Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mchoro uliouzwa milioni 180

Mchoro wa wanawake wa Algiers wa Picasso waweka rekodi kwa mchoro uliogharimu kitita kikubwa zaidi mnadani ulipouzwa kwa dola milioni 180

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

mchoro wa kufikirika wa mkoa wa kilimanjaro

Mchoro wa kubuni baada ya kouna http://issamichuzi.blogspot.se/2014/01/mkoa-wa-kilimanjaro-kuanzisha-mji-wa.html  Picha hii inaonyesha muonekano wa mji wa kisasa wenye kuzingatia utunzaji wa mazingira.

 

11 years ago

Michuzi

mona lisa: mchoro maarufu kuliko yote duniani

Mona Lisa (pia huitwa La Giocconda ambayo kwa Kitaliano ina maana ya furaha au mwanamke mwenye furaha tele) ni mchoro wa mwanzoni mwa karne ya kumi na sita uliochorwa na mchoraji mashuhuri duniaLeonardo da Vinci. Inaaminika kuwa ni mmoja kati ya michoro mashuhuri duniani. Mchoro huu unapatikana katika jumba la maonyesha (makumbusho) la mjini Paris maarufu kama Louvre. Nat King Cole aliutungia wimbo mchoro huu ambao sifa zake si za kawaida

 

10 years ago

TheCitizen

180 villages to get power

>About 180 villages in Kilimanjaro Region are set to benefit from a power supply project currently being undertaken by the Rural Energy Agency (Rea) whose second phase will be completed in June next year.

 

10 years ago

Mwananchi

Dakika 180 Yanga SC bingwa

Dar es Salaam. Yanga inasubiri dakika 180 ili kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu baada ya jana kuifunga Stand United ya Shinyanga kwa mabao 3-2 katika mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Habarileo

Madereva 180 bodaboda rumande

KUNA vijana waendesha bodaboda 180 waliokamatwa jijini Dar es Salaam na sasa wapo mahabusu, imedaiwa. Wengine 400 wametozwa faini na wengine wamehukumiwa kwa kosa la kuingiza bodaboda katikati ya Jiji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Siku 180 zaleta neema MUWSA

MWAKA jana Rais  Jakaya Kikwete alizindua mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) ikiwa ni sehemu ya juhudi ya kuitoa nchi kwenye kipato cha chini kwenda cha kati. Tanzania inatekeleza mpango...

 

10 years ago

GPL

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Azam, Simba spidi 180

Kama ilivyobashiriwa mapema kuwa Yanga, Azam kasi na Simba kisasi, ndivyo matokeo ya mechi za jana za Ligi Kuu yalivyotokea.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Nigeria lawaokoa watu 180

Jeshi la Nigeria linasema kuwa limewaokoa zaidi ya watu 180, wengi wao wanawake na watoto, kutoka kwa kundi hatari la wapiganaji wa kiislamu la Boko Haram, katika jimbo la Borno.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani