JK kufungua mkutano wa Mpango wa Uendeshaji wa Shughuli za Serikali kwa Uwazi
![](http://3.bp.blogspot.com/-vh5gjJ2ZVpM/VVr3kG90MDI/AAAAAAAHYNY/9E9xpLlbrzI/s72-c/jakaya_kikwete.jpg)
Na Beatrice Lyimo-MAELEZO
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Jakaya Kikwete anatarajia kufungua mkutano wa Kanda ya Afrika kuhusu Mpango wa Uendeshaji wa Shughuli za Serikali kwa uwazi (OGP).
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Ikulu inaeleza kuwa mkutano huo wenye kauli mbiu isemayo “Kuimarisha Utawala Bora Unaozingatia Uwajibikaji na Uwazi” utafanyika Mei 20 hadi 21, 2015 katika ukumbi wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere, jijini Dar es Salaam.
Aidha, imeeleza kuwa dhumuni la mkutano huo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi15 May
10 years ago
Habarileo21 May
Kikwete: Asasi zifanye shughuli kwa uwazi
RAIS Jakaya Kikwete amesema kuna umuhimu wa asasi za kiraia, kufanya shughuli zao kwa uwazi ili kuwapa fursa wananchi kujua shughuli wanazofanya kwa niaba yao.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ebvuv6nDuvY/XoJJeW3NpoI/AAAAAAALlow/qCB5_S2xo18fsEy5csyajIBnygW8fij7gCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8fMqaxjTzvU/Xmeeh8dLqwI/AAAAAAALic0/Z8RFcC-Jjvc8qBMYZdUMrXdY0_xHhq57ACLcBGAsYHQ/s72-c/1A-1-768x512.jpg)
Majaliwa Kufungua Mkutano wa Mawaziri SADC kwa Njia ya Video
![](https://1.bp.blogspot.com/-8fMqaxjTzvU/Xmeeh8dLqwI/AAAAAAALic0/Z8RFcC-Jjvc8qBMYZdUMrXdY0_xHhq57ACLcBGAsYHQ/s640/1A-1-768x512.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Kanali Wilbert Ibuge akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya Mabadiliko ya mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC utakao fanyika kwa njia ya Mfumo wa Video kufuatia mripuko wa ugonjwa wa Corona (COVID-19) ambao kwa sasa umeikumba nchi ya Afrika ya Kusini ambayo pia ni Nchi mwananchama wa Jumuiya ya SADC.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-27-1024x768.jpg)
Naibu Katibu Mtendaji wa Maswala ya Ushirikiano wa Kikanda (SADC) Thembinkosi Mhlongo...
10 years ago
GPLMR. UWAZI AGAWA SUKARI KWA WASOMAJI WA ‘UWAZI MIZENGWE’ DAR
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_439-qd7GFo/VV3sb9CSzuI/AAAAAAAC448/L4tBY3S4huk/s72-c/1.jpg)
SERIKALI NA TAASISI ZISIZO ZA KISERIKALI ZATAKIWA KUFANYA KAZI KWA UWAZI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-_439-qd7GFo/VV3sb9CSzuI/AAAAAAAC448/L4tBY3S4huk/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-emWJQOrICBo/VV3sb436uDI/AAAAAAAC45M/SC9bCZmRcPw/s640/2.jpg)
10 years ago
VijimamboMAALIM SEIF AMUWAKILISHA DK. SHEIN KUFUNGUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA MUZIKI KWA NCHI ZA JAHAZI
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/c3GiyxpKr-I/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Mar
Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe awasili Arusha tayari kwa kufungua mkutano wa vijana viongozi wa China na Afrika Ngurudoto
Rais wa Zimbabwe Mh. Robert Mugabe akishuka kwenye Ndege wakati alipowasili kwenye uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro International Airport (KIA) tayari kwa kufungua mkutano wa Vijana Viongozi wa Afrika na China (African- China Young Leaders Forum) unaofanyika kwenye hoteli ya Ngurudoto Mkoani Arusha kwa siku 4 ukijumuisha vijana kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika na China, Mzee Robert Mugabe amepokelewa na Makamu wa Rais Mh. Dr. Gharib Bilal kulia na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu...