TAARIFA KUHUSU MKUTANO WA KANDA YA AFRIKA WA MPANGO WAUENDESHAJI WA SHUGHULI ZA SERIKALI KWA UWAZI (OGP)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vh5gjJ2ZVpM/VVr3kG90MDI/AAAAAAAHYNY/9E9xpLlbrzI/s72-c/jakaya_kikwete.jpg)
JK kufungua mkutano wa Mpango wa Uendeshaji wa Shughuli za Serikali kwa Uwazi
![](http://3.bp.blogspot.com/-vh5gjJ2ZVpM/VVr3kG90MDI/AAAAAAAHYNY/9E9xpLlbrzI/s400/jakaya_kikwete.jpg)
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Jakaya Kikwete anatarajia kufungua mkutano wa Kanda ya Afrika kuhusu Mpango wa Uendeshaji wa Shughuli za Serikali kwa uwazi (OGP).
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Ikulu inaeleza kuwa mkutano huo wenye kauli mbiu isemayo “Kuimarisha Utawala Bora Unaozingatia Uwajibikaji na Uwazi” utafanyika Mei 20 hadi 21, 2015 katika ukumbi wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere, jijini Dar es Salaam.
Aidha, imeeleza kuwa dhumuni la mkutano huo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZG6ooWFLmPg/XuG5FRWdPbI/AAAAAAAEHlQ/BggLxGJ34PseOVBUqjAZ5ieGSfMCrpTtACLcBGAsYHQ/s72-c/Uzinduzi%2B-%2B1.jpg)
SERIKALI YAZINDUA MWONGOZO WA TAIFA WAUENDESHAJI WA SHUGHULI ZA UTALII NCHINI TANZANIA WAKATI HUU WA JANGA LA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZG6ooWFLmPg/XuG5FRWdPbI/AAAAAAAEHlQ/BggLxGJ34PseOVBUqjAZ5ieGSfMCrpTtACLcBGAsYHQ/s640/Uzinduzi%2B-%2B1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/0af0099e-3e4f-4770-b66e-79678b3f934b.jpg)
11 years ago
Michuzi16 Jun
10 years ago
Habarileo21 May
Kikwete: Asasi zifanye shughuli kwa uwazi
RAIS Jakaya Kikwete amesema kuna umuhimu wa asasi za kiraia, kufanya shughuli zao kwa uwazi ili kuwapa fursa wananchi kujua shughuli wanazofanya kwa niaba yao.
10 years ago
Dewji Blog10 Jun
Dkt. Bilal amuwakilisha Rais Kikwete katika mkutano wa Utengamano wa Biashara kwa kanda za utatu za Afrika
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza katika Mkutano mkuu wa tatu wa Mkutano Mkuu wa tatu wa Wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Soko la pamoja la nchi za Kusini mwa Afrika (COMESA) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), uliofanyika leo Juni 10, 2015 kwenye ukumbi wa Kimataifa wa mikutano wa Jolie Vile, Sharma El Sheikh. Agenda ya mkutano huo ni kupokea taarifa ya majadiliano ya kuanzisha eneo huru la Biashara la Utatu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0NnbyC9fgxg/Xn3m8An5VzI/AAAAAAALlSg/23AuC6e-pvUhOseL5DzpwNFXwdr81r-8ACLcBGAsYHQ/s72-c/39a1c201-bb67-4b73-aa44-3876b031b88d.jpg)
JESHI LA POLISI KANDA MAALUM DAR ES SALAAM YAWASHIKILIA MUME,MKE KWA TUHUMA ZA KUENEZA TAARIFA ZA UONGO KUHUSU CORONA
Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema linawashikilia watu wawili ambao ni mume na mke kwa tuhuma na kueneza taarifa za uongo kwa wananchi kuhusu ugonjwa COVID-19(Corona) na kwamba watafikishwa mahakamani wakati wowote.
Akizungumza leo Machi 27 mwaka 2020 ,Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amesema watu hao wamekamatwa Machi 20 mwaka huu saa saba mchana wakiwa kwenye daladala aina ya Toyota DCM...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LL8qL5yYJIk/VQLGmmOTmmI/AAAAAAAHKD4/VCo7lRDUeco/s72-c/download%2B(3).jpg)
TAARIFA KUHUSU KUANZA KWA MKUTANO WA 19 WA BUNGE JUMANNE IJAYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-LL8qL5yYJIk/VQLGmmOTmmI/AAAAAAAHKD4/VCo7lRDUeco/s1600/download%2B(3).jpg)
1.0 MISWADA YA SHERIA:1.1 MISWADA YA SHERIA YA SERIKALI:a) Kusomwa kwa mara ya Kwanza na hatua zake zote: Katika Mkutano huo, Kwa mujibu wa Kanuni ya 93(3) ya Kanuni za Bunge Toleo la Aprili 2013 Jumla ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wrbApF9NTMk/XmjwgbhTxuI/AAAAAAALioc/zHMO4iM5mmEybaplira6WIwCvZI2JrTuwCLcBGAsYHQ/s72-c/PIC-2AA-768x512.jpg)
HIVI NDIVYO DKT. MPANGO ALIVYOWASILISHA MAPENDEKEZO KUHUSU MPANGO WA KIWANGO CHA UKOMO WA BAJETI YA SERIKALI 2020/2021
![](https://1.bp.blogspot.com/-wrbApF9NTMk/XmjwgbhTxuI/AAAAAAALioc/zHMO4iM5mmEybaplira6WIwCvZI2JrTuwCLcBGAsYHQ/s640/PIC-2AA-768x512.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-BjXKH2kdwcw/Vdb4f-w6ZuI/AAAAAAAHyxk/xBVGfAlViN4/s72-c/images.jpg)
TAMKO LA SERIKALI KUHUSU MPANGO WA MAFUNZO KWA MADEREVA KUPITIA CHAMA CHA TADWU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-BjXKH2kdwcw/Vdb4f-w6ZuI/AAAAAAAHyxk/xBVGfAlViN4/s1600/images.jpg)
1. Serikali imepata taarifa za kuwepo kwa mpango wa mafunzo kwa madereva nchini kote, ulioandaliwa na Chama cha Wafanyakazi Madereva Tanzania-Tanzania Drivers Workers Union (TADWU) kuanzia wiki ijayo. Mpango huo umeelezwa kuwa njia mbadala ya tishio la mgomo lililotolewa na viongozi wa Chama hicho hapo awali, ili kuweza kupata suluhisho la malalamiko yao.
Malalamiko hayo yalihusu Mkataba ya Ajira inayokidhi matakwa ya kisheria, nyongeza ya posho na viwango vya...