Dakika 180 Yanga SC bingwa
Dar es Salaam. Yanga inasubiri dakika 180 ili kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu baada ya jana kuifunga Stand United ya Shinyanga kwa mabao 3-2 katika mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U7YWT3FNhpwhaImj8R-Id-RS72fc3kBkyu-L1rhnA55cMBXOj9VjzDwo62B3p3pROwuOY4dCwtK**ZNwLxtDGO5TzaFtauvN/1.jpg?width=600)
Kocha Simba ataka dakika 180 kuimaliza Yanga
9 years ago
Raia Mwema21 Oct
Tunaifungaje Algeria kwa kamati za dakika 180?
JUMATANO ya Aprili 15, 2015, katika ukurasa huu niliandika makala kuhusu timu ya taifa Tanzania ‘
Mwandishi Wetu
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Yanga, Azam, Simba spidi 180
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/SIMBA-YANGA-3.jpg)
VPL: YANGA 2-0 SIMBA, DAKIKA 90 ZIMEKWISHA
10 years ago
Mwananchi14 Mar
UDHAIFU: Dakika 45 za mwisho zaiua Yanga SC
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Dakika 45 za mwisho ngumu Simba, Yanga
10 years ago
Mtanzania27 Apr
DAKIKA 90 ZA UBINGWA YANGA * yaikamia Polisi Moro leo.
ABDUCADO EMMANUEL NA THERESIA GASPER, DAR
NI sherehe tu! Timu ya Yanga imepanga kufungua champagne endapo watapata pointi tatu dhidi ya Polisi Morogoro leo, zitakazowafanya kutangazwa mabingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom msimu huu.
Yanga itashuka kwenye Uwanja wa Taifa jijini hapa ikisaka pointi tatu dhidi ya Polisi Moro zitakazowafanya kufikisha pointi 55 ambazo hazitaweza kufikiwa na mabingwa watetezi Azam FC wenye pointi 45 katika nafasi ya pili.
Katibu Mkuu wa Yanga, Dk. Jonas Tiboroha, jana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hfETSd8GAVo9A6Uv*5RT5lLFpDzSpp1s9DDfr9g7A2mw1H5smI2tdzAKKSOWeXfu6kDHx1RwrEdpxhhEnQo*56s/yanga.jpg?width=650)
Yanga bingwa 80%
10 years ago
Mwananchi25 Apr
Yanga SC ‘bingwa’