji mazingira kwa mkurugenzi wa mamlaka maji moshi Injinia Cryspin Lumeleja Naibu Waziri wa Maji Mhe Amos Makalla Naibu wazir maji akiongea na wajumbe wa bodi ya mamlaka maji moshiNaibu Waziri wa Maji Mhe Amos Makalla akikagua chanzo cha maji cha Mto Karanga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani