Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TIMU YA UONGOZI WA FEDHA ZANZIBAR YAIFUNGA TIMU YA CHUO UTALII 2-1

Naibu Waziri akikagua timuNaibu W#aziri akikagua timu
Mashabiki wakiingia uwanjani.Wachezaji wa timu zote wakiingia uwanjani kucheza soka iliyiachezewa uwanja wa Aman anzibar.
Mashabiki wakiingia uwanja wa AmanNaibu Waziri wa Mifugo akisalimiana na marefaMahsahibi wakiwa wakiwauwanjani

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

UZINDUZI WA USHIRIKIANO KATI YA BODI YA UTALII TANZANIA NA TIMU YA SUNDERLAND YA NCHINI UINGEREZA WAKATI WA MECHI YAO NA TIMU YA CHELSEA

Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imeshirikiana na Timu ya mpira wa miguu ya Sunderland ya Uingereza katika uzinduzi wa utangazaji utalii wa Tanzania pamoja na uhamasishaji wa uwekezaji na maendeleo ya michezo (Destination Partner in Tourism and Sports Development). Uzinduzi huo ulifanyika tarehe 29 Novemba, 2014 kwenye kiwanja cha “Stadium of Light”, kinachomilikiwa na Sunderland Association Football Club (SAFC).

Tukio hilo lilihudhuriwa na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Balozi Peter...

 

11 years ago

Michuzi

Timu ya Jamhiri ilivyoigaragaza timu ya Polisi Zanzibar kwa bao 1-0

Mshambuliaji wa timu ya Jamhuri Samir Said (kushoto) akiwania mpira wa juu na mchezaji wa timu ya Polisi Abdalla Mwalim katika mchezop wa Ligi kuu ya Grand Malta Zanzibar uliochezwa juzi kwenye Uwanja wa Aman, Zanzibar.Jamhuri ilishinda 1-0. Winga wa timu ya Polisi Mohamed Mohamed (kushoto) akiwania mpira na beki wa timu ya Jamhuri Mohid Said katika mchezo wa Ligi Kuu ya Grand Malta Zanzibar uliochezwa kwenye Uwanja wa Aman juzi. Jamhuri ilishinda 1-0. Mshambuliaji wa timu ya...

 

10 years ago

Michuzi

CHUO CHA UONGOZI WA FEDHA ZANZIBAR KUANZISHA MASOMO YA CHETI PEMBA

NA RAMADHANI ALI-MAELEZO
CHUO cha Uongozi wa Fedha Zanzibar (ZIFA) kitaanzisha Tawi lake Kisiwani Pemba kuanzia mwaka huu  wa masomo na kitaanza kufundisha  masomo ya   uongozi wa fedha ngazi ya cheti.
Akizungumza na waandishi wa Habari Makao Makauu ya ZIFA Chwaka, Kaimu Mkuu wa Taaluma Dkt. Iddi Salum Haji amesema wameamua kufungua Tawi  Pemba ili kuzipunguzia gharama  familia zenye  kipato cha chini.
Amesema utafiti uliofanywa na Chuo  umegundua  kuna vijana wengi Kisiwani Pemba waliomaliza...

 

10 years ago

Vijimambo

PAZI REUNION YAWEKA HISTORIA HOUSTON, TIMU YA TANZANIA YAIFUNGA GABON 64 KWA 57

Timu ya mpira wa kikapu ya Tanzania iliyocheza mechi ya mwisho ya kuhitimisha tamasha la Pazi Reunion iliyofanyika siku ya Jumamosi March 14, 2015 na kuhudhuriwa na na Watanzania kutoka kila sehemu ya Marekani.Timu ya Gabon iliyokuja kuunga mkono Pazi Reunion na baadae kucheza mechi ya mpira wa kikapu na timu mchanganyiko ya Tanzania na kufungwa vikapu 64 kwa 57.Mmoja wa waratibu wa Pazi Reunion Vitalis Gunda (kati) akiwashukuru Atiki Matata (kushoto) na Richard Kasesela kwa kuja kushiriki...

 

10 years ago

Dewji Blog

Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) na Timu ya mpira wa miguu ya Sunderland (SAFC) zatangaza utalii wa Tanzania Uingereza

1

Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mh. Peter Kallaghe na Garry Hutchinson Mkurugenzi wa Biashara wa timu ya mpira ya Sunderland wakionyesha jezi ya iliyoandikwa Tanzania yenye rangi za timu hiyo wakati wa uzinduzi rasmi wa matangazo ya Utalii wa Tanzania yanayotangazwa katika uwanja wa timu hiyo kutoka kulia ni Meneja wa Masoko wa Bodi ya Utalii Bw. Geofrey Meena, Teddy Mapunda mjumbe wa Bodi ya wakurugenzi ya (TTB) na kutoka kushoto ni Mdau wa Utalii Bw. Nestor Mapunda na Kaimu Mkurugenzi...

 

10 years ago

Vijimambo

BODI YA UTALII TANZANIA (TTB) TIMU YA MPIRA WA MIGUU YA SUNDERLAND (SAFC) ZATANGAZA UTALII WA TANZANIA UINGEREZA

1Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mh. Peter Kallaghe na Garry Hutchinson Mkurugenzi wa Biashara wa timu ya mpira ya Sunderland wakionyesha jezi ya iliyoandikwa Tanzania yenye rangi za timu hiyo wakati wa uzinduzi rasmi wa matangazo ya Utalii wa Tanzania yanayotangazwa katika uwanja wa timu hiyo kutoka kulia ni Meneja wa Masoko wa Bodi ya Utalii Bw. Geofrey Meena, Teddy Mapunda mjumbe wa Bodi ya wakurugenzi ya (TTB) na kutoka kushoto ni Mdau wa Utalii Bw. Nestor Mapunda na Kaimu Mkurugenzi...

 

5 years ago

Michuzi

TIMU YA VIJANA YA SIMBA YAIBUKA NA USHINDI WA MABAO 2- 0 DHIDI YA TIMU YA YANGA

Na Said Mwishehe,Michuzi Blogu
TIMU ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 wa Simba wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wapinzani wao Yanga katika mchezo wa utangulizi uliochezwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Mchezo wa timu hizo mbili ambao ulikuwa wa utangulizi kabla ya mechi ya timu ya Simba na Yanga wanaoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara. Mtangane ulianza saa nane mchana ambapo vijana hao kwa kila timu walionesha umahiri wao wa kusakata kabumbu licha ya umri walionao. Timu ya...

 

10 years ago

Michuzi

Timu ya Taifa Stars mpaka sasa inaongoza 3-0 dhidi ya timu ya Benin.

"Uzalendo kwanza" Shabiki wa timu ya Taifa Stars akishangilia  Mshambliaji wa Timu ya Taifa Stars,Thomas Ulimwengu akijaribu kumtoka Beki wa Timu ya Benin wakati wa Mchezo wao wa Kirafiki unaoendelea hivi sasa ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo,Taifa Stas inaongoza bao 3-0 mpaka sasa. Kiungo Mshambuliaji wa Taifa Stars,Amri Kiemba akiipatia timu yake bao la pili katika Mchezo wao wa Kirafiki unaoendelea hivi sasa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo,Taifa Stas...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani