Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Daladala zaigomea serikali Mwanza

MAKONDAKTA wa daladala jijini Mwanza wamejenga kiburi cha kutowapatia abiria wao tiketi kinyume c

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Daladala Mwanza zagoma

JIJI la Mwanza jana lilikumbwa na taharuki kubwa, baada ya wamiliki na waendesha daladala wa jiji hilo kugoma kutoa huduma. Mgomo huo ulianza kati ya saa 11 alfajiri hadi saa...

 

10 years ago

Habarileo

Daladala zazua taharuki Mwanza

MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magesa MulongoWAKAZI wa jiji la Mwanza jana wamekumbana na taharuki baada ya barabara ya Nyerere kushindwa kupitika kufuatia madereva wa daladala yanayofanya safari zake kati ya Airport, Bwiru – Igoma/Kishiri kuegesha kwenye barabara hiyo hivyo kusababisha msongamano wa magari.

 

11 years ago

Daily News

Daladala operators 'strike' in Mwanza


Daladala operators 'strike' in Mwanza
Daily News
THOUSANDS of residents were forced to board goods trucks, motorcycles and tricycles at hiked prices after commuter buses and daladala operators stopped services to protest against what they described as the “poorly constructed stand'' near the Buzuruga ...

 

10 years ago

GPL

MGOMO WA WAENDESHA DALADALA JIJINI MWANZA LEO

Daladala zikiwa zimepaki katika Jiji la Mwanza kutokana na mgomo wa madereva. Taswira kutoka maeneo ya Jiji la Mwanza baada ya mgomo wa waendesha daladala.…

 

5 years ago

CCM Blog

NJIA, VITUO VYA DALADALA JIJININ MWANZA VYABADILISHWA

Jiji la Mwanza limetangaza mabadiliko ya njia za daladala na vituo vya kupakia na kushusha abiria katikati ya Jiji.

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya jiji la Mwanza, Kiomoni Kibamba amelieleza Mwananchi leo Jumatatu Februari 17, 2020 kwamba mabadiliko hayo yameanza Februari 15, 2020.

Amesema yanalenga kuondoa msongamano katikati ya mji, hasa eneo la barabara ya Pamba ambako unaendelea ujenzi wa soko kuu jipya.

“Tunataka kusiwepo msongamano wa daladala zinazosimama kupakia na kushusha katika...

 

9 years ago

Raia Mwema

Tajiri aidharau serikali Mwanza

KATIKA kitendo kinachoonyesha kuidharau serikali, mkazi wa Mtaa wa Nyasaka, Wilaya ya Ilemela mko

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yashauriwa kufuta Jiji la Mwanza

KAMATI ya Bunge inayoshughulikia Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeishauri Serikali kuifuta Halmashauri ya Jiji la Mwanza baada ya kubaini upotevu wa zaidi ya Sh bilioni 40. Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Rajab Mohammed Mbarouk alishauri hayo jana wakati wa kikao cha kupitia taarifa ya CAG ambapo alisema ubadhirifu huo ni wa kati ya mwaka 2010 hadi 2013.

 

10 years ago

Mwananchi

Watendaji wa Serikali Mwanza mmeisikia kauli ya Rais?

Oktoba 10 mwaka huu Rais Jakaya Kikwete alifanya ziara ya siku tatu Mkoa wa Mwanza.

 

10 years ago

StarTV

CCM Mwanza waitaka Serikali kusimamia sheria

Na Abdalla Tilata, Mwanza.

 

Halmashauri kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Mwanza imeitaka Serikali kusimamia sheria ili kuhakikisha kila mwananchi anapata uhuru wa kuchagua kiongozi anayemtaka katika chaguzi mbalimbali badala ya kushinikizwa.

 

Tamko hili la Halmashauri kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Mwanza limekuja ikiwa ni siku chache baada ya kumalizika kwa uchaguzi wa serikali za mitaa na katika baadhi ya vituo wananchi kufanyiwa fujo na baadhi ya wafuasi wa vyama vya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani