Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KOSA DOGO UNATAKA MUACHANE, UNAMPENDA KWELI AU UNAZUGA?

Mpenzi msomaji wangu, leo nataka kuzungumzia kuhusu watu kuachana katika mazingira ambayo wengi wasingetarajia. Zipo ndoa ambazo zimefungwa kwa mbwembwe sana lakini hazikudumu na ukiuliza utaambiwa chanzo ni mambo madogomadogo tena ya kuvumilika. Yapo ambayo kiukweli hayavumiliki kabisa. Kuna sababu ambazo ukitajiwa kuwa ndizo zilizosababisha  flani na flani kuachana, utasema hata ingekuwa wewe usingeweza kuvumilia lakini...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

UNAMPENDA, UNATAKA NDOA

Ni wiki nyingine ambapo Mwenyezi Mungu ametujaalia kukutana katika busati letu la mahaba kujadiliana mambo mbalimbali yanayohusu uhusiano wa kimapenzi. Ni matumaini yangu kuwa mada ya wiki iliyopita ilikuingia vizuri na sasa unayafanyia kazi yale tuliyojadiliana. Karibu tena tujadiliane kuhusu mada ya leo kama inavyojieleza; unampenda na unataka kumuoa lakini hujui pa kuanzia, unapaswa kufanya nini? Maendeleo ya teknolojia...

 

10 years ago

GPL

UNAMPENDA, UNATAKA NDOA LAKINI HUJUI PA KUANZIA?-2

Asalaam aleikum msomaji wa safu hii nzuri, ni matumaini yangu kwamba uko poa, nakukaribisha tena kwenye uwanja huu mzuri tujadili kuhusu mambo mbalimbali yahusuyo mapenzi.
Wiki iliyopita tulianza kujadili mbinu zinazoweza kumvuta mwanamke au mwanaume unayempenda na hatimaye mkafikia hatua ya kuishi pamoja mkiwa kama mume na mke. Nakushukuru wewe uliyetuma ujumbe nakueleza jinsi ulivyoguswa na mada hiyo au kutoa ushauri. Leo...

 

10 years ago

GPL

KAMA KWELI UNAMPENDA UNAKUBALIJE KUMUACHA KIRAHISI?

Ninachotaka kukizungumzia leo ni kuhusu watu kuachana katika mazingira ambayo wengi wasingetarajia. Zipo ndoa ambazo zimefungwa kwa mbwembwe sana lakini hazikudumu na ukiuliza utaambiwa chanzo ni mambo madogomadogo tena ya kuvumilika. Yapo ambayo kiukweli hayavumiliki kabisa. Kuna sababu ambazo ukitajiwa kuwa ndizo zilizosababisha  flani na flani kuachana, utasema hata ingekuwa wewe usingeweza kuvumilia lakini kuna nyingine...

 

9 years ago

MillardAyo

Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 …

Mtu wangu wa nguvu bado ninazo headlines za michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa mwaka 2016, naomba nikusogezee video ya goli la Simba dhidi ya URA ya Uganda. Goli ambalo lilifungwa na Ibrahim Ajib dakika ya 37, baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa Mwinyi Kazimoto. Mtu wangu wa nguvu hii ni video ya sehemu ya […]

The post Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

GPL

DOGO LILA NA DOGO HILAL WAKIFANYA YAO NDANI YA DAR LIVE

Dogo Lila na Dogo Hilal wakifanya makamuzi ya nguvu ndani ya Dar Live.

 

10 years ago

Bongo5

Lady Jaydee ajibu habari ya gazeti la udaku kuwa na uhusiano na ‘Dogo Dogo’

Lady Jaydee ameamua kujibu habari iliyoandikwa kwenye gazeti la udaku la Risasi kuhusu kuwa na uhusiano na aliyewahi kuwa mtuma salamu maarufu kwenye redio, Meddy Ahmed aka ‘Mtoto wa Vitoto’. Kwenye habari hiyo, Risasi wanadai kuwa Jaydee ambaye anadaiwa kuachana na mume wake Gadner G Habash ameonekana mara kadhaa na Mtoto wa Vitoto na kwamba […]

 

10 years ago

GPL

NI LAZIMA MUACHANE KWA UGOMVI?

Nianze kwa kumshukuru Maulana kwa kunijalia kuiona siku hii ya leo nikiwa mzima wa afya. Ni matumaini yangu kwamba na wewe msomaji wangu uko poa kabisa, karibu jamvini tubadilishane mawazo na kujadili mambo mbalimbali yanayohusu uhusiano wa kimapenzi. Imewahi kukutokea kwamba licha ya kuwahi kumpenda au kupendana na mtu fulani, imefika hatua mambo yote hayawezi kuendelea tena, moyo umekinai, hisia zimekufa na jambo pekee...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani