Dk Kigwangalla: Urais hauhitaji uzoefu
>Mbunge wa Jimbo la Nzega, Dk Hamis Kigwangalla ametangaza kwa mara ya pili kuwania urais wa Tanzania akitoa vipaumbele vitatu na kufafanua kuwa urais hauhitaji uzoefu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Kigwangalla: Ninautaka urais
10 years ago
Habarileo08 Sep
Mbunge Kigwangalla kugombea urais
MBUNGE wa Jimbo la Nzega, Dk Hamisi Kigwangalla ametangaza nia ya kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mkuu wa mwaka kesho.
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Kigwangalla atenga mapesa ya urais 2015
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wEFQUqercMI/VA9P7H3WZcI/AAAAAAAGiSk/uAglWUY1aes/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
Tamko rasmi la Dkt. Hamisi Kigwangalla Habari la Kutangaza Nia ya Kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwaka 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-wEFQUqercMI/VA9P7H3WZcI/AAAAAAAGiSk/uAglWUY1aes/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-q-tycRCDJkE/VDRxGaOBvEI/AAAAAAAGomc/aFwX7Ej_zYE/s72-c/download%2B(5).jpg)
Hotuba ya Dkt. Hamisi Kigwangalla, Mbunge wa Jimbo la Nzega na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya TAMISEMI Alipopokelewa Jimboni Nzega Baada ya Kutangaza Nia Kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
![](http://2.bp.blogspot.com/-q-tycRCDJkE/VDRxGaOBvEI/AAAAAAAGomc/aFwX7Ej_zYE/s1600/download%2B(5).jpg)
Nitumie fursa hii kwa namna ya kipekee kuwashukuru nyote kwa kuacha shughuli zenu kuja kunipokea na kushiriki mkutano huu. Mmenipa heshima kubwa sana na mimi nawajibika tu kusema ‘ahsanteni sana’.
Mimi hapa ni aidha mtoto wenu, mjukuu wenu ama mdogo wenu, mnapoacha shughuli zenu...
11 years ago
Habarileo15 Apr
'Vijana jitoleeni mpate uzoefu'
MOYO wa kujitolea kwa baadhi ya vijana haupo kutokana na wengi wao kutoandaliwa katika mazingira ya kuwahamasisha kujitolea na wengine kutopenda kufanya hivyo. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Sihaba Nkinga wakati akifungua semina elekezi kwa vijana wa kujitolea 27.
9 years ago
Habarileo14 Nov
Uzoefu, busara kumbeba Spika
WABUNGE jana walianza kujisajili kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kwanza wa Bunge la 11 wiki ijayo, huku wengi wao wakitoa maoni ya sifa wanazozitaka kwa Spika mpya wa Bunge hilo, zikiwemo uzoefu, busara, kujua kanuni na mwenye utayari wa kuyakabili mabadiliko.
11 years ago
Habarileo07 Jan
Ashauri watumie uzoefu wa ASP
AKINAMAMA wa CCM pamoja na jumuiya zake wametakiwa kutumia uzoefu wa wenzao wa Chama cha Afro Shirazi Party (ASP), ambao walipata mafanikio makubwa na kuendesha miradi yao kwa faida.
11 years ago
BBCSwahili21 Mar
Kwesi Appiah kupata uzoefu Liverpool