DAKIKA 90 ZA UBINGWA YANGA * yaikamia Polisi Moro leo.
ABDUCADO EMMANUEL NA THERESIA GASPER, DAR
NI sherehe tu! Timu ya Yanga imepanga kufungua champagne endapo watapata pointi tatu dhidi ya Polisi Morogoro leo, zitakazowafanya kutangazwa mabingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom msimu huu.
Yanga itashuka kwenye Uwanja wa Taifa jijini hapa ikisaka pointi tatu dhidi ya Polisi Moro zitakazowafanya kufikisha pointi 55 ambazo hazitaweza kufikiwa na mabingwa watetezi Azam FC wenye pointi 45 katika nafasi ya pili.
Katibu Mkuu wa Yanga, Dk. Jonas Tiboroha, jana...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zWR544iNvLw/VT5F4U-rohI/AAAAAAABYCs/DagOyJU4tH0/s72-c/1.jpg)
UBINGWA YANGA WANUKIA, YAONGOZA 2-0 DHIDI YA POLISI MORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-zWR544iNvLw/VT5F4U-rohI/AAAAAAABYCs/DagOyJU4tH0/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3qF5arxuyb0/VT5FqAw_1uI/AAAAAAABYCc/_vI0qgaaY5g/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nGLNQDZ1Pdo/VT5FwwOv5vI/AAAAAAABYCk/dh0LdXeS86U/s1600/3..jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8gAylGNOAXg/VT5F7XdoHRI/AAAAAAABYC0/gt5d6pj1ASk/s1600/4.jpg)
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Yanga, Polisi Moro wachimbana mkwara
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Polisi Moro: Yanga acheni visingizio vyenu
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zWR544iNvLw/VT5F4U-rohI/AAAAAAABYCs/DagOyJU4tH0/s72-c/1.jpg)
YANGA BINGWA 2015,YAINYUKA POLISI MORO 4-1
![](http://4.bp.blogspot.com/-zWR544iNvLw/VT5F4U-rohI/AAAAAAABYCs/DagOyJU4tH0/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3qF5arxuyb0/VT5FqAw_1uI/AAAAAAABYCc/_vI0qgaaY5g/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nGLNQDZ1Pdo/VT5FwwOv5vI/AAAAAAABYCk/dh0LdXeS86U/s1600/3..jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8gAylGNOAXg/VT5F7XdoHRI/AAAAAAABYC0/gt5d6pj1ASk/s1600/4.jpg)
10 years ago
GPLYANGA YAINOA POLISI MORO 1-0 UWANJA WA JAMHURI MKOANI MOROGORO
10 years ago
MichuziUbingwa wanukia kwa Yanga, yaichapa Ruvu Shooting bao 5-0 leo
Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman, akishangilia bao aliloifungia timu yake dhidi ya Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa. Yanga imeshinda 5-0. (Picha na Francis Dande).
![](http://3.bp.blogspot.com/-_815IVohPwo/VTplBhnrmCI/AAAAAAABXqc/PlFdpnBSLqY/s1600/2.jpg)
Juma Abdul (kushoto) akichuana na beki...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-YfeWR9TFKNI/Va0De2WQO_I/AAAAAAAAWak/82cqhBYxmNo/s72-c/1%2B%25281%2529.jpg)
NMB BANK YALIPATIA JESHI LA POLISI VIFAA VYA MICHEZO, NI KWA AJILI YA TIMU ZA POLISI DAR NA MORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-YfeWR9TFKNI/Va0De2WQO_I/AAAAAAAAWak/82cqhBYxmNo/s640/1%2B%25281%2529.jpg)
10 years ago
Mwananchi23 Apr
Dakika 180 Yanga SC bingwa
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Dakika 45 za mwisho ngumu Simba, Yanga