Jane: Waliniita mfu mtarajiwa lakini bado ‘nadunda’
Jane hakuweza kukitegua kitendawili alichotega mumewe. Kilibaki kuwa ni fumbo kubwa kwa miaka mingi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo517 Jul
Wakongwe wenzangu wengi wamepigwa KO kimuziki, mimi nadunda bado — Dully Sykes
10 years ago
Vijimambo03 Oct
AMEKUSALITI, LAKINI BADO UNAMPENDA?
![](http://uptownmagazine.com/files/2012/09/black-couple-technology-fight.jpg)
Mada yetu ya leo, kama inavyojieleza kwenye kichwa cha habari, ni mambo unayopaswa kuyafanya unapogundua mpenzi wako amekusaliti wakati bado unampenda na unahitaji kuendelea kuwa naye katika uhusiano wa kimapenzi.
Vitabu vya dini zote vinaeleza kuwa kosa pekee linaloweza kuivunja ndoa, hata ile...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4Ejr0qlHpqKDmqH4kb3JWCSXV514zpypF*tgR0F9Z1b7MnHPNOzI6KJ9aGxniMcsdThSpIuH-I0NBnL11fTZ0x6miGQoYmim/mahaba.jpg?width=650)
AMEKUSALITI, LAKINI BADO UNAMPENDA?-2
9 years ago
Bongo519 Aug
Nimeshindwa lakini bado sijaikatia tamaa siasa — Keisha
9 years ago
Bongo Movies20 Aug
Keisha: Nimeshindwa Lakini Bado Sijaikatia Tamaa Siasa
Keisha ni mmoja wa wasanii walioshindwa kupitia kwenye kura za kuwapata wabunge wa viti maalum kupitia CCM lakini amesema hajakata tamaa.
Keisha ameiambia Bongo5 kuwa ingawa alishinda katika kura za maoni, katika kura za taifa aliibuka katika nafasi ya nne.
“Zile za kwanza zilikuwa ni kura za maoni nilishinda, then kulikuwa na kura za kitaifa ambapo nilikuwa mtu wa 4 katika watu 18,” alisema.
“Watu wanaotakiwa ni wawili, kwahiyo wawili ndio walioshida katika upande wa walemavu. Basi...
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
Hongereni wabunge, hongera rais lakini kazi bado ipo
HONGERENI sana wabunge. Hongera pia Rais Jakaya Kikwete kwa kuwafukuza kazi mawaziri wanne. Nilijisikia faraja kuona wabunge wa upinzani na chama tawala wakiwa wamoja katika hilo. Hongera Amiri Jeshi Mkuu...
9 years ago
Bongo528 Sep
Wanamuziki wengi bado wanaishi lakini muziki umekufa — Afande Sele
9 years ago
MillardAyo26 Dec
Kuku kagoma kuliwa Christmas ??!! Cheki na hii, amechinjwa lakini bado anatembea.. (+Video)
Kuna stori huwa zinagonga vichwa vya habari na kutawala masikioni mwa wengi kwa sababu tu ya aina ya tukio lenyewe… pata picha ndio jana hiyo Christmas unamchinja kuku wa kitoweo alafu bado anatembea kama hajachinjwa hivi !! Hii ishu iliwahi kutawala sana mitandaoni huku wengine wakihusisha na imani za kishirikina, kuku kachinjwa kwa ajili ya […]
The post Kuku kagoma kuliwa Christmas ??!! Cheki na hii, amechinjwa lakini bado anatembea.. (+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Bongo503 Dec
Adhabu ya Lord Eyez ilishaisha lakini hatujui kwanini bado haonekani ofisini – Weusi
![WEUSI_full](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/03/WEUSI_full-200x126.jpg)
Lord Eyez ni mmoja wa wasanii wa kundi na kampuni ya Weusi hadi sasa, lakini ni muda mrefu hajaonekana wala kazi zake kusikika kama wenzake kina Joh Makini, Nikki Wa Pili, Bonta na G-Nako.
Maswali ambayo Weusi wamekuwa wakiulizwa kuhusu Lord Eyez ni kuhusu kama bado yuko nao na kwanini hajasikika kwa muda mrefu.
Mwezi March mwaka huu Weusi walimsimamisha Lord Eyez kikazi kutokana na kukiuka maadili na sheria za kampuni yao, kufuatia taarifa kuwa alikamatwa na polisi kwa tuhuma za wizi wa...