Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Daladala zazua taharuki Mwanza

MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magesa MulongoWAKAZI wa jiji la Mwanza jana wamekumbana na taharuki baada ya barabara ya Nyerere kushindwa kupitika kufuatia madereva wa daladala yanayofanya safari zake kati ya Airport, Bwiru – Igoma/Kishiri kuegesha kwenye barabara hiyo hivyo kusababisha msongamano wa magari.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Bendera za ASP zazua taharuki Zanzibar

>Chama cha CUF kimesema hakihusiki na bendera za Afro Shiraz Party(ASP) zinazoonekana katika mikutano yake ya hadhara inayofanyika Unguja na Pemba.

 

9 years ago

Mtanzania

Tuhuma za Nagu kuiba kura zazua taharuki

Dr.MaryNaguNA MWANDISHI WETU.

TAARIFA ambazo zimetajwa kuwa ni za kizushi dhidi ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Uratibu na Uhusiano, Dk. Mary Nagu kwamba amekamatwa na masanduku kumi yakiwa kura zilizokwisha pigwa zimezua taharuki katika jamii.

Habari hiyo ya Nagu, iliyoanza kusambaa kwa kasi jana jioni kupitia mitandao ya kijamii muda mfupi kabla ya gazeti hili halijakwenda mitamboni iliibua mshtuko na mshangao kwa jamii hususani watu wanaofuatilia mwenendo wa Uchaguzi Mkuu kwa ukaribu.

Gazeti hili...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Daladala Mwanza zagoma

JIJI la Mwanza jana lilikumbwa na taharuki kubwa, baada ya wamiliki na waendesha daladala wa jiji hilo kugoma kutoa huduma. Mgomo huo ulianza kati ya saa 11 alfajiri hadi saa...

 

11 years ago

Daily News

Daladala operators 'strike' in Mwanza


Daladala operators 'strike' in Mwanza
Daily News
THOUSANDS of residents were forced to board goods trucks, motorcycles and tricycles at hiked prices after commuter buses and daladala operators stopped services to protest against what they described as the “poorly constructed stand'' near the Buzuruga ...

 

5 years ago

Raia Mwema

Daladala zaigomea serikali Mwanza

MAKONDAKTA wa daladala jijini Mwanza wamejenga kiburi cha kutowapatia abiria wao tiketi kinyume c

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

GPL

MGOMO WA WAENDESHA DALADALA JIJINI MWANZA LEO

Daladala zikiwa zimepaki katika Jiji la Mwanza kutokana na mgomo wa madereva. Taswira kutoka maeneo ya Jiji la Mwanza baada ya mgomo wa waendesha daladala.…

 

5 years ago

CCM Blog

NJIA, VITUO VYA DALADALA JIJININ MWANZA VYABADILISHWA

Jiji la Mwanza limetangaza mabadiliko ya njia za daladala na vituo vya kupakia na kushusha abiria katikati ya Jiji.

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya jiji la Mwanza, Kiomoni Kibamba amelieleza Mwananchi leo Jumatatu Februari 17, 2020 kwamba mabadiliko hayo yameanza Februari 15, 2020.

Amesema yanalenga kuondoa msongamano katikati ya mji, hasa eneo la barabara ya Pamba ambako unaendelea ujenzi wa soko kuu jipya.

“Tunataka kusiwepo msongamano wa daladala zinazosimama kupakia na kushusha katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Tiketi za elektroniki zazua jambo

>Bodi ya Ligi (PTL) inayosimamia Ligi Kuu Bara, imeamua kuingilia kati suala la kutumika kwa tiketi za elektroniki baada ya kuomba kupata taarifa ya fedha zinazoingia kutokana na mauzo ya tiketi.

 

11 years ago

Mwananchi

Tiketi za elektroniki zazua balaa

>Utoaji tiketi za ki-eletroniki kwenye mechi ya kirafiki iliyozikutanisha timu za Mbeya City na Tanzania Prisons kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya, umeingia dosari baada ya wengi kutoingia uwanjani kwa madai ya kukosa tiketi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani