Christian Bella atenga Sh68 milioni kujilipua kimataifa
Jaribu kufikiria mwimbaji wa nyimbo maarufu kama Safari Siyo Kifo, Yako Wapi Mapenzi, Nani Kama Mama, Usilie na nyinginezo anapoamua kutengeneza video na watayarishaji wakubwa Afrika nini kitatokea?
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania20 Apr
Christian Bella: Video yangu ni milioni 17 tu
NA MWALI IBRAHIM
MWANAMUZIKI mahiri wa muziki wa Dansi nchini, Christian Bella ‘King of the best melody’ ametamba kuwa video ya wimbo wake mpya wa ‘Nashindwa’ ndiyo bora kati ya nyimbo za dansi nchini. Bella alisema ubora huo unatokana na kuwekeza milioni 17 kwa ajili ya video hiyo ambayo picha zake zimefanyika nchini Afrika Kusini, ambapo sasa wanakumbwa na aibu ya kushambulia wageni. Bella alichambua kwamba gharama hizo zinatokana na usafiri, maandalizi yote na kukamilika kwa video hiyo...
10 years ago
Bongo515 Oct
Christian Bella adai fedha alizotunzwa kwenye fainali ya BSS ni shilingi milioni 3.2
9 years ago
Bongo515 Dec
Bella kuja na ‘Christian Bella House of Talents’

Staa wa muziki, Christian Bella ameweka wazi mpango wake wa kuanzisha lebo yake ya muziki ‘Christian Bella House of Talents’ itakayosaidia vijana wenye vipaji vya kuimba.
Muimbaji huyo aliyeachia wimbo ‘Acha Kabisa’ akiwa na Koffi Olomide hivi karibuni, ameiambia Bongo5 kuwa anafanya hivyo ili kuwasaidia vijana wanaotaka msaada wake.
“Mpango wangu mkubwa kwa mwaka 2016 ni kuanzisha record label yangu ambayo itaitwa Christian Bella House of Talents,” amesema.
“Itakuwa inasaidia vijana wenye...
10 years ago
Bongo510 Feb
Nay wa Mitego atenga milioni 60 kukamilisha kolabo na msanii wa Nigeria
10 years ago
GPL
HAKUNA KAMA CHRISTIAN BELLA
10 years ago
Bongo526 Oct
Music: Christian Bella — Umefulia
10 years ago
GPL
CHRISTIAN BELLA KUFANYA USIKU WA MASAUTI
10 years ago
GPL
CHRISTIAN BELLA AWASILI JIJINI DAR
10 years ago
Bongo514 Feb
New Music: Christian Bella — Ukimwona (Remix)