Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UNATAKA ANAYEKUFAA, WEWE UNAMFAA?

NiJumanne nyingine tunakutana tena katika safu yetu ya Maisha na Mapenzi, vitu vinavyochukua sehemu kubwa ya maisha yetu ya kila siku.Leo ninazungumza nanyi kuhusu kutamani au kuwa na mtu anayekufaa katika uhusiano wa kimapenzi; je, wewe mwenyewe umejitathmini kama utamfaa? Ni ukweli usiopingika kuwa kila mtu maishani mwake anatamani kuwa na mwenza mzuri kitabia na kimuonekano ambaye atamfaa kimapenzi kwa shida na raha, katika...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

UNAINGILIA NDOA YA MWANAO UNATAKA AKUOE WEWE?-2

Bila shaka yoyote mmeamka mkiwa na afya njema na mnaendelea vizuri sana katika ujenzi wa taifa letu. Baada ya hayo, tuendelee na mada yetu ambapo wiki hii tutaendelea na sehemu ya pili inayowahusu wakwe wanaopenda kuingilia ndoa za watoto wao ambapo wiki iliyopita tuliishia katika kipengele kinachohusiana na mtoto wako akishindwa kuoa si utamaliza waganga? Moja kwa moja utakuwa una maana kuwa hutaki mkwe, wamama wakwe wenye gubu...

 

9 years ago

GPL

UNAINGILIA NDOA YA MWANAO UNATAKA AKUOE WEWE?

Habari zenu wasomaji wa makala haya, mimi nimeamka salama, bila shaka wasomaji wangu ni wazima na mnaendelea vema na ujenzi wa taifa hili, kwa wagonjwa nawaombea heri mtapona. Tunaelekea uchaguzi mkuu siyo vema nikaanza mada bila kuwakumbusha kupiga kura ili kumchagua yule unayeona anafaa na kumbuka kupiga kura ili usije kujutia kuchaguliwa kiongozi na mtu.Wiki hii nimekuja na mada hii ya mama wakwe wanaopenda kuingilia ndoa za...

 

10 years ago

GPL

FANYA HIVI KUMPATA ANAYEKUFAA-2

Karibu katika muendelezo wa mada yetu tuliyoanza wiki iliyopita, mada yetu inajieleza hapo juu.Tulijifunza wiki iliyopita kabla ya kutafuta atakayekufaa na kukupenda, wewe binafsi unapaswa kufanya yafuatayo; Jiepushe na makundi
Umri wa kijana ndiyo pekee wenye changamoto nyingi sana katika uso wa dunia kama vile ; vishawaishi, tamaa, majaribu na mengineyo. Kama kijana unapaswa uchague watu wa kuwa nao usipende kufuata mkumbo...

 

10 years ago

GPL

FANYA HIVI KUMPATA ANAYEKUFAA

NIjambo la kumshukuru sana Mungu kwa wapenzi wasomaji wa XXlove kukutana tena, wiki iliyopita tulizungumzia juu ya hakuna haja ya kuhuzunika kwa kuachwa, bali jipe moyo kwa sababu utampata akupendaye. Leo napenda tujifunze namna ya kufanya ili kumpata atakayekufaa kama mwandani wako. Miongoni mwa fumbo ambalo majibu yake huwa ni magumu kwa mwanadamu ni suala la kumpata mtu anayefaa katika uhusiano wa kimapenzi kama mume au...

 

9 years ago

GPL

HANA WIVU NA WEWE...HAKUFUATILII...MESEJI MPAKA UANZE WEWE... HUYO ANA MALENGO YAKE!

JAMANI pole na siasa. Naona zimepamba moto karibu kila kona ya nchi yetu ya Tanzania. Basi, wenye siasa zao tuwaachie, sisi tuendelee na mambo yetu.Wiki hii nina mada nzuri sana kwa wawili wanaopendana. Ningependa kila mmoja asome kwa umakini na ajue nini cha kufanya baada ya hapo. Mada inasema...hana wivu na wewe...hakufuatilii...meseji mpaka uanze wewe...Huyo ana malengo yake! Mpenzi wa hivi anaweza hata akawa anakulamba miguu...

 

10 years ago

GPL

UNAMPENDA, UNATAKA NDOA

Ni wiki nyingine ambapo Mwenyezi Mungu ametujaalia kukutana katika busati letu la mahaba kujadiliana mambo mbalimbali yanayohusu uhusiano wa kimapenzi. Ni matumaini yangu kuwa mada ya wiki iliyopita ilikuingia vizuri na sasa unayafanyia kazi yale tuliyojadiliana. Karibu tena tujadiliane kuhusu mada ya leo kama inavyojieleza; unampenda na unataka kumuoa lakini hujui pa kuanzia, unapaswa kufanya nini? Maendeleo ya teknolojia...

 

9 years ago

GPL

UNATAKA KUJIUNGA NA FREEMASONRY?

Katika matoleo zaidi ya kumi kwenye safu hii, nilieleza kwa kina historia ya Freemasonry ambayo ni jamii ya siri inayofanya mambo yake kwa siri huku ikihusishwa na mambo kibao ikiwemo imani ya kishetani na upatikanaji wa utajiri wa haraka.  Wiki iliyopita niliishia pale nilipokuwa nikizungumzia alama au nembo za Freemasons (wanachama). Sikuzungumzia ishara bali nilizungumzia sehemu ndogo mno ya alama zao. Nimelazimika kuruka...

 

10 years ago

GPL

UNATAKA KUREJESHA PENZI LILILOKUFA?

ASALAMALEIKUM ndugu zangu Waislamu ambao mpo ndani ya mfungu wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Bila shaka shaka swaumu inapanda na ishallah Mungu atawafanyia wepesi mtaumaliza mwezi huu salama. Nikirudi katika mada yangu ya leo, nazungumza zaidi na wale ambao walikuwa wapenzi lakini kutokana na sababu mbalimbali walifikia hatua ya kutofautiana. Penzi lao likaota mbawa. Wameona sera zao haziendani, wakaamua kuachana. Kila mmoja...

 

10 years ago

Mwananchi

Unataka kipigo! Chezesha polisi

Matukio ya waamuzi wa soka kupigwa katika michezo ya Ligi Daraja la Kwanza yamezidi kuongezeka katika siku za karibuni, huku kanuni zinazosimamia mchezo wa soka nchini zikiweka bayana adhabu zinazostahili kutolewa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani