Timu ya Jamhiri ilivyoigaragaza timu ya Polisi Zanzibar kwa bao 1-0
Mshambuliaji wa timu ya Jamhuri Samir Said (kushoto) akiwania mpira wa juu na mchezaji wa timu ya Polisi Abdalla Mwalim katika mchezop wa Ligi kuu ya Grand Malta Zanzibar uliochezwa juzi kwenye Uwanja wa Aman, Zanzibar.Jamhuri ilishinda 1-0.
Winga wa timu ya Polisi Mohamed Mohamed (kushoto) akiwania mpira na beki wa timu ya Jamhuri Mohid Said katika mchezo wa Ligi Kuu ya Grand Malta Zanzibar uliochezwa kwenye Uwanja wa Aman juzi. Jamhuri ilishinda 1-0.
Mshambuliaji wa timu ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-wunnLHpUvzk/VVt0I9IwmfI/AAAAAAADnvs/eHaQxTDcm5k/s72-c/unnamed.jpg)
TIMU YA UONGOZI WA FEDHA ZANZIBAR YAIFUNGA TIMU YA CHUO UTALII 2-1
![](http://4.bp.blogspot.com/-wunnLHpUvzk/VVt0I9IwmfI/AAAAAAADnvs/eHaQxTDcm5k/s640/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VKGyuln3ZZ0/VVt0NY0RHRI/AAAAAAADnv0/8yE-Lbkopd4/s640/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y23eP06eif0/VVtzqkm5S2I/AAAAAAADnu8/iAOTF8A8V0A/s640/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_-RPV7OtOQo/VVtzukBiK5I/AAAAAAADnvE/qp-kH9kmR3g/s640/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y4fzTTDcM0o/VVtzx5K4nlI/AAAAAAADnvM/2f5qVOxvxgM/s640/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JGPyptHD2Do/VVtz16SVKBI/AAAAAAADnvU/R2zj2qSXNzc/s640/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vi9doOien00/VVtz_6Xo9WI/AAAAAAADnvc/CiuBZs1Ljqw/s640/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UhG8RudvJvk/VVt0E7dAMdI/AAAAAAADnvk/C8IS84IHxYU/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-YfeWR9TFKNI/Va0De2WQO_I/AAAAAAAAWak/82cqhBYxmNo/s72-c/1%2B%25281%2529.jpg)
NMB BANK YALIPATIA JESHI LA POLISI VIFAA VYA MICHEZO, NI KWA AJILI YA TIMU ZA POLISI DAR NA MORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-YfeWR9TFKNI/Va0De2WQO_I/AAAAAAAAWak/82cqhBYxmNo/s640/1%2B%25281%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5jO6pjLYpIk/Ve1MY6FYGTI/AAAAAAAH3AA/c_hi7z6hDFs/s72-c/IMG-20150906-WA054.jpg)
TIMU YA EFM YAIBUKA NA USHINDI WA BAO 1-0 NA BAADAE MZIKI MNENE BAR KWA BAR MKURANGA MKOANI PWANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-5jO6pjLYpIk/Ve1MY6FYGTI/AAAAAAAH3AA/c_hi7z6hDFs/s640/IMG-20150906-WA054.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-M-3gtIbOCig/Ve1MZLJ2X0I/AAAAAAAH2_4/fGkY4wC9Pvs/s640/IMG-20150906-WA057.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8_jI_FqyPyU/Ve1MZyWq-ZI/AAAAAAAH3AM/viDZYeWmmuE/s640/IMG-20150906-WA067.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-obz3Bz6wjY4/Ve1MaXYZWtI/AAAAAAAH3AU/N0_W1qaCEWw/s640/IMG-20150906-WA069.jpg)
11 years ago
Michuzi30 Jun
KAGASHEKI CUP 2014: TIMU YA KAGONDO YAITUNGUA BUHEMBE FC BAO 1-0
10 years ago
MichuziNMB YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU ZA POLISI
Mkuu wa Kitengo cha Wateja binafsi wa benki ya NMB, Bw.Abdulmajid Nsekela( katikati) akimkabidhi vifaa vya Michezo Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Mary Nzuki kwa ajili ya Timu za Polisi ambazo ni Kombaini ya Polisi itakayoshiriki Michezo ya majeshi kwa nchi za kusini mwa Afrika nchini Swaziland pamoja na timu za mpira wa miguu za Polisi Dar es Salaam na Polisi Morogoro.Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Michezo Mrakibu mwanadamizi wa Polisi (SSP) Jonas Mahanga(Picha na Frank Geofray-Jeshi la...
10 years ago
Vijimambo31 Jan
Timu ya Simba SC, imeshinda bao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu leo Uwanja wa Taifa, Dar.…
![](http://api.ning.com/files/lQ0QUhfJdPH3clEPGgip55xJJqfb2yRLfvpv1jYYpHG7WGe1NvjVBbexK*lKZRoqwrmLn0XizapiW8qXb-am-abjsWdIBTTE/sserunkuma22.jpg?width=750)
Mshambuliaji wa Simba, Emanuel Okwi akishangilia katika moja ya mechi ya Ligi Kuu Bara.
Timu ya Simba SC, imeshinda bao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu leo Uwanja wa Taifa, Dar. Sasa ina pointi 16.Mfungaji kwa upande wa Simba ni Danny Sserunkuma kipindi cha kwanza na kipindi cha pili.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Zt1MqjoKB54/VDqcMjnFA6I/AAAAAAAGpkc/4-7jYWGstfg/s72-c/MMGM1237.jpg)
Timu ya Taifa Stars mpaka sasa inaongoza 3-0 dhidi ya timu ya Benin.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zt1MqjoKB54/VDqcMjnFA6I/AAAAAAAGpkc/4-7jYWGstfg/s1600/MMGM1237.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-F839fh-xuUg/VDqdD20esxI/AAAAAAAGplE/pR53zlJRhuk/s1600/MMGM1069.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DVHg3Z8zODY/VDqcQ8bQxUI/AAAAAAAGpkk/VikrHaNIwEg/s1600/MMGM1162.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3XoHDWc4q4Q/XmZAgyra22I/AAAAAAALiQE/JytjH8gDpvc4ycFivZiVxyDDvYXQE9McQCLcBGAsYHQ/s72-c/127-1270644_simba-sc-simba-sports-club-logo.png)
TIMU YA VIJANA YA SIMBA YAIBUKA NA USHINDI WA MABAO 2- 0 DHIDI YA TIMU YA YANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3XoHDWc4q4Q/XmZAgyra22I/AAAAAAALiQE/JytjH8gDpvc4ycFivZiVxyDDvYXQE9McQCLcBGAsYHQ/s400/127-1270644_simba-sc-simba-sports-club-logo.png)
TIMU ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 wa Simba wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wapinzani wao Yanga katika mchezo wa utangulizi uliochezwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mchezo wa timu hizo mbili ambao ulikuwa wa utangulizi kabla ya mechi ya timu ya Simba na Yanga wanaoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara. Mtangane ulianza saa nane mchana ambapo vijana hao kwa kila timu walionesha umahiri wao wa kusakata kabumbu licha ya umri walionao. Timu ya...