Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FANYA HIVI KUMPATA ANAYEKUFAA-2

Karibu katika muendelezo wa mada yetu tuliyoanza wiki iliyopita, mada yetu inajieleza hapo juu.Tulijifunza wiki iliyopita kabla ya kutafuta atakayekufaa na kukupenda, wewe binafsi unapaswa kufanya yafuatayo; Jiepushe na makundi
Umri wa kijana ndiyo pekee wenye changamoto nyingi sana katika uso wa dunia kama vile ; vishawaishi, tamaa, majaribu na mengineyo. Kama kijana unapaswa uchague watu wa kuwa nao usipende kufuata mkumbo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

FANYA HIVI KUMPATA ANAYEKUFAA

NIjambo la kumshukuru sana Mungu kwa wapenzi wasomaji wa XXlove kukutana tena, wiki iliyopita tulizungumzia juu ya hakuna haja ya kuhuzunika kwa kuachwa, bali jipe moyo kwa sababu utampata akupendaye. Leo napenda tujifunze namna ya kufanya ili kumpata atakayekufaa kama mwandani wako. Miongoni mwa fumbo ambalo majibu yake huwa ni magumu kwa mwanadamu ni suala la kumpata mtu anayefaa katika uhusiano wa kimapenzi kama mume au...

 

9 years ago

GPL

FANYA HIVI KURUDISHA UHUSIANO WAKO UPYA-2

Nianze kwa kumshukuru Mungu kwa kuninusuru kifo, mimi na rafiki zangu katika ajali mbaya ya gari letu kugongwa na Fuso, Septemba 8, mwaka huu maeneo ya Bondeni, Mbezi-Beach jijini Dar. Hakika Mungu ana kusudi na mimi katika kukuelimisha wewe msomaji wangu wa XXLove. Nanyi nawatakia afya njema, rafiki zangu waliojeruhiwa zaidi yangu katika gari tuliyopata nalo ajali naamini tumenusurika kifo.
Wiki iliyopita tulijifunza namna ya...

 

11 years ago

GPL

UPO KAMA DUME LA BATA FANYA HIVI

MUHALI gani mabibi na mabwana nina imani tumeuanza mwaka vizuri, najua mmenisubiri kwa hamu kutaka kujua nimekuja na mapya gani. Jamani hakuna jipya chini ya jua, zaidi ya kukumbushana tulivyo visahau. Leo  nami siwezi kuzipunguza raha zenu bali kuziongeza.
Nashukuru kwa wote mlionipongeza kwa kupata mafunzo ambayo hawakuyapata hapo awali, siyo wote wamepitia mafunzo ya utaratibu wa maisha ya jando na unyago. Kutokana na...

 

10 years ago

Bongo5

Unataka followers wengi Instagram, fanya hivi

Labda kama wewe ni staa, lakini kama ni mtu wa kawaida, kupata followers wengi kwenye Instagram sio rahisi. Lakini haya ni mambo kadhaa ambayo ukifanya huenda followers wakaongezeka. 1. Caption Beyoncé huweka picha nzuri sana kwenye Instagram lakini kama angekuwa anaziwekea caption, zingependeza zaidi. Hata hivyo huyo ni staa tayari hivyo hili linaweza lisiwe na […]

 

10 years ago

Vijimambo

SIYO DHAMBI KUMPENDA MPENZI WA MWENZAKO ILA FANYA HIVI

Utafiti ambao umefanyika unaonesha kuwa, asilimia kubwa wapo kwenye uhusiano na watu ambao siyo waliopangiwa na Mungu kuwa nao.Kutokana na hilo ndiyo maana utakubaliana na mimi kwamba, usaliti umekuwa ukishamiri, watu wamekuwa wakiachana kila siku na wengine kuendelea kuishi pamoja lakini si kwa amani.

Hii ni kwa sababu wameingia kwenye penzi na watu ambao si sahihi. Kutokana na mazingira hayo, haiwezi kuwa kitu cha ajabu mume wa mtu kutokea kumpenda sana mke wa mtu au kinyume chake.

Pia...

 

10 years ago

GPL

SIYO DHAMBI KUMPENDA MPENZI WA MWENZAKO ILA FANYA HIVI…

Utafiti ambao umefanyika unaonesha kuwa, asilimia kubwa wapo kwenye uhusiano na watu ambao siyo waliopangiwa na Mungu kuwa nao.Kutokana na hilo ndiyo maana utakubaliana na mimi kwamba, usaliti umekuwa ukishamiri, watu wamekuwa wakiachana kila siku na wengine kuendelea kuishi pamoja lakini si kwa amani. Hii ni kwa sababu wameingia kwenye penzi na watu ambao si sahihi. Kutokana na mazingira hayo, haiwezi kuwa kitu cha ajabu mume...

 

10 years ago

GPL

UNATAKA ANAYEKUFAA, WEWE UNAMFAA?

NiJumanne nyingine tunakutana tena katika safu yetu ya Maisha na Mapenzi, vitu vinavyochukua sehemu kubwa ya maisha yetu ya kila siku.Leo ninazungumza nanyi kuhusu kutamani au kuwa na mtu anayekufaa katika uhusiano wa kimapenzi; je, wewe mwenyewe umejitathmini kama utamfaa? Ni ukweli usiopingika kuwa kila mtu maishani mwake anatamani kuwa na mwenza mzuri kitabia na kimuonekano ambaye atamfaa kimapenzi kwa shida na raha, katika...

 

9 years ago

Bongo5

Zari: Diamond ananipenda hivi hivi pamoja na ninyi kuniona bibi!

12357542_428396244023192_1854107619_n

Kuna watu wanaodai kuwa make up ya Zari kwenye video ya Utanipenda! imemharibu na sasa mpenzi huyo wa Diamond amevunja ukimya na kuwajibu.

12357542_428396244023192_1854107619_n

Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Zari ameandika:

Need I remind some fools that this was a music video a lot of make up going on here and sometimes it just doesn’t do justice on a face, so if age is what is bothering you guess what, he knows there is a lot of young hoes out there but then again he prefers this old ass right here, so suck that up and take...

 

9 years ago

MillardAyo

Ni kweli Pep Guardiola kaamua hivi kuhusu Man City? Ujerumani wameandika hivi …

Kocha wa zamani wa klabu ya FC Barcelona ambaye kwa sasa anaitumikia klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani Pep Guardiola jina lake limekuwa likitumika kupamba headlines tofauti tofauti za magazeti ya michezo barani Ulaya na Afrika, hususani juu ya stori za kocha huyo kuhusishwa kutaka kujiunga na Man City ila Chelsea na Man United […]

The post Ni kweli Pep Guardiola kaamua hivi kuhusu Man City? Ujerumani wameandika hivi … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani