Yanga SC ‘bingwa’
Hakuna shaka, taji la ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu linarudi mitaa ya Twiga na Jangwani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hfETSd8GAVo9A6Uv*5RT5lLFpDzSpp1s9DDfr9g7A2mw1H5smI2tdzAKKSOWeXfu6kDHx1RwrEdpxhhEnQo*56s/yanga.jpg?width=650)
Yanga bingwa 80%
9 years ago
Habarileo05 Nov
Pluijm: Yanga bingwa
KOCHA wa Yanga, Hans van der Pluijm, amesema timu yake bado ina nafasi kubwa ya kutetea ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu huu na kwamba haoni sababu ya mashabiki wa timu hiyo kuwa na hofu. Kwa sasa, Yanga iko katika nafasi ya pili ya msimamo wa ligi ikiwa na pointi 23, kileleni ikiwemo Azam yenye pointi 25.
9 years ago
Mwananchi08 Sep
‘Bingwa ni Yanga au Azam'
10 years ago
Mtanzania28 Apr
Yanga Bingwa 2014/2015
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KLABU ya Yanga jana iliivua rasmi ubingwa timu ya Azam, baada ya kuichapa Polisi Morogoro mabao 4-1, katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na kufikisha pointi 55, ambazo haziwezi kufikiwa na timu yoyote, hivyo kuwa mabingwa wa michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL) msimu wa 2014/2015.
Ubingwa huo ni wa 25 kwa Yanga tangu kuanzishwa kwa michuano ya Ligi Kuu, huku ikiwaacha watani wao wa jadi, Simba waliochukua ubingwa huo mara 18,...
10 years ago
Mwananchi23 Apr
Dakika 180 Yanga SC bingwa
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Yanga ni bingwa Tanzania Bara
10 years ago
Mwananchi28 Apr
Miaka 50, Yanga bingwa mara 25
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Mayanja: Bingwa msimu huu ni Yanga au Azam