KWA MAGUFULI LAZIMA WAKAE!
![](http://api.ning.com:80/files/vOQMXCMD519XFFTBErI7H9DSWSUefrG7Ze-SrjzG8RS7h4OM6CZmF060caFeo6goVMv0M433Kuofg2*AtWytsxZVe8Xu2*C5/Magufuli.gif?width=650)
LAZIMA wakae! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia umati mkubwa kujitokeza kumsindikiza mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), John Pombe Magufuli (pichani)kwenda kuchukua fomu ya urais Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Posta-Mpya, jijini Dar, Amani linakupa mchapo kamili. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1gc063K
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania22 Aug
Lazima wakae Ngao ya Jamii
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
LAZIMA wakae! Hizo ndizo tambo za mashabiki, makocha wa timu za Azam na Yanga kuelekea mchezo wao wa kuwania Ngao ya Jamii utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam saa 10.00 leo jioni.
Mchezo huo wa aina yake ni kwa ajili ya kufungua pazia la Ligi Kuu ya Vodacom msimu wa 2015/16, utakaoanza rasmi Septemba 12, mwaka huu.
Kocha Mkuu wa Azam, Mwingereza Stewart Hall, amesema kuwa anataka kuendeleza rekodi yake ya kutwaa mataji mfululizo kwa kuifunga Yanga...
5 years ago
BBCSwahili13 Mar
Magufuli: Atahadharisha kutofanya safari za lazima kuepuka virusi vya corona
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ltfAP60l5Q4/XuBaXfBg57I/AAAAAAALtRE/05ElMpXks18cWHTyVZ06AyXk3G8CTQO9wCLcBGAsYHQ/s72-c/kessy24.jpg)
MBUNGE KESSY ASEMA RAIS DK.MAGUFULI, ATAKE ASITAKE LAZIMA AONGEZEWE MUDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ltfAP60l5Q4/XuBaXfBg57I/AAAAAAALtRE/05ElMpXks18cWHTyVZ06AyXk3G8CTQO9wCLcBGAsYHQ/s400/kessy24.jpg)
Na Said Mwishehe,Michuzi TVMBUNGE wa Jimbo la Nkasi Ally Kessy(CCM) ameliambia Bunge kuwa kuna kila sababu ya Rais Dk. John Magufuli aongezewe muda wa kuwa Rais huku akisisitiza kuwa Rais atake au asitake lazima aongeze muda.
Amesema yeye(Kessy) amekuwa akipata tabu sana kwani amekuwa akiulizwa na marafiki zake wa ndani na nje ya nchi kwamba baada ya Magufuli nani anafuata lakini jibu lake analowajibu ni kwamba Rais...
10 years ago
Dewji Blog20 Aug
Tishio la EBOLA, wananchi wakae chonjo
Pichani ni baadhi ya Daktari wakiwa wamembeba mgonjwa wa EBOLA picha kwa hisani ya Mtandao.
Na Hannah Mayige, wa Chuo Kikuu Huria, OUT
TISHIO la ugonjwa wa Ebola unaoendelea kuuwa mamia ya watu Afrika Magharibi, umezua wasiwasi mkubwa kwa nchi za Afrika na dunia nzima kwa ujumla na kutakiwa watanzania kuchukua tahadhari kubwa kudhibiti ugonjwa huo usiingie nchini.
Lazