Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UNATAKA KUREJESHA PENZI LILILOKUFA?

ASALAMALEIKUM ndugu zangu Waislamu ambao mpo ndani ya mfungu wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Bila shaka shaka swaumu inapanda na ishallah Mungu atawafanyia wepesi mtaumaliza mwezi huu salama. Nikirudi katika mada yangu ya leo, nazungumza zaidi na wale ambao walikuwa wapenzi lakini kutokana na sababu mbalimbali walifikia hatua ya kutofautiana. Penzi lao likaota mbawa. Wameona sera zao haziendani, wakaamua kuachana. Kila mmoja...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MBINU 10 ZA KUFUFUA PENZI LILILOKUFA

NI matumaini yangu kwamba msomaji wangu uko poa. Ni wiki nyingine tunapokutana kwenye busati letu ambapo tunajuzana na kujadiliana mambo mbalimbali kuhusu uhusiano wa kimapenzi. Nakushukuru wewe unayetuma ujumbe mfupi ukitoa maoni, kuchangia au kutaka ushauri kuhusu mambo mbalimbali, hata kama hujajibiwa elewa kwamba ujumbe wako umefika na utafanyiwa kazi.
Mada ya leo ni maalum kwa watu ambao tayari mpo kwenye uhusiano wa...

 

10 years ago

GPL

MBINU 10 ZA KUFUFUA PENZI LILILOKUFA -2

Namshukuru Mungu kwa kuniweka hai mpaka leo tunapokutana tena katika busati letu la mahaba, kuendelea kujadiliana kuhusu mada tuliyoianza wiki iliyopita ya mbinu za kufufua penzi lililokufa. Kabla hatujaendelea, tujikumbushe kwa kifupi tulichojadiliana wiki iliyopita. Nilikufafanulia tafsiri ya penzi lililokufa ni ile hali ya kuishi na mpenzi wako ambaye mlipendana sana mwanzoni lakini sasa kila kitu kimebadilika. Hampendani...

 

10 years ago

GPL

UNAMPENDA, UNATAKA NDOA

Ni wiki nyingine ambapo Mwenyezi Mungu ametujaalia kukutana katika busati letu la mahaba kujadiliana mambo mbalimbali yanayohusu uhusiano wa kimapenzi. Ni matumaini yangu kuwa mada ya wiki iliyopita ilikuingia vizuri na sasa unayafanyia kazi yale tuliyojadiliana. Karibu tena tujadiliane kuhusu mada ya leo kama inavyojieleza; unampenda na unataka kumuoa lakini hujui pa kuanzia, unapaswa kufanya nini? Maendeleo ya teknolojia...

 

9 years ago

GPL

UNATAKA KUJIUNGA NA FREEMASONRY?

Katika matoleo zaidi ya kumi kwenye safu hii, nilieleza kwa kina historia ya Freemasonry ambayo ni jamii ya siri inayofanya mambo yake kwa siri huku ikihusishwa na mambo kibao ikiwemo imani ya kishetani na upatikanaji wa utajiri wa haraka.  Wiki iliyopita niliishia pale nilipokuwa nikizungumzia alama au nembo za Freemasons (wanachama). Sikuzungumzia ishara bali nilizungumzia sehemu ndogo mno ya alama zao. Nimelazimika kuruka...

 

10 years ago

GPL

UNATAKA ANAYEKUFAA, WEWE UNAMFAA?

NiJumanne nyingine tunakutana tena katika safu yetu ya Maisha na Mapenzi, vitu vinavyochukua sehemu kubwa ya maisha yetu ya kila siku.Leo ninazungumza nanyi kuhusu kutamani au kuwa na mtu anayekufaa katika uhusiano wa kimapenzi; je, wewe mwenyewe umejitathmini kama utamfaa? Ni ukweli usiopingika kuwa kila mtu maishani mwake anatamani kuwa na mwenza mzuri kitabia na kimuonekano ambaye atamfaa kimapenzi kwa shida na raha, katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Unataka kipigo! Chezesha polisi

Matukio ya waamuzi wa soka kupigwa katika michezo ya Ligi Daraja la Kwanza yamezidi kuongezeka katika siku za karibuni, huku kanuni zinazosimamia mchezo wa soka nchini zikiweka bayana adhabu zinazostahili kutolewa.

 

10 years ago

GPL

LEOLEO HAPANA, LAKINI UNATAKA VOCHA?

LABDA akina dada wataona nimewaandama wao, kwa sababu hata katika toleo lililopita nilizungumza kuhusu wao, nikiwakumbusha kuhusu mambo madogomadogo yanayowashusha thamani katika kujenga uhusiano wao mpya. Mada yetu ya hapo juu inajielewa wazi. Kuna jambo moja sijui kama na nyinyi mnalifahamu; katika uhusiano wa kimapenzi, mara nyingi wanaume ndiyo huwa na papara sana, wanapenda mambo yaende harakaharaka, wamalize mchezo mapema....

 

9 years ago

GPL

UNATAKA KUZAA MAPACHA? SOMA HAPA-2

Leo namalizia kuwaletea makala haya yanayohusu elimu mpya ya uzazi, mwanamke yeyote anaweza kupata ujauzito wenye watoto mapacha hata kama si asili ya ukoo wake, ungana nami sehemu ya mwisho. WENYE TABIA HII NDIYO WANAONGOZA Wanawake wengi wanaoongoza kwa kushika mimba za mapacha ni wale ambao wakati wa kulala wanabadili staili mara kwa mara.Mara nyingi inashauriwa kuwa, mwanamke akishaingia kwenye siku zake za hatari kulingana...

 

9 years ago

GPL

UNATAKA KUZAA MAPACHA? SOMA HAPA

Leo nimeonelea kuwaletea elimu mpya kabisa ya uzazi ambapo mwanamke yeyote anaweza kupata ujauzito wenye watoto mapacha hata kama si asili ya ukoo wake. Nimetumia neno ‘mwanamke yeyote’ kwa sababu kuna imani ya miaka na miaka kwamba, si kila mwanamke anaweza kupata ujauzito bali itategemea na asili yake. IMANI ZA KALE KUHUSU UJAUZITO
Baadhi ya mila na desturi, hasa katika nchi za Kiafrika zinaamini kwamba, mwanamke kupata...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani