Balozi Dora Msechu apokea uongozi wa Kilimanjaro FC ubalozini na kukubali kuwa mlezi wa timu hiyo
Mhe. Balozi Dora Msechu ameupokea Ubalozini Ujumbe wa timu maarufu ya soka ya watanzania waishio Sweden, Kilimanjaro FC, ambao walikuja kumkabidhi Mhe. Balozi makombe waliyoshinda kwenye mashindano mbalimbali hapa Sweden. Mhe. Balozi Dora Msechu ameipongeza na kuishukuru Kilimanjaro FC kwa kuiwakilisha vyema nchi yetu kwenue fani ya michezo hapa Sweden na kuwahamasisha waongezee bidii zaidi na wasibweteke na mafanikio wanayoyapata.
Aidha, Mhe. Balozi Dora Msechu amekubali ombi la...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-qo1JZM4GwXg/VjOwyP1nGgI/AAAAAAAAj00/qsD7DU4ykRE/s72-c/IMG-20151009-WA0017.jpg)
APOKEA UONGOZI WA KILIMANJARO FC UBALOZINI NA KUKUBALI KUWA MLEZI WA TIMU HIYO
![](http://1.bp.blogspot.com/-qo1JZM4GwXg/VjOwyP1nGgI/AAAAAAAAj00/qsD7DU4ykRE/s640/IMG-20151009-WA0017.jpg)
Aidha, Mhe. Balozi Dora Msechu amekubali ombi la Kilimanjaro...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Q6CQqTkaWjg/VTiVlqyhaxI/AAAAAAAHStw/h-g7BxuMhtk/s72-c/unnamed%2B(96).jpg)
BALOZI DORA MSECHU AKUTANA NA WAFANYABIASHARA WA SWEDEN
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q6CQqTkaWjg/VTiVlqyhaxI/AAAAAAAHStw/h-g7BxuMhtk/s1600/unnamed%2B(96).jpg)
Mhe. Balozi Dora Msechu amewahamasisha Wafanyabiashara wa Sweden kuwekeza Tanzania kwa kuwaeleza fursa za uwekezaji zilizopo na mikakati ya Serikali ya Tanzania ya kuboresha miundombinu.
![](http://3.bp.blogspot.com/-c2beUaAcgxM/VTiVlQ-6cII/AAAAAAAHSts/yPWdhI1pv2A/s1600/unnamed%2B(95).jpg)
10 years ago
Michuzi25 Feb
BALOZI DORA MMARI MSECHU AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO DENMARK.
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/cWOOZT_d5i8l4s611r94JhCC-_HLQI9f9yDGMjE0SL4HZ0ipi8tjWW_ntW6orBTetFpHwAIfjzXJiHXnrJQRasUAaxdbraMo28JSXkaLg2nziksknBatSdPqtmBfxXj3HlqZZs2hNOvyui97vARGz-j91Y2a5dOynT9ScO_7nPLaX8ku6irvcYM-J5zSqNkFz9ZojsH3GXHvLM2GAuQ-hWfD7yUwKga7uxoxDwrWei9tRIsI8VOoQqyTZo-Ezo5e5Ah8peWfV1crTmxh1TLJMVGRPvppxtYP5rt3Usm1XztH5pryEKlY=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t34.0-12/11015176_10153062115000979_444594851_n.jpg?oh=9e0f9436e162020c3b5eb4e6cae6d5bd&oe=54EEB60D&__gda__=1424916857_8277096aeb9226c2db128c71c1d79f60)
Balozi wa Tanzania wa nchi za Nordic na Baltic Mhe. Dora Mmari Msechu akiongea na Watanzania waishia Denmark siku ya Jumamosi Februari 21, 2015 siku alipokutana nao kwenye Hafla iliyofanyika Radisson Blue Royal Hotel. Hammarichsgade 1, 1611 Kopenhagen..
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/YT3OyC2ak3-_V0Z5ek264HYtynPL3RlffYwsND5d6WpPR50KF3tCKI68VZZQSfR3IW0W80zzQy863dagNFo0zr5-S8xOZSTchF_XFZA-G4L638rBGKuZKDdrbLWlgCLVBxfOsSJNvbM6Fux32_O0_p2oHrF9zFqD0K7lopYnb0H1RVp4rxSDUmpFSQ7yYTWlBKNwFEXifjiPXl2B8dWs3lEqUsEcq99wT-377WvcJt-xywU9StR3lnoFGcK1-kJfb73FmCVaxWt083aXyQrLphvHsSzWGEZohZOk8j9l8qSo5LnWVjUufA=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t34.0-12/10997162_10153062115065979_1795591019_n.jpg?oh=b871dfbf9d8a50dcc83c944aa0527748&oe=54EE9BBB&__gda__=1424870634_934b219d21cd18b9d789309de8e0f664)
Balozi wa Tanzania wa nchi za Nordic na Baltic Mhe. Dora Mmari Msechu akisalimiana na watanzania waishio nchini Denmark siku ya Jumamosi Februari 21, 2015 Hafla iliyofanyika Radisson Blue Royal Hotel. Hammarichsgade 1, 1611 Kopenhagen..
