AMEKUSALITI, LAKINI BADO UNAMPENDA?-2
![](http://api.ning.com:80/files/4Ejr0qlHpqKDmqH4kb3JWCSXV514zpypF*tgR0F9Z1b7MnHPNOzI6KJ9aGxniMcsdThSpIuH-I0NBnL11fTZ0x6miGQoYmim/mahaba.jpg?width=650)
Ni wiki nyingine tena tunapokutana katika uwanja wetu huu mzuri wa kuzungumzia ishu za uhusiano wa kimapenzi. Wiki iliyopita niliiweka mada mezani juu ya nini cha kufanya inapotokea mwenzi wako amekusaliti ingawa ndani ya moyo wako bado unampenda sana. Inaonekana mada imewagusa wengi kwani nimepokea maoni kwa wingi, kila mmoja akieleza kwa uzoefu wake namna ya kushughulikia tatizo hili. Nakushukuru wewe uliyeshiriki kuchangia...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo03 Oct
AMEKUSALITI, LAKINI BADO UNAMPENDA?
![](http://uptownmagazine.com/files/2012/09/black-couple-technology-fight.jpg)
Mada yetu ya leo, kama inavyojieleza kwenye kichwa cha habari, ni mambo unayopaswa kuyafanya unapogundua mpenzi wako amekusaliti wakati bado unampenda na unahitaji kuendelea kuwa naye katika uhusiano wa kimapenzi.
Vitabu vya dini zote vinaeleza kuwa kosa pekee linaloweza kuivunja ndoa, hata ile...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aq07GQXjwH17JXayl7PJXiEXFpQjUT*MI6u9SRSpoGtXVNgmRDTTLJOtIB9W6GqFRfIiRqgP2oXsDzJbkYuoO57sCvqGo-qX/8xxlv.jpg?width=650)
AMEKUSALITI? BADO MNA NAFASI NYINGINE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BPpJiWHQYV1AUDkv9LzgivOCffRLyEwwRv1E1PLmNgg-Ut2w8Dp-aAQT2ApULCzno8M35y6oovVXrQ1AKncARZeLgzIIeeGJ/xxlove.jpg)
UNAMPENDA, UNATAKA NDOA LAKINI HUJUI PA KUANZIA?-2
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Jane: Waliniita mfu mtarajiwa lakini bado ‘nadunda’
9 years ago
Bongo519 Aug
Nimeshindwa lakini bado sijaikatia tamaa siasa — Keisha
9 years ago
Bongo Movies20 Aug
Keisha: Nimeshindwa Lakini Bado Sijaikatia Tamaa Siasa
Keisha ni mmoja wa wasanii walioshindwa kupitia kwenye kura za kuwapata wabunge wa viti maalum kupitia CCM lakini amesema hajakata tamaa.
Keisha ameiambia Bongo5 kuwa ingawa alishinda katika kura za maoni, katika kura za taifa aliibuka katika nafasi ya nne.
“Zile za kwanza zilikuwa ni kura za maoni nilishinda, then kulikuwa na kura za kitaifa ambapo nilikuwa mtu wa 4 katika watu 18,” alisema.
“Watu wanaotakiwa ni wawili, kwahiyo wawili ndio walioshida katika upande wa walemavu. Basi...
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
Hongereni wabunge, hongera rais lakini kazi bado ipo
HONGERENI sana wabunge. Hongera pia Rais Jakaya Kikwete kwa kuwafukuza kazi mawaziri wanne. Nilijisikia faraja kuona wabunge wa upinzani na chama tawala wakiwa wamoja katika hilo. Hongera Amiri Jeshi Mkuu...
9 years ago
Bongo528 Sep
Wanamuziki wengi bado wanaishi lakini muziki umekufa — Afande Sele
9 years ago
Bongo503 Dec
Adhabu ya Lord Eyez ilishaisha lakini hatujui kwanini bado haonekani ofisini – Weusi
![WEUSI_full](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/03/WEUSI_full-200x126.jpg)
Lord Eyez ni mmoja wa wasanii wa kundi na kampuni ya Weusi hadi sasa, lakini ni muda mrefu hajaonekana wala kazi zake kusikika kama wenzake kina Joh Makini, Nikki Wa Pili, Bonta na G-Nako.
Maswali ambayo Weusi wamekuwa wakiulizwa kuhusu Lord Eyez ni kuhusu kama bado yuko nao na kwanini hajasikika kwa muda mrefu.
Mwezi March mwaka huu Weusi walimsimamisha Lord Eyez kikazi kutokana na kukiuka maadili na sheria za kampuni yao, kufuatia taarifa kuwa alikamatwa na polisi kwa tuhuma za wizi wa...