Benki, Suma JKT kuboresha kilimo
BENKI ya Wanawake Tanzania (TWB) kwa kushirikiana na Jeshi la Kujenga Taifa kupitia SUMA JKT, wamesaini makubaliano ya kufanya mageuzi makubwa ya kilimo cha biashara cha umwagiliaji kwenye ardhi inayomilikiwa na jeshi hilo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziBenki ya wanawake, SUMA JKT kuanzisha kilimo cha kisasa ya umwagiliaji
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Wanawake, Bi.Margareth Chacha, amewaambia waandishi wa habari hivi karibuni kuwa ubia huo pia utawanufaisha sana wakulima wadogo wadogo ambao wanayazunguka maeneo ya JKT kwani mazao yao watayauza kwa JKT.
“Makubaliano haya ni hatua...
11 years ago
Mwananchi24 Apr
Vigogo Suma JKT huru
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ym9FR2BsclM/UxhWp-V-T8I/AAAAAAAFRYU/9vXq67Hpthw/s72-c/banner.jpg)
STAMICO yaipongeza SUMA JKT
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ym9FR2BsclM/UxhWp-V-T8I/AAAAAAAFRYU/9vXq67Hpthw/s1600/banner.jpg)
SHIRIKA la Uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa, SUMA JKT, limepongezwa kwa juhudi zake katika kuhakikisha ulinzi unaimarika katika maeneo ya mgodi wa STAMIGOLD uliopo Biharamulo Kagera.
Mgodi huo kwa sasa umekabidhiwa kwa serikali ambapo unaendeshwa chini ya shirika la madini la STAMICO.
Pongezi hizo zilitolewa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa STAMICO, Rumisha Kimambo katika kikao kilichojumuisha Bodi yake na uongozi wa mgodi wa huo kilichofanyika...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Kesi ya Suma JKT yashika kasi
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imesema Februari 5, mwaka huu itatoa uamuzi wa kuwaona Kanali wa Jeshi la Kujenga Taifa, Ayoub Mwakang’ata na wenzake wanaokabiliwa na makosa...
11 years ago
Habarileo24 Apr
Vigogo Suma JKT waachiwa huru
VIGOGO saba wa Shirika la Uchumi la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMA JKT) waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya madaraka, wameachiwa huru katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Habarileo04 Feb
Hatima ya vigogo SUMA JKT kesho
HATIMA ya vigogo wa Shirika la Uchumi la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMA JKT) itajulikana kesho wakati Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, itakapotoa uamuzi kama wana kesi ya kujibu au la. Endapo washitakiwa watapatikana na kesi ya kujibu watatakiwa kupanda kizimbani kujitetea na kama hawana kesi ya kujibu wataachiwa huru.
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
Vigogo Suma JKT waigalagaza serikali
HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imemwachiria huru Mkurugenzi wa Shirika la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMA JKT), Kanali Ayoub Mwakang’ata na maofisa wenzake sita waliokuwa...
11 years ago
Daily News24 Apr
Court acquits Suma JKT officers
Daily News
THE Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam acquitted all seven senior army officials from Suma JKT, who were charged with abuse of office during execution of a contract for construction of Msata-Bagamoyo Road. Senior Resident Magistrate ...
11 years ago
Habarileo13 Mar
Kesi ya vigogo Suma JKT yanguruma
MEJA Jenerali, Dk Adam Mwamulange ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMA JKT), lilipewa jukumu la kununua vifaa vya Kampuni ya Takopa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa barabara ya Msata hadi Bagamoyo.