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/uF460Vfr64fajibkdtDt0FY02zxQ3fCsQmaN2rP1l8bjnKMPBKhw0omhh9d5L62QzXD3wJdX9sFaTySeLHGiT0nBNqXMIDeXdCJiPD4tVWnQahOqFOzuYlBwZXYDcGm--tOIE9oy5lHM3G1kHgFWyfB8fHx-1N9d6KJSYwNgzlb65rxqV1KtgpRmSDLN2uHsGdur3QOe7-LH8Pwdq5YOyCO9wI4hqY-KdYp1gC7uFE0A6FsjgQ=s0-d-e1-ft#https://scontent-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/l/t1.0-9/11006387_10153061972320979_5742288817233753926_n.jpg?oh=392553e0e4c7a4e8ed34ce283e5ac935&oe=55529321)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lHe0Lt_mEC0/VMKGCYYcdXI/AAAAAAAG_ME/xCjPNqTOO5c/s72-c/unnamed%2B(22).jpg)
Balozi Dora Msechu awasilisha Hati za Utambulisho kwa Mfalme wa Norway
![](http://4.bp.blogspot.com/-lHe0Lt_mEC0/VMKGCYYcdXI/AAAAAAAG_ME/xCjPNqTOO5c/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-T7CYicJ1fMw/VMKGCbusZkI/AAAAAAAG_MI/PE_dNjFl5x0/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3F1cI4gDCJY/VOxr7e-A6qI/AAAAAAAHFk4/qIthBBDPDBI/s72-c/showpreview7.jpeg)
Balozi Dora Msechu awasilisha Hati za Utambulisho kwa Malkia wa Denmark.
![](http://2.bp.blogspot.com/-3F1cI4gDCJY/VOxr7e-A6qI/AAAAAAAHFk4/qIthBBDPDBI/s1600/showpreview7.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3_j1ByTnBBw/VOxr7HsJJgI/AAAAAAAHFk0/pZgTLychqfQ/s1600/showpreview1-800x596.jpeg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ydSTu5PT4Hc/VMozYS8y5hI/AAAAAAAHALQ/TjFArhd2eLo/s72-c/dsc_6837.jpg)
Balozi Dora Msechu awasilisha Hati za Utambulisho kwa Marais wa Latvia na Lithuania
![](http://1.bp.blogspot.com/-ydSTu5PT4Hc/VMozYS8y5hI/AAAAAAAHALQ/TjFArhd2eLo/s1600/dsc_6837.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1x-n_y4x1ZM/VMozabEn3WI/AAAAAAAHALg/b6c7WcVkxGo/s1600/dsc_6853%2B(1).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qnfpKeHkuRw/VMozYkdvqJI/AAAAAAAHALU/ggagaqHL1Zc/s1600/IMG_20150127_184722.jpeg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4zpIp_JvNGY/VIG1-jnwrlI/AAAAAAAG1bg/Qc0dgYuq8ls/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Balozi Dora Msechu awasilisha Hati zake za Utambulisho kwa Rais wa Finland
![](http://2.bp.blogspot.com/-4zpIp_JvNGY/VIG1-jnwrlI/AAAAAAAG1bg/Qc0dgYuq8ls/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zc1R7dAafbg/VIG1-pH6SWI/AAAAAAAG1bo/F-6Cds3Xq0A/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-W8-rVlBV_aE/VIG1-n9WO-I/AAAAAAAG1bk/RpK-aKddrfs/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xRfW9P_CKkU/VCoGJ8Iv5HI/AAAAAAAGmlQ/4GEKmfHQxMg/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
Taswira za Sherehe ya WaTanzania nchini Sweden na mkutano wa kumkaribis​ha balozi Dora Msechu
11 years ago
Dewji Blog17 May
Waziri Mkuu Pinda aagana na Balozi mteule wa Tanzania, nchini Sweden Dora Msechu
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Balozi Mteule wa Tanzania nchini Sweden, Dora Msechu kabla ya mazungumzo yao,ofisini kiwa Waziri Mkuu mjini Dodoma, May 16, 2014. Balozi huyo mteule alkwenda kuaga. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu Mkizengo Pinda akizungumza na Balozi Mteule wa Tanzania nchini Sweden, Dora Msechu, ofisini kwake mjini Dodoma May 16, 2014. Balozi huyo Mteule alikwenda kuaga. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10