Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UNAINGILIA NDOA YA MWANAO UNATAKA AKUOE WEWE?

Habari zenu wasomaji wa makala haya, mimi nimeamka salama, bila shaka wasomaji wangu ni wazima na mnaendelea vema na ujenzi wa taifa hili, kwa wagonjwa nawaombea heri mtapona. Tunaelekea uchaguzi mkuu siyo vema nikaanza mada bila kuwakumbusha kupiga kura ili kumchagua yule unayeona anafaa na kumbuka kupiga kura ili usije kujutia kuchaguliwa kiongozi na mtu.Wiki hii nimekuja na mada hii ya mama wakwe wanaopenda kuingilia ndoa za...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

UNAINGILIA NDOA YA MWANAO UNATAKA AKUOE WEWE?-2

Bila shaka yoyote mmeamka mkiwa na afya njema na mnaendelea vizuri sana katika ujenzi wa taifa letu. Baada ya hayo, tuendelee na mada yetu ambapo wiki hii tutaendelea na sehemu ya pili inayowahusu wakwe wanaopenda kuingilia ndoa za watoto wao ambapo wiki iliyopita tuliishia katika kipengele kinachohusiana na mtoto wako akishindwa kuoa si utamaliza waganga? Moja kwa moja utakuwa una maana kuwa hutaki mkwe, wamama wakwe wenye gubu...

 

10 years ago

GPL

UNATAKA ANAYEKUFAA, WEWE UNAMFAA?

NiJumanne nyingine tunakutana tena katika safu yetu ya Maisha na Mapenzi, vitu vinavyochukua sehemu kubwa ya maisha yetu ya kila siku.Leo ninazungumza nanyi kuhusu kutamani au kuwa na mtu anayekufaa katika uhusiano wa kimapenzi; je, wewe mwenyewe umejitathmini kama utamfaa? Ni ukweli usiopingika kuwa kila mtu maishani mwake anatamani kuwa na mwenza mzuri kitabia na kimuonekano ambaye atamfaa kimapenzi kwa shida na raha, katika...

 

10 years ago

GPL

SHOGA, IACHE NDOA YA MWANAO, HAIKUHUSU!

Hehehe… heeeeee, heiiiya, acha nicheke miye mwana wa marehemu, sijui wazazi wangu huko waliko wako katika hali gani, nawaombea kwa Mwenyezi Mungu awape kivuli chake siku ya kiama. Waweza ona nacheka ukadhani labda nimejawa na furaha, kumbe nafsi yangu imejaa karaha, imekereka kama siyo kukereheshwa. Kuna watu wengine kwa kweli kila kitu watende wao wakitenda wenzao huwa mwao, hutaka kuicheza ngoma hata kama siyo ya kwao,...

 

10 years ago

GPL

UNAMPENDA, UNATAKA NDOA

Ni wiki nyingine ambapo Mwenyezi Mungu ametujaalia kukutana katika busati letu la mahaba kujadiliana mambo mbalimbali yanayohusu uhusiano wa kimapenzi. Ni matumaini yangu kuwa mada ya wiki iliyopita ilikuingia vizuri na sasa unayafanyia kazi yale tuliyojadiliana. Karibu tena tujadiliane kuhusu mada ya leo kama inavyojieleza; unampenda na unataka kumuoa lakini hujui pa kuanzia, unapaswa kufanya nini? Maendeleo ya teknolojia...

 

9 years ago

BBCSwahili

Je unataka ndoa yako iwe na mvuto?

Je ungependa kuwa na ndoa thabiti na yenye huba ? Jifunze kugawanya majukumu na mumeo ama mkeo hapo nyumbani.

 

10 years ago

GPL

UNAMPENDA, UNATAKA NDOA LAKINI HUJUI PA KUANZIA?-2

Asalaam aleikum msomaji wa safu hii nzuri, ni matumaini yangu kwamba uko poa, nakukaribisha tena kwenye uwanja huu mzuri tujadili kuhusu mambo mbalimbali yahusuyo mapenzi.
Wiki iliyopita tulianza kujadili mbinu zinazoweza kumvuta mwanamke au mwanaume unayempenda na hatimaye mkafikia hatua ya kuishi pamoja mkiwa kama mume na mke. Nakushukuru wewe uliyetuma ujumbe nakueleza jinsi ulivyoguswa na mada hiyo au kutoa ushauri. Leo...

 

10 years ago

GPL

WEWE NDIYE MWENYE MPINI WA NDOA YAKO

KATI ya vitu vinavyochukua nafasi kubwa sana katika maisha ya wanadamu, wakivizungumza kila mara na hata kuomba ushauri, basi ni vile vinavyohusu mapenzi. Nimekuwa nikiandika mambo haya ya uhusiano na maisha, lakini asilimia kubwa ya ushauri ninaoombwa kutoka kwa watu mbalimbali ni juu ya kitu gani wafanye ili nyenendo zao za kimapenzi ziende sawa. Msichana ataomba ushauri juu ya nini afanye ili mvulana wake ampende na kijana...

 

9 years ago

GPL

HANA WIVU NA WEWE...HAKUFUATILII...MESEJI MPAKA UANZE WEWE... HUYO ANA MALENGO YAKE!

JAMANI pole na siasa. Naona zimepamba moto karibu kila kona ya nchi yetu ya Tanzania. Basi, wenye siasa zao tuwaachie, sisi tuendelee na mambo yetu.Wiki hii nina mada nzuri sana kwa wawili wanaopendana. Ningependa kila mmoja asome kwa umakini na ajue nini cha kufanya baada ya hapo. Mada inasema...hana wivu na wewe...hakufuatilii...meseji mpaka uanze wewe...Huyo ana malengo yake! Mpenzi wa hivi anaweza hata akawa anakulamba miguu...

 

11 years ago

GPL

UMEWAMALIZA MTAA MZIMA, NANI AKUOE?

Mmh! Kweli tuna macho lakini  hatuoni, tuna masikio lakini hatusikii, tukiitwa masanamu tutakasirika? Nasema tena kwa mdomo mpana, baadhi yetu wanawake ni masanamu yenye damu. Hata ukinichukia ndiyo hivyohivyo kama wewe ni mmoja wao unatakiwa kubadilika. Ujinga wetu wa kutotambua makusudi ya Mungu kukufanya mrembo, alikusudia kukurahisishia uonekane kwa urahisi na ili upate mume wa kukuoa. Uzuri wako unautumia vibaya mwisho wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani