Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NIDA yabaini udanganyifu

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

NIDA IMEUNDWA KWA MUJIBU WA SHERIA NA MAJUKUMU YA NIDA YAPO WAZI HIVYO NEC WAACHENI NIDA WAFANYE KAZI KAMA WALIVYOPANGIWA :WAZIRI CHIKAWE

 Waziri wa mambo ya ndani ya  nchi Mathias Chikawe  akiwa anafunga mkutano wa wafanyakazi wa mamlaka ya vitambulisho vya taifa  uliokuwa unafanyika ndani ya hotel ya snowcrest jiji Arusha.  washiriki  katika mkutano wa Wafanyakazi wa  Mamlaka ya vitambulisho vya taifa NIda wakiwa wanamsikiliza waziri wa mambo ya ndani ya nchi kwa makini wakati akifunga mkutano wao katika hotel ya snowcrest waziri akiwa anapena mkono na mkurugenzi mara baada ya kutoa  risala ya kufunga mkutano huo Mkurugenzi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yakanusha kushiriki udanganyifu

Shirikisho la riadha la Kenya limekanusha kushiriki udanganyifu na njama ya kuficha matumizi ya madawa haramu ya kuongeza nguvu mwilini

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa china na udanganyifu kielimu

Raia 15 wa China wamefunguliwa mashitaka nchini Marekani kwa tuhuma za udanganyifu wa matokeo na nyaraka za kitaaluma walizozitumia kujiunga na elimu ya juu nchini Marekani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Pacquiao ashutumiwa kwa udanganyifu

Bondia wa Ufilipino Manny Pacquiao ameshutumiwa kwa udanganyifu wa kuumia bega kabla ya pambano na Floyd Mayweather

 

10 years ago

BBCSwahili

Udanganyifu wa mitihani ni kawaida India

Udanganyifu wa mtihani umekuwa jambo la kawaida katika Jimbo la India la Bihar lakini picha

 

11 years ago

BBCSwahili

Bunge Kenya kukomesha 'udanganyifu'

Bunge nchini Kenya limeidhinisha mfumo mpya wa kisasa wa kuwatambua wabunge wanaohudhuria vikao bungeni kwa kutumia alama za vidole vyao.

 

10 years ago

BBCSwahili

India:Wanafunzi wahalalisha udanganyifu

Wanafunzi nchini India wamedai kuwa ni haki yao kuibia kwenye mitihani ya Chuo kikuu

 

10 years ago

Mtanzania

Pacquiao kuadhibiwa kwa udanganyifu

LAS VEGAS, MAREKANI

BONDIA Manny Pacquiao anaweza kufungiwa au kupigwa faini na viongozi wa Kamisheni ya Ngumi Nevada kwa kushindwa kuweka wazi majeraha ya bega kabla ya pambano lake dhidi ya Floyd Mayweather Jr.

Alfajiri ya Jumapili Mfilipino huyo alipigwa na Mayweather kwa pointi kwenye pambano la karne lililofanyika Las Vegas, lakini baadaye Pacquiao alisingizia alipata maumivu ya bega mazoezini yaliyomfanya kushindwa kutumia vema mkono wake wa kushoto.

Mwenyekiti wa Kamisheni hiyo,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Udanganyifu wa mechi wakumba soka Kenya

Uchunguzi uliofanywa umeelezea vile walaghai wa kimataifa huwahonga marefa,wachezaji na maafisa wa mashirikisho

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani