Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NI LAZIMA MUACHANE KWA UGOMVI?

Nianze kwa kumshukuru Maulana kwa kunijalia kuiona siku hii ya leo nikiwa mzima wa afya. Ni matumaini yangu kwamba na wewe msomaji wangu uko poa kabisa, karibu jamvini tubadilishane mawazo na kujadili mambo mbalimbali yanayohusu uhusiano wa kimapenzi. Imewahi kukutokea kwamba licha ya kuwahi kumpenda au kupendana na mtu fulani, imefika hatua mambo yote hayawezi kuendelea tena, moyo umekinai, hisia zimekufa na jambo pekee...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KOSA DOGO UNATAKA MUACHANE, UNAMPENDA KWELI AU UNAZUGA?

Mpenzi msomaji wangu, leo nataka kuzungumzia kuhusu watu kuachana katika mazingira ambayo wengi wasingetarajia. Zipo ndoa ambazo zimefungwa kwa mbwembwe sana lakini hazikudumu na ukiuliza utaambiwa chanzo ni mambo madogomadogo tena ya kuvumilika. Yapo ambayo kiukweli hayavumiliki kabisa. Kuna sababu ambazo ukitajiwa kuwa ndizo zilizosababisha  flani na flani kuachana, utasema hata ingekuwa wewe usingeweza kuvumilia lakini...

 

10 years ago

Mwananchi

Baba mzazi ampiga kichanga cha mwezi kwa mchi kichwani, ni katika ugomvi

>Mtoto mchanga mwenye umri wa mwezi mmoja, Yadiko Chigoda amelazwa katika Hospitali ya Benjamini Mkapa wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma baada ya kupigwa na mchi kichwani na baba yake mzazi na kumsababishia maumivu makali.

 

10 years ago

GPL

KWA MAGUFULI LAZIMA WAKAE!

LAZIMA wakae! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia umati mkubwa kujitokeza kumsindikiza mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), John Pombe Magufuli (pichani)kwenda kuchukua fomu ya urais Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Posta-Mpya, jijini Dar, Amani linakupa mchapo kamili.  ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1gc063K

 

9 years ago

GPL

KWA HARUFU ILE NDOA LAZIMA IFE

Jamaa yangu kaja kunitembelea na mimi nilifurahi sana, maana sijaonana naye tangu tulipokuwa shule miaka hiyo. Kwa hiyo tulianza na stori za shule na kukumbuka wale jamaa wenye vituko tuliosoma nao, na kukumbushana vituko vyao. Kadiri muda ulivyokwenda nikagundua kuwa jamaa hana mpango wa kuondoka kwangu, basi nikajitayarisha kisaokolojia kuwa jamaa atalala hapa kwangu, kwa vile nilikuwa na chumba cha wageni haikunisumbua sana....

 

10 years ago

Raia Tanzania

Mabadiliko lazima kwa Rungwe mpya — Mwaitenda

MWANDISHI WETU

 

“JIMBO la Rungwe Magharibi hakuna ‘wakuja wala wafyeka msitu’ kila mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ametoa mchango wa hali na mali kukijenga na kukitangaza chama hiki, hivyo mchango wa kila moja uheshimiwe.”

 

Ni kauli ya Ahobokile Mwaitenda (38), aliyetangaza kuwania ubunge katika jimbo hilo kwa tiketi ya Chadema katika mahojiano na Raia Tanzania.

 

Mwaitenda alitoa kauli hiyo kutokana na makala iliyowahi kuandikwa na gazeti dada ya hili...

 

10 years ago

BBCSwahili

Israel yaidhinisha kuwalisha wafungwa kwa lazima

Bunge la Israeli, limepitisha sheria ya kuwalisha kwa lazima wafungwa ambao wanashiriki mgomo na kususia kula gerezani.

 

11 years ago

Mwananchi

Ataka umri wa kustaafu kwa lazima kuwa miaka 60

>Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Beatrice Shelukindo, amependekeza Katiba ijayo itoe haki ya kufanya kazi ili vijana wapate nafasi za kazi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Corona Virus:Dunia lazima ijiandae kwa janga, WHO yasema

Lakini shirika la afya la Umoja wa mataifa linasema mlipuko wa virusi vya corona ubado haujafikia kiwango cha kuitwa janga.

 

5 years ago

BBCSwahili

Bongekile Msibi mwanamke wa Afrika Kusini alifungwa kizazi kwa lazima

Bongekile Msibi ni mmoja wa wanawake 48 waliolazimishwa kufungwa kizazi katika hosptali za taifa nchini Afrika Kusini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani