Kigwangalla atenga mapesa ya urais 2015
Mbunge wa Nzega (CCM), Dk Hamis Kigwangalla amesema amejiandaa vizuri kifedha kuzunguka nchi nzima kuusaka urais mwaka 2015, huku akijisifu kuwa ni mwadilifu asiye na chembe ya doa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi.jpg)
Tamko rasmi la Dkt. Hamisi Kigwangalla Habari la Kutangaza Nia ya Kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwaka 2015
.jpg)
11 years ago
Mwananchi08 Sep
Kigwangalla: Ninautaka urais
Mbunge wa Nzega, Dk Hamisi Kigwangalla (CCM) ametangaza nia ya kutaka kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu 2015, huku akisema siyo lazima uwe mtoto wa tajiri au kiongozi ndiyo uonyeshe kipaji chako.
11 years ago
Habarileo08 Sep
Mbunge Kigwangalla kugombea urais
MBUNGE wa Jimbo la Nzega, Dk Hamisi Kigwangalla ametangaza nia ya kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mkuu wa mwaka kesho.
10 years ago
Mwananchi08 Jun
Dk Kigwangalla: Urais hauhitaji uzoefu
>Mbunge wa Jimbo la Nzega, Dk Hamis Kigwangalla ametangaza kwa mara ya pili kuwania urais wa Tanzania akitoa vipaumbele vitatu na kufafanua kuwa urais hauhitaji uzoefu.
10 years ago
Vijimambo
Salamu za Mbunge wa Nzega -CCM Dr. Hamisi Kigwangalla kwa Watanzania , Mwaka Mpya 2015

Mbunge wa Nzega -CCM Dr Hamisi Kigwangalla-Ni Mwaka Mpya Tena! Dr. Hamisi Kigwangalla, MB.Ndugu Watanzania wenzangu,Kwa heshima na taadhima na kwa moyo wa kiutumishi, najisikia furaha kuwatumia salamu za Mwaka mpya 2015. Kwa hakika Mungu amekuwa mwema sana kwangu na kwako mwaka 2014 kwa namna nyingi mbalimbali, ila kwa kiasi kikubwa kwa kutujalia zawadi ya uhai, mafanikio kwenye kazi zetu, uvumilivu tulipoanguka, nguvu tulipokutana na changamoto mbalimbali, na uwezo wa kupambana nazo...
10 years ago
Vijimambo
Utabiri: Mgombea Urais kufa akitafuta urais 2015

Mrithi wa Mnajimu na Mtabiri wa Afrika Mashariki, Kati na Kusini, Marehemu Sheikh Yahya Hussein, Alhaj Maalim Hassan Yahya Hussein, ametabiri kwamba kiongozi mmoja mzee aliye kwenye kinyang'anyiro cha kuwania urais, atadondoka ghafla kwenye jukwaa na kufa mwakani.Amesema kiongozi huyo, ambaye hakumtaja jina, atafariki dunia baada ya tukio hilo wakati akikimbizwa hospitali.Alitangaza utabiri huo, alipozungumza na waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam jana, kuhusu kutumia kwa utabiri...
11 years ago
Michuzi.jpg)
Hotuba ya Dkt. Hamisi Kigwangalla, Mbunge wa Jimbo la Nzega na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya TAMISEMI Alipopokelewa Jimboni Nzega Baada ya Kutangaza Nia Kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
.jpg)
Nitumie fursa hii kwa namna ya kipekee kuwashukuru nyote kwa kuacha shughuli zenu kuja kunipokea na kushiriki mkutano huu. Mmenipa heshima kubwa sana na mimi nawajibika tu kusema ‘ahsanteni sana’.
Mimi hapa ni aidha mtoto wenu, mjukuu wenu ama mdogo wenu, mnapoacha shughuli zenu...
10 years ago
Mwananchi10 Oct
Malinzi awajaza mapesa Stars
Wakati nahodha wa Taifa Stars, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ akiuelezea ushindi wao wa nyumbani kuwa ni zawadi kwa Rais wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), Jamal Malinzi, rais huyo amewazawadia wachezaji hao Sh1 milioni kila mmoja.
10 years ago
Mwananchi14 Jan
Christian Bella atenga Sh68 milioni kujilipua kimataifa
Jaribu kufikiria mwimbaji wa nyimbo maarufu kama Safari Siyo Kifo, Yako Wapi Mapenzi, Nani Kama Mama, Usilie na nyinginezo anapoamua kutengeneza video na watayarishaji wakubwa Afrika nini kitatokea?
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania