Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nimeshindwa lakini bado sijaikatia tamaa siasa — Keisha

Keisha ni mmoja wa wasanii walioshindwa kupitia kwenye kura za kuwapata wabunge wa viti maalum kupitia CCM lakini amesema hajakata tamaa. Keisha ameiambia Bongo5 kuwa ingawa alishinda katika kura za maoni, katika kura za taifa aliibuka katika nafasi ya nne. “Zile za kwanza zilikuwa ni kura za maoni nilishinda, then kulikuwa na kura za kitaifa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Keisha: Nimeshindwa Lakini Bado Sijaikatia Tamaa Siasa

Keisha ni mmoja wa wasanii walioshindwa kupitia kwenye kura za kuwapata wabunge wa viti maalum kupitia CCM lakini amesema hajakata tamaa.

Keisha ameiambia Bongo5 kuwa ingawa alishinda katika kura za maoni, katika kura za taifa aliibuka katika nafasi ya nne.

“Zile za kwanza zilikuwa ni kura za maoni nilishinda, then kulikuwa na kura za kitaifa ambapo nilikuwa mtu wa 4 katika watu 18,” alisema.

“Watu wanaotakiwa ni wawili, kwahiyo wawili ndio walioshida katika upande wa walemavu. Basi...

 

10 years ago

GPL

AMEKUSALITI, LAKINI BADO UNAMPENDA?-2

Ni wiki nyingine tena tunapokutana katika uwanja wetu huu mzuri wa kuzungumzia ishu za uhusiano wa kimapenzi. Wiki iliyopita niliiweka mada mezani juu ya nini cha kufanya inapotokea mwenzi wako amekusaliti ingawa ndani ya moyo wako bado unampenda sana. Inaonekana mada imewagusa wengi kwani nimepokea maoni kwa wingi, kila mmoja akieleza kwa uzoefu wake namna ya kushughulikia tatizo hili. Nakushukuru wewe uliyeshiriki kuchangia...

 

10 years ago

Vijimambo

AMEKUSALITI, LAKINI BADO UNAMPENDA?

Namshukuru Jalali kwa kuniwezesha kukutana tena na wewe msomaji wangu mpendwa wa safu hii nzuri ambapo tunajuzana, kushauriana na kuelimishana kuhusu mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi.

Mada yetu ya leo, kama inavyojieleza kwenye kichwa cha habari, ni mambo unayopaswa kuyafanya unapogundua mpenzi wako amekusaliti wakati bado unampenda na unahitaji kuendelea kuwa naye katika uhusiano wa kimapenzi.

Vitabu vya dini zote vinaeleza kuwa kosa pekee linaloweza kuivunja ndoa, hata ile...

 

10 years ago

Mwananchi

Jane: Waliniita mfu mtarajiwa lakini bado ‘nadunda’

Jane hakuweza kukitegua kitendawili alichotega mumewe. Kilibaki kuwa ni fumbo kubwa kwa miaka mingi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hongereni wabunge, hongera rais lakini kazi bado ipo

HONGERENI sana wabunge. Hongera pia Rais Jakaya Kikwete kwa kuwafukuza kazi mawaziri wanne. Nilijisikia faraja kuona wabunge wa upinzani na chama tawala wakiwa wamoja katika hilo. Hongera Amiri Jeshi Mkuu...

 

9 years ago

Bongo5

Wanamuziki wengi bado wanaishi lakini muziki umekufa — Afande Sele

Rapper mkongwe nchini, Seleman Msindi maarufu kama Afande Sele, amesema wanamuziki wengi wanaweza kuwa hai lakini muziki wao umekufa. Afande ameiambia Bongo5 kuwa muziki umeingiliwa na wasanii wanaofanya biashara ya muziki bila kuwa na wito na kazi hiyo. “Wanamuziki wengi wa zamani wa kizazi kipya hata wale wa zamani akina Mbaraka, Majani wametangulia mbele ya […]

 

9 years ago

Vijimambo

TFF: RUKSA WACHEZAJI KUTUMIKA KATIKA KAMPENI ZA SIASA, LAKINI WASIVAE JEZI


SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesema halizuii mchezaji kufanya kampeni za siasa, isipokuwa wasitumie sare za kimichezo hususan zenye nembo za wadhamini.Hatua hiyo inafuatia TFF kubaini kuwepo kwa vitendo vya wanafamilia wa mpira wa miguu Tanzania kujihusisha na masuala ya Siasa wakiwa katika mavazi rasmi ya mpira ambayo yana nembo za klabu na wadhamini wa Ligi.Taarifa ya TFF imesema kwamba Katiba ya TFF ibara ya I (4) inatamka “TFF is neutral in matters of politics and religion....

 

9 years ago

Bongo5

Adhabu ya Lord Eyez ilishaisha lakini hatujui kwanini bado haonekani ofisini – Weusi

WEUSI_full

Lord Eyez ni mmoja wa wasanii wa kundi na kampuni ya Weusi hadi sasa, lakini ni muda mrefu hajaonekana wala kazi zake kusikika kama wenzake kina Joh Makini, Nikki Wa Pili, Bonta na G-Nako.

WEUSI_full

Maswali ambayo Weusi wamekuwa wakiulizwa kuhusu Lord Eyez ni kuhusu kama bado yuko nao na kwanini hajasikika kwa muda mrefu.

Mwezi March mwaka huu Weusi walimsimamisha Lord Eyez kikazi kutokana na kukiuka maadili na sheria za kampuni yao, kufuatia taarifa kuwa alikamatwa na polisi kwa tuhuma za wizi wa...

 

9 years ago

MillardAyo

Kuku kagoma kuliwa Christmas ??!! Cheki na hii, amechinjwa lakini bado anatembea.. (+Video)

Kuna stori huwa zinagonga vichwa vya habari na kutawala masikioni mwa wengi kwa sababu tu ya aina ya tukio lenyewe… pata picha ndio jana hiyo Christmas unamchinja kuku wa kitoweo alafu bado anatembea kama hajachinjwa hivi !! Hii ishu iliwahi kutawala sana mitandaoni huku wengine wakihusisha na imani za kishirikina, kuku kachinjwa kwa ajili ya […]

The post Kuku kagoma kuliwa Christmas ??!! Cheki na hii, amechinjwa lakini bado anatembea.. (+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani