Daladala Mwanza zagoma
JIJI la Mwanza jana lilikumbwa na taharuki kubwa, baada ya wamiliki na waendesha daladala wa jiji hilo kugoma kutoa huduma. Mgomo huo ulianza kati ya saa 11 alfajiri hadi saa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Daladala zagoma kwa saa 8
MABASI ya abiria ‘daladala’ yanayofanya safari zake mjini Iringa, jana yaligoma kwa saa 8 na kusababisha usumbufu kwa wakazi wa Manispaa ya Iringa na viunga vyake. Wakizungumza kwa nyakati tofauti...
10 years ago
Habarileo25 Jan
Daladala zazua taharuki Mwanza
WAKAZI wa jiji la Mwanza jana wamekumbana na taharuki baada ya barabara ya Nyerere kushindwa kupitika kufuatia madereva wa daladala yanayofanya safari zake kati ya Airport, Bwiru – Igoma/Kishiri kuegesha kwenye barabara hiyo hivyo kusababisha msongamano wa magari.
11 years ago
Daily News18 Feb
Daladala operators 'strike' in Mwanza
Daily News
THOUSANDS of residents were forced to board goods trucks, motorcycles and tricycles at hiked prices after commuter buses and daladala operators stopped services to protest against what they described as the “poorly constructed stand'' near the Buzuruga ...
5 years ago
Raia Mwema12 Mar
Daladala zaigomea serikali Mwanza
MAKONDAKTA wa daladala jijini Mwanza wamejenga kiburi cha kutowapatia abiria wao tiketi kinyume c
Mwandishi Wetu
10 years ago
GPLMGOMO WA WAENDESHA DALADALA JIJINI MWANZA LEO
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-gWHdCms57VE/XkrQRxcOVtI/AAAAAAABmSw/Oj6neK4rEcU2jtGzriD31aezr62Gl39gACLcBGAsYHQ/s72-c/19384857041_637b065b23_b.jpg)
NJIA, VITUO VYA DALADALA JIJININ MWANZA VYABADILISHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gWHdCms57VE/XkrQRxcOVtI/AAAAAAABmSw/Oj6neK4rEcU2jtGzriD31aezr62Gl39gACLcBGAsYHQ/s640/19384857041_637b065b23_b.jpg)
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya jiji la Mwanza, Kiomoni Kibamba amelieleza Mwananchi leo Jumatatu Februari 17, 2020 kwamba mabadiliko hayo yameanza Februari 15, 2020.
Amesema yanalenga kuondoa msongamano katikati ya mji, hasa eneo la barabara ya Pamba ambako unaendelea ujenzi wa soko kuu jipya.
“Tunataka kusiwepo msongamano wa daladala zinazosimama kupakia na kushusha katika...
10 years ago
Mtanzania24 Feb
Mashine za BVR zagoma tena Makambako
Na Michael Mapollu, Makambako
UBORESHAJI wa Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa kutumia mfumo mpya wa kielekroniki umeingia dosari baada ya baadhi ya mashine zinazotumika kwa ajili ya kazi hiyo kushindwa kufanya kazi.
Kazi hiyo iliingia dosari jana katika Mji mdogo wa Makambako mkoani Njombe ikiwa ni siku ya kwanza ya kuanza uandikishaji huo.
Tatizo hilo lilibainika baada ya mashine nyingi zilizopangwa kufanikisha kazi hiyo kutofanya kazi katika baadhi ya vituo vilivyotengwa kwa ajili ya...
10 years ago
Mwananchi17 Mar
Kenya, Nigeria zagoma kuiazima Tanzania BVR
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5LCmscRm0iM/U6fLwB_oopI/AAAAAAAAiOk/9HHcPNLfYp4/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MEMBE AZINDUA FILAMU MPYA YA 'I LOVE MWANZA' JIJINI MWANZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-5LCmscRm0iM/U6fLwB_oopI/AAAAAAAAiOk/9HHcPNLfYp4/s1600/1.jpg)