Yanga ni bingwa Tanzania Bara
Klabu ya Yanga nchini Tanzania imekata mzizi wa fitina baada ya kunyakua ubingwa wa ligi kuu kwa msimu wa mwaka 2014/2015.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili14 Apr
Azam bingwa Tanzania Bara
Kilabu ya Azam FC imetwaa Ubingwa Tanzania bara baada ya kuilaza Mbeya City bao 2-1 .
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Chue-Q3vdoA/U3ZgKu1ammI/AAAAAAAFiKA/9Z3JcCLh4qI/s72-c/unnamed+(3).jpg)
Vodacom kukabidhi zawadi kwa Bingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Mei 27
![](http://4.bp.blogspot.com/-Chue-Q3vdoA/U3ZgKu1ammI/AAAAAAAFiKA/9Z3JcCLh4qI/s1600/unnamed+(3).jpg)
Bingwa wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2013/2014 timu ya Azam FC itakabidhiwa kitita chake cha zawadi Sh 75 Milioni Mei 27...
10 years ago
BBCSwahili05 Feb
Yanga yaongoza ligi Tanzania Bara
Bao la nahodha Nadir Haroub “Cannavaro†lilitosha kuipa Yanga ushindi wa goli 1-0 dhidi ya wenyeji wao, Coastal Union
10 years ago
MichuziYANGA YAJICHIMBIA KILELENI LIGI KUU TANZANIA BARA
10 years ago
BBCSwahili03 Feb
Ligi kuu Tanzania Bara ni Yanga&Coastal
Yanga waonya wachezaji wake kutoamini “ndumba†ama uchawi katika kushinda mechi na badala yake wajitume uwanjani.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5I9yGbovrqk/VUpR4EabmPI/AAAAAAAHVxc/auhSTzsRkbg/s72-c/MMGL0780.jpg)
YANGA MABINGWA WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA 2014 - 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-5I9yGbovrqk/VUpR4EabmPI/AAAAAAAHVxc/auhSTzsRkbg/s1600/MMGL0780.jpg)
Mabingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2014- 2015, Yanga wakishangilia ubingwa wao huo mara baada ya kumalizika kwa mtanange wao dhidi ya Azam FC, uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam leo.Mtanange huo ulimalizika kwa Azam kushinda Bao 2-1.
![](http://2.bp.blogspot.com/-iY0FeOWICQU/VUpReAtC49I/AAAAAAAHVwE/kH01q9iQUHo/s1600/IMG_9925.jpg)
Mgeni Rasmi katika Mchezo huo, Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo, Mh. Dkt. Fenella Mukangara akimkabidhi Nahodha wa Timu ya Yanga, Nadir Haroub cheti cha pongezi kutoka kwa Rais wa Shirikisho la Soka Duniani, Sepp Blatter...
10 years ago
MichuziYANGA YAJICHIMBIA KILELENI MWA LIGI KUU YA VODACOM YA SOKA TANZANIA BARA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcJjw3GPHyVIC*ApGRxMIPqGBPvVFg6HZIKwYacdMPf9cHBjst0Yaupl6tk3zcRQSwR-qceH0bF4lDTt-I0aE*j4/azam.jpg?width=650)
Azam bingwa Ligi Kuu Bara
Mshambuliaji wa Azam Fc, Gaudence Mwaikimba akishangilia bao huku akifuatwa na mwenzake, Kipre Tchetche(kulia), nyuma yao ni mwenzao, Himid Mao katika mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Mbeya City kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya, jana. Azam bingwa ligi kuu Na Martha Mboma, Mbeya
ILIKUWA kama vita lakini hatimaye mechi imefanyika, matokeo yamepatikana na rekodi imewekwa kwenye… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania