DC APSON AMJULIA HALI MVUVI ALIYENG'ATWA MKONO NA MAMBA, AAHIDI KUMUANZISHIA BIASHARA, KUSIMAMIA MATIBABU
![](https://1.bp.blogspot.com/-X8OwQup7njw/Xs7LL-OIfWI/AAAAAAABMQc/0s6usAMSJb0lO7P692GUxWBwN71lfMqNQCLcBGAsYHQ/s72-c/99284450_3462504267111567_5372765501862707200_o.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro, Tom Apson (kushoto), akiwa Hospitali ya Usangi kumjulia hali majeruhi aliyeshambuliwa na mamba katika Ziwa Jipe wakati akivua samaki. Mvuvi huyo amekatwa na mamba nusu ya mkono wake wa kushoto.
Baada ya hapo, DC Apson aliamua kwenda nyumbani kwa majeruhi kutoa pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki. Pia alijumuika na viongozi wa kijiji na kata ya Kigonigoni.
"Hata hivyo kama Kiongozi Mkuu wa Serikali wilayani Mwanga nimeamua tutasimamia...
CCM Blog