Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakongwe wenzangu wengi wamepigwa KO kimuziki, mimi nadunda bado — Dully Sykes

Kama ingekuwa masumbwi, Dully Sykes anadai wasanii wakongwe wenzake wengi wamepigwa kwa Knock Out, lakini yeye bado anadunda tu. Dully ameiambia Bongo5 kuwa hiyo ndio tofauti kubwa aliyonayo dhidi ya wenzake. “Mimi ni tofauti na wasanii wote, mimi ni msanii nisiyetabirika, mimi ni bondia ambaye napigwa lakini sipigwi kwa Knock Out, mimi sipigwi kwa KO […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

NEW AUDIO: BELLA, BABY MADAHA FT DULLY SYKES - MIMI

Baby Madaha (kushoto) akipozi na Isabella Mpanda 'Bella' ndani ya studio za Global TV Online jana.

 

10 years ago

GPL

TANZIA: BABA MZAZI WA DULLY SYKES, MZEE SYKES AFARIKI DUNIA

Mzee Sykes enzi za uhai wake. Dully akiwa na baba yake mzazi, Mzee Sykes enzi za uhai wake. Baba…

 

10 years ago

Vijimambo

BABA MZAZI WA DULLY SYKES, MZEE SYKES AFARIKI DUNIA

Dully akiwa na baba yake mzazi, Mzee Sykes enzi za uhai wake.

 

10 years ago

Bongo5

Baba yake na Dully Sykes, Ebby Sykes afariki dunia

Baba mzazi wa Dully Sykes, Mzee Ebby Sykes amefariki dunian akiwa na umri wa miaka 62. Angetimiza miaka 63 February 24. Mtoto wake wa kike aitwaye Raya Sykes amethibitisha taarifa hizo kwenye mtandao wa Instagram. “Mungu akulaze mahali pema peponi baba angu mm nilikupenda lakin mungu alikupenda zaid nasikitika nipo mbali sitaweza kukuzika!ulikua ni mtu […]

 

10 years ago

CloudsFM

Hiki ndicho kilichomuua baba yake Dully Sykes,Mzee Ebby Sykes

Marehemu Mzee Abby Sykes ambaye ni Baba mzazi wa mwimbaji wa Bongo Fleva Prince Dullysykes, alifariki saa 8 mchana February 15 2015 akiwa hospitali ya taifa Muhimbili kwa ajili ya kupatiwa matibabu. Dullysykes ameongea na millardayo.com ikiwa ni pamoja na kuelezea kitu kilichosababisha umauti wa baba yake ambapo ameanza kwa kusema >>’Mzee alikua ana vidonda katika miguu na ndiyo chanzo kikubwa, sumu ikasambaa ikasababisha kifo chake, vidonda vilishindwa kupona kwa ajili ya moshi wa sigara...

 

10 years ago

Mwananchi

Jane: Waliniita mfu mtarajiwa lakini bado ‘nadunda’

Jane hakuweza kukitegua kitendawili alichotega mumewe. Kilibaki kuwa ni fumbo kubwa kwa miaka mingi.

 

9 years ago

Bongo5

Nawashauri vijana wenzangu waoe mapema kama mimi — Black Rhino

Rapper Black Rhino ni miongoni mwa wasanii wa Tanzania ambao tayari wameanzisha familia. Rhino ameoa na ana mtoto mmoja wa kike. Akizungumzia upande wa pili wa maisha yake mbali na muziki, Black Rhino ambaye ni mdogo wa Professor Jay a.k.a ‘mbunge mtarajiwa’, amesema kuwa licha ya kuoa miaka mitatu iliyopita lakini anajiona alichelewa sana. “Mimi […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani