Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dakika 180 Yanga SC bingwa

Dar es Salaam. Yanga inasubiri dakika 180 ili kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu baada ya jana kuifunga Stand United ya Shinyanga kwa mabao 3-2 katika mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Kocha Simba ataka dakika 180 kuimaliza Yanga

Kocha Mkuu wa Simba, Zdravok Logarusic. Na Khadija Mngwai
KOCHA Mkuu wa Simba, Zdravok Logarusic, amesema anahitaji mechi mbili zaidi zikiwa ni dakika 180 ili kuweza kukipima kikosi chake kabla ya mechi yao ya Mtani Jembe dhidi ya Yanga. Mechi ya Mtani Jembe inatarajiwa kupigwa Desemba 21 mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Logarusic amepewa mkataba wa miezi sita wa kuitumikia Simba baada ya kutimuliwa kwa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Tunaifungaje Algeria kwa kamati za dakika 180?

JUMATANO ya Aprili 15, 2015, katika ukurasa huu niliandika makala kuhusu timu ya taifa Tanzania ‘

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Mwananchi

Yanga, Azam, Simba spidi 180

Kama ilivyobashiriwa mapema kuwa Yanga, Azam kasi na Simba kisasi, ndivyo matokeo ya mechi za jana za Ligi Kuu yalivyotokea.

 

9 years ago

GPL

VPL: YANGA 2-0 SIMBA, DAKIKA 90 ZIMEKWISHA

Kikosi cha timu ya Yanga Kikosi cha timu ya Simba Mashabiki wa Yanga. Mashabiki wa Simba.…

 

10 years ago

Mwananchi

UDHAIFU: Dakika 45 za mwisho zaiua Yanga SC

>Ni nguvu ya soda. Hivyo, ndivyo unavyoweza kuzungumzia Yanga ambayo imekuwa ikisifika nchini kuwa na beki imara iliyotengeneza ukuta mgumu, usiopitika kwenye mechi za Ligi Kuu msimu huu, lakini ndiyo imeonekana  nyepesi  zaidi kwa mabao kipindi cha pili.

 

10 years ago

Mwananchi

Dakika 45 za mwisho ngumu Simba, Yanga

Wakati mechi ya watani wa jadi ikitarajiwa kufanyika Jumamosi, safu za ulinzi za Simba na Yanga zimeonekana kutokuwa makini, dakika 45 za kipindi cha pili.

 

10 years ago

Mtanzania

DAKIKA 90 ZA UBINGWA YANGA * yaikamia Polisi Moro leo.

yangaABDUCADO EMMANUEL NA THERESIA GASPER, DAR

NI sherehe tu! Timu ya Yanga imepanga kufungua champagne endapo watapata pointi tatu dhidi ya Polisi Morogoro leo, zitakazowafanya kutangazwa mabingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom msimu huu.

Yanga itashuka kwenye Uwanja wa Taifa jijini hapa ikisaka pointi tatu dhidi ya Polisi Moro zitakazowafanya kufikisha pointi 55 ambazo hazitaweza kufikiwa na mabingwa watetezi Azam FC wenye pointi 45 katika nafasi ya pili.

Katibu Mkuu wa Yanga, Dk. Jonas Tiboroha, jana...

 

10 years ago

GPL

Yanga bingwa 80%

Wachezaji wa Yanga wakishangilia goli. John Joseph, Dar es Salaam
BAADA ya kipigo cha mabao 8-0 ambacho timu yake ilikipata katika mechi ya Ligi Kuu Bara, juzi, Kocha wa Coastal Union ambaye anasifika kwa kuwa na maneno ya ‘shombo’ alikuwa mpole na kutamka: “Nilijua tutafungwa lakini si kwa idadi hii ya mabao, Yanga wapo vizuri ndiyo maana hata wameifunga timu ya nje bao tano…” Kauli ya Julio...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga SC ‘bingwa’

Hakuna shaka, taji la ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu linarudi mitaa ya Twiga na Jangwani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani