Ukawa watikisa: CUF yatoa vifaa, yapeperusha bendera ya Afro Shiraz Zanzibar
>Chama cha Wananchi (CUF) jana kilionyesha jinsi kilivyojiandaa kwa “mwaka wa uamuzi†wakati kilipogawa vifaa mbalimbali vya kusimamia kuwezesha wanachama wake kusimamia Uchaguzi Mkuu katika mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na maelfu ya watu kwenye Uwanja wa Mnazi Mmoja.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Feb
CUF yatoa vifaa, yapeperusha bendera ya Afro Shiraz Zanzibar
9 years ago
MichuziJUMUIYA YA MAAFISA AFYA ZANZIBAR YATOA MSAADA WA MAJI SAFI NA VIFAA TIBA, KAMBI YA WAGONJWA WA KIPINDUPINDU CHUMBUNI ZANZIBAR.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--fdhWpI7sJQ/Xucxc8xZ5wI/AAAAAAALt38/l3GZfr4DzT4Xy0yTrtLPDAaVkzpwPTNOQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BENKI YA NMB YATOA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI SHULE TATU ZA AWALI ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/--fdhWpI7sJQ/Xucxc8xZ5wI/AAAAAAALt38/l3GZfr4DzT4Xy0yTrtLPDAaVkzpwPTNOQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-M3Mg6kB3zK0/VGyc0tVcbdI/AAAAAAAGyPk/tBQsKReFf0s/s72-c/5.jpg)
TRA yatoa msaada wa vifaa tiba kwa Hospitali ya Mnazi Mmoja,Zanzibar leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-M3Mg6kB3zK0/VGyc0tVcbdI/AAAAAAAGyPk/tBQsKReFf0s/s1600/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KwuXFi2d3Xo/VGycyQ6tYfI/AAAAAAAGyPE/zHhEulVwbjY/s1600/1.jpg)
10 years ago
Mtanzania19 Jan
CUF isipeperushe bendera ya Hizbu — CCM
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini imetakiwa kukichukulia hatua za kisheria Chama cha Wananchi (CUF) kwa madai ya kupeperusha bendera ya zamani ya chama cha Afro Shiraz Party (ASP) kinyume na sheria namba 5 ya mwaka 1992.
Tahadhari hiyo kwa msajili na vyombo vya dola imetolewa jana na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Zanzibar, Shaka Hamdu Shaka alipokaribishwa kuhutubia katika mkutano wa hadhara ulioandaliwa na Katibu...
10 years ago
VijimamboLIPUMBA NDIE MGOMBEA PEKEE CUF ATAKAE WAKILISHA CUF KUGOMBEA URAIS UKAWA
![](http://www.habari247.co.tz/site/wp-content/uploads/2014/12/lipumba.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-0ZWkoqMozcI/VI2G4UlV_PI/AAAAAAAG3JU/pm6TFZtyiDE/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
Ukawa watikisa kwa Wasira, Sitta, Membe
![](http://4.bp.blogspot.com/-0ZWkoqMozcI/VI2G4UlV_PI/AAAAAAAG3JU/pm6TFZtyiDE/s640/unnamed%2B(27).jpg)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetamba kutwaa vijiji na vitongoji wanavyotoka mawaziri, akiwamo Stephen Wassira (Ofisi ya Rais-Mahusiano na Uratibu);Samuel Sitta (Ushirikiano wa Afrika Mashariki) na Bernard Membe (Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa), katika matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa, yaliyotangazwa jana.
Maeneo mengine, ambayo Chadema wametamba kuyatwaa na kuwa chini ya himaya yao, ni anakotoka Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe; Naibu Waziri wa...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/--LREYzIM-Ms/VFKUJyiDvvI/AAAAAAAAAUU/et19-Jt3wxI/s72-c/lowasa.jpg)
MJUE EDWARD LOWASSA MGOMBEA URAIS WA CHADEMA ANAYEBEBA BENDERA YA UKAWA
![](http://1.bp.blogspot.com/--LREYzIM-Ms/VFKUJyiDvvI/AAAAAAAAAUU/et19-Jt3wxI/s1600/lowasa.jpg)
Alisoma Shule Ya Msingi Ya Monduli (1967-1971), Shule ya Sekondari Arusha Kwa Kidato Kwa Kwanza hadi cha nne (1967-1971) na Shule ya Sekondari Milambo kwa kidato cha Tano Na Sita (1971-1973).
Ana Shahada ya Elimu na Sanaa kutoka Chuo Kikuu Cha Dar es
Salaam Aliyohitimu Mwaka 1977, Na Shahada ya Uzamivu Katika Maendeleo kutoka Chuo Kikuu...
11 years ago
Habarileo17 Dec
‘Bendera ya Muungano ni mali ya Zanzibar’
WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi wameambiwa kwamba bendera ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni mali ya sehemu mbili za Muungano, na inapepea Ofisi za Umoja wa Mataifa kwa ridhaa ya Zanzibar.