Bendera za ASP zazua taharuki Zanzibar
>Chama cha CUF kimesema hakihusiki na bendera za Afro Shiraz Party(ASP) zinazoonekana katika mikutano yake ya hadhara inayofanyika Unguja na Pemba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo25 Jan
Daladala zazua taharuki Mwanza
WAKAZI wa jiji la Mwanza jana wamekumbana na taharuki baada ya barabara ya Nyerere kushindwa kupitika kufuatia madereva wa daladala yanayofanya safari zake kati ya Airport, Bwiru – Igoma/Kishiri kuegesha kwenye barabara hiyo hivyo kusababisha msongamano wa magari.
9 years ago
Mtanzania24 Oct
Tuhuma za Nagu kuiba kura zazua taharuki
NA MWANDISHI WETU.
TAARIFA ambazo zimetajwa kuwa ni za kizushi dhidi ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Uratibu na Uhusiano, Dk. Mary Nagu kwamba amekamatwa na masanduku kumi yakiwa kura zilizokwisha pigwa zimezua taharuki katika jamii.
Habari hiyo ya Nagu, iliyoanza kusambaa kwa kasi jana jioni kupitia mitandao ya kijamii muda mfupi kabla ya gazeti hili halijakwenda mitamboni iliibua mshtuko na mshangao kwa jamii hususani watu wanaofuatilia mwenendo wa Uchaguzi Mkuu kwa ukaribu.
Gazeti hili...
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Bendera za Uamsho zazua mambo Z’bar
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--OZiXMjNZKc/VLkEindBcpI/AAAAAAAG9z0/i8zY7RsrDew/s72-c/Chama_Cha_Mapinduzi_Logo.png)
CCM ZANZIBAR YAOMBOLEZA KIFO CHA MWASISI WA ASP MAREHEMU MAKAME MZEE SULEIMAN
![](http://4.bp.blogspot.com/--OZiXMjNZKc/VLkEindBcpI/AAAAAAAG9z0/i8zY7RsrDew/s1600/Chama_Cha_Mapinduzi_Logo.png)
Marehemu Makame Mzee Suleiman, alizaliwa tarehe 14 Aprili, 1926, katika Kijiji cha Mitakawani, Wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini, Unguja.
Alipata Elimu ya Msingi katika Skuli ya Uzini mwaka 1936. Aidha,...
11 years ago
Habarileo17 Dec
‘Bendera ya Muungano ni mali ya Zanzibar’
WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi wameambiwa kwamba bendera ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni mali ya sehemu mbili za Muungano, na inapepea Ofisi za Umoja wa Mataifa kwa ridhaa ya Zanzibar.
10 years ago
Mwananchi22 Feb
CUF yatoa vifaa, yapeperusha bendera ya Afro Shiraz Zanzibar
10 years ago
Mwananchi22 Feb
Ukawa watikisa: CUF yatoa vifaa, yapeperusha bendera ya Afro Shiraz Zanzibar
11 years ago
Habarileo07 Jan
Ashauri watumie uzoefu wa ASP
AKINAMAMA wa CCM pamoja na jumuiya zake wametakiwa kutumia uzoefu wa wenzao wa Chama cha Afro Shirazi Party (ASP), ambao walipata mafanikio makubwa na kuendesha miradi yao kwa faida.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z7VRZdyc85I/XuDwMmmmLJI/AAAAAAALtYs/26KdmXH8Ng8uiY_88PkwbfTA0X3xkiwGQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B12.14.27%2BPM.jpeg)
ASP. Mboje ateuliwa kuwa Mkuu wa Gereza Rombo, Kilimanjaro
![](https://1.bp.blogspot.com/-z7VRZdyc85I/XuDwMmmmLJI/AAAAAAALtYs/26KdmXH8Ng8uiY_88PkwbfTA0X3xkiwGQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B12.14.27%2BPM.jpeg)