Daladala zazua taharuki Mwanza
WAKAZI wa jiji la Mwanza jana wamekumbana na taharuki baada ya barabara ya Nyerere kushindwa kupitika kufuatia madereva wa daladala yanayofanya safari zake kati ya Airport, Bwiru – Igoma/Kishiri kuegesha kwenye barabara hiyo hivyo kusababisha msongamano wa magari.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Feb
Bendera za ASP zazua taharuki Zanzibar
9 years ago
Mtanzania24 Oct
Tuhuma za Nagu kuiba kura zazua taharuki
NA MWANDISHI WETU.
TAARIFA ambazo zimetajwa kuwa ni za kizushi dhidi ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Uratibu na Uhusiano, Dk. Mary Nagu kwamba amekamatwa na masanduku kumi yakiwa kura zilizokwisha pigwa zimezua taharuki katika jamii.
Habari hiyo ya Nagu, iliyoanza kusambaa kwa kasi jana jioni kupitia mitandao ya kijamii muda mfupi kabla ya gazeti hili halijakwenda mitamboni iliibua mshtuko na mshangao kwa jamii hususani watu wanaofuatilia mwenendo wa Uchaguzi Mkuu kwa ukaribu.
Gazeti hili...
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
Daladala Mwanza zagoma
JIJI la Mwanza jana lilikumbwa na taharuki kubwa, baada ya wamiliki na waendesha daladala wa jiji hilo kugoma kutoa huduma. Mgomo huo ulianza kati ya saa 11 alfajiri hadi saa...
11 years ago
Daily News18 Feb
Daladala operators 'strike' in Mwanza
Daily News
THOUSANDS of residents were forced to board goods trucks, motorcycles and tricycles at hiked prices after commuter buses and daladala operators stopped services to protest against what they described as the “poorly constructed stand'' near the Buzuruga ...
5 years ago
Raia Mwema12 Mar
Daladala zaigomea serikali Mwanza
MAKONDAKTA wa daladala jijini Mwanza wamejenga kiburi cha kutowapatia abiria wao tiketi kinyume c
Mwandishi Wetu
10 years ago
GPLMGOMO WA WAENDESHA DALADALA JIJINI MWANZA LEO
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-gWHdCms57VE/XkrQRxcOVtI/AAAAAAABmSw/Oj6neK4rEcU2jtGzriD31aezr62Gl39gACLcBGAsYHQ/s72-c/19384857041_637b065b23_b.jpg)
NJIA, VITUO VYA DALADALA JIJININ MWANZA VYABADILISHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gWHdCms57VE/XkrQRxcOVtI/AAAAAAABmSw/Oj6neK4rEcU2jtGzriD31aezr62Gl39gACLcBGAsYHQ/s640/19384857041_637b065b23_b.jpg)
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya jiji la Mwanza, Kiomoni Kibamba amelieleza Mwananchi leo Jumatatu Februari 17, 2020 kwamba mabadiliko hayo yameanza Februari 15, 2020.
Amesema yanalenga kuondoa msongamano katikati ya mji, hasa eneo la barabara ya Pamba ambako unaendelea ujenzi wa soko kuu jipya.
“Tunataka kusiwepo msongamano wa daladala zinazosimama kupakia na kushusha katika...
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Tiketi za elektroniki zazua jambo
11 years ago
Mwananchi08 Jul
Tiketi za elektroniki zazua balaa