Israel yaidhinisha kuwalisha wafungwa kwa lazima
Bunge la Israeli, limepitisha sheria ya kuwalisha kwa lazima wafungwa ambao wanashiriki mgomo na kususia kula gerezani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziNMB Yaidhinisha Shilingi Bilioni 52 kama gawio kwa wanahisa wake
Benki ya NMB imeidhinisha shilingi Bilioni 52 kama gawio kwa wanahisa wake ikiwa ni sehemu ya faida iliyopatikana kwa mwaka 2014.Gawio hilo ni sawa na Shilingi 104 kwa kila hisa moja na ikiwa ni ongezeko la asilimia 16 kutoka gawio la mwaka jana.
Gawio hilo ni kutokana na faida ya shilingi Bilioni 156 baada ya kodi iliyopatikana kwa mwaka 2014. Faida hiyo na gawio lililoidhinishwa ni Faraja kwa wanahisa wanaojivunia benki bora yenya matawi mengi kuliko benki yoyote Tanzania ikiwa na matawi...
Gawio hilo ni kutokana na faida ya shilingi Bilioni 156 baada ya kodi iliyopatikana kwa mwaka 2014. Faida hiyo na gawio lililoidhinishwa ni Faraja kwa wanahisa wanaojivunia benki bora yenya matawi mengi kuliko benki yoyote Tanzania ikiwa na matawi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bfi3pz1IPaQ/XoRo9U-BhOI/AAAAAAALlwI/TRZXOIhORDobTgw9AFrNaysiQsL12hXcgCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
BENKI YA DUNIA YAIDHINISHA KUTOA MKOPO WA DOLA ZA KIMAREKEANI MILIONI 500 KWA TANZANIA KUBORESHA SEKTA YA ELIMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-bfi3pz1IPaQ/XoRo9U-BhOI/AAAAAAALlwI/TRZXOIhORDobTgw9AFrNaysiQsL12hXcgCLcBGAsYHQ/s640/index.jpg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
BENKI ya dunia kupitia bodi ya wakurugenzi imeidhinisha kutolewa kwa mkopo wa dola za kimarekani milioni 500 (USD 500) kusaidia sekta ya elimu hasa kwa kuwawezesha vijana wa kitanzania kupata na kumaliza elimu ya Sekondari salama na katika mazingira bora.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Benki ya dunia imeelezwa kuwa pesa hizo zitawanufaisha wanafunzi milioni sita na nusu wa shule za sekondari kwa kuisaidia Serikali kuanzisha mifumo madhubuti kwa wanafunzi...
11 years ago
GPLGLOBAL WAFUNGWA MBILI KWA MOJA KWA TABU SANA
Kikosi cha Global Publishers kikiwa uwanja wa Barafu Mburahati. ...Kikosi cha Kigoma all stars' Kigoma Utd' kikiwa uwanja.…
11 years ago
BBCSwahili30 Jan
Ukraine yaidhinisha sheria ya msamaha
Bunge la Ukraine limeidhinisha sheria ya kutoa msamaha kwa waandamanaji wanaozuiliwa lakini upinzani umesusia kura hiyo.
10 years ago
BBCSwahili28 Jun
Ugiriki yaidhinisha kura ya maoni
Bunge la Ugiriki limeidhinisha kura ya maoni iliyokuwa imeitishwa na waziri mkuu wa nchi hiyo Alexis Tsipras
9 years ago
BBCSwahili03 Dec
Kamati kuu ya FIFA, yaidhinisha mageuzi
Kamati kuu ya shirikisho la mchezo wa soka duniani FIFA, imeidhinisha mageuzi yanayonuiwa kufufua hadhi ya shirikisho hilo lililokumbwa na kashfa nyingi.
11 years ago
Mwananchi26 May
Bodi yaidhinisha gawio la Sh7 bilioni
Kampuni ya Saruji ya Tanga (TCCL) kupita bodi yake ya wakurugenzi imeidhinisha gawio la hisa la Sh7 bilioni kwa wanahisa wake, baada ya kupata faida ya Sh32.4 bilioni kwa mwaka 2013.
11 years ago
Habarileo17 May
500/- kwa milo 3 ya wafungwa yapingwa
BAJETI ndogo ya chakula cha wafungwa ya Sh 500 kwa siku, maslahi madogo pamoja na makazi duni kwa askari walio chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, vimevaliwa njuga na wabunge ambao wametaka Serikali iiongezee wizara fedha katika bajeti ijayo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vOQMXCMD519XFFTBErI7H9DSWSUefrG7Ze-SrjzG8RS7h4OM6CZmF060caFeo6goVMv0M433Kuofg2*AtWytsxZVe8Xu2*C5/Magufuli.gif?width=650)
KWA MAGUFULI LAZIMA WAKAE!
LAZIMA wakae! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia umati mkubwa kujitokeza kumsindikiza mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), John Pombe Magufuli (pichani)kwenda kuchukua fomu ya urais Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Posta-Mpya, jijini Dar, Amani linakupa mchapo kamili. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1gc063K
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania