Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Christian Bella atenga Sh68 milioni kujilipua kimataifa

Jaribu kufikiria mwimbaji wa nyimbo maarufu kama Safari Siyo Kifo, Yako Wapi Mapenzi, Nani Kama Mama, Usilie na nyinginezo anapoamua kutengeneza video na watayarishaji wakubwa Afrika nini kitatokea?

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Christian Bella: Video yangu ni milioni 17 tu

christNA MWALI IBRAHIM

MWANAMUZIKI mahiri wa muziki wa Dansi nchini, Christian Bella ‘King of the best melody’ ametamba kuwa video ya wimbo wake mpya wa ‘Nashindwa’ ndiyo bora kati ya nyimbo za dansi nchini. Bella alisema ubora huo unatokana na kuwekeza milioni 17 kwa ajili ya video hiyo ambayo picha zake zimefanyika nchini Afrika Kusini, ambapo sasa wanakumbwa na aibu ya kushambulia wageni. Bella alichambua kwamba gharama hizo zinatokana na usafiri, maandalizi yote na kukamilika kwa video hiyo...

 

10 years ago

Bongo5

Christian Bella adai fedha alizotunzwa kwenye fainali ya BSS ni shilingi milioni 3.2

Christian Bella amesema show yake ya fainali ya Bongo Star Search Ijumaa iliyopita, ilimuingiza fedha za kutunzwa nyingi zaidi kuliko show zote alizowahi kufanya. Bella ameiambia Bongo5 kuwa ni mara yake ya kwanza kutunzwa zaidi ya shilingi milioni 3 na hivyo anawashukuru watanzania kwa upendo wanaomwonyesha. “Unajua mimi nimekuwa nikitunzwa pesa nyingi lakini haikuwahi kufika […]

 

9 years ago

Bongo5

Bella kuja na ‘Christian Bella House of Talents’

12301240_431794427022691_698500110_n

Staa wa muziki, Christian Bella ameweka wazi mpango wake wa kuanzisha lebo yake ya muziki ‘Christian Bella House of Talents’ itakayosaidia vijana wenye vipaji vya kuimba.

12301240_431794427022691_698500110_n

Muimbaji huyo aliyeachia wimbo ‘Acha Kabisa’ akiwa na Koffi Olomide hivi karibuni, ameiambia Bongo5 kuwa anafanya hivyo ili kuwasaidia vijana wanaotaka msaada wake.

“Mpango wangu mkubwa kwa mwaka 2016 ni kuanzisha record label yangu ambayo itaitwa Christian Bella House of Talents,” amesema.

“Itakuwa inasaidia vijana wenye...

 

10 years ago

Bongo5

Nay wa Mitego atenga milioni 60 kukamilisha kolabo na msanii wa Nigeria

Rapper Nay wa Mitego amesema kuwa ametenga bajeti ya shilingi milioni 60 kukamilisha kolabo na msanii wa Nigeria. Nay ameiambia Bongo5 kuwa gharama hiyo inajumuisha gharama ya video ambayo amedai atafanya na Godfather wa Afrika Kusini. “Kolabo sio rahisi kama watu wanavyodhani,” amesema Nay. “Inatakiwa uwe na pesa za kutosha na ujiandae vizuri ndo maana […]

 

10 years ago

GPL

HAKUNA KAMA CHRISTIAN BELLA

Na Waandishi Wetu/Ijumaa Wikienda
Wikiendi iliyopita, dunia nzima ilikuwa ikiadhimisha siku ya Valentine’s Day au kwa Kiswahili Siku ya Wapendanao! Mambo yalinoga ndani ya Ukumbi wa Dar Live ambapo wakali wa mapenzi, Christian Bella ‘Obama’ na Mzee Yusuf walifanya yao na kuzikonga vilivyo nyoyo za maelfu ya mashabiki waliofurika, Ijumaa Wikienda lilikuwepo kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Mkali wa mapenzi,...

 

10 years ago

Bongo5

Music: Christian Bella — Umefulia

Wimbo mpya wa Christian Bella na Band yake ya Malaika Band unaitwa “Umefulia” Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

GPL

CHRISTIAN BELLA KUFANYA USIKU WA MASAUTI

Mwanamuziki Christian Bella (katikati), akiwa akieleza jambo juu ya shoo yake inayotarajiwa kufanyika Aprili 18 mwaka huu ndani ya Ukumbi wa Escape One Mikocheni jijini Dar es Salaam. Kushoto ni meneja wake John Mchaima ‘Simple’,  na kulia ni mmoja waratibu wa shoo hiyo, Rehema Jones. Mwanamuziki Christian Bella, akitoa kionjo cha wimbo wake kwenye kikao cha waandishi wa habari.…
...

 

10 years ago

GPL

CHRISTIAN BELLA AWASILI JIJINI DAR

Christian Bella akiongea na wanahabari (hawapo pichani) mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar jioni hii. MWANAMUZIKI Christian Bella 'King of the best melodies' ambaye pia ni prezidaa wa Malaika Band, jioni hii ametua jijini Dar es Salaam akitokea nchini Sweden alipokwenda kuijulia hali familia yake pamoja na kufanya shoo katika baadhi ya nchi za Ulaya. Staa huyo Jumamosi hii...

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Christian Bella — Ukimwona (Remix)

Huu ni wimbo ambao Christian Bella ameurudia wa Diamond Platnumz wimbo unaitwa “Ukimwona Remix” sikiliza hapa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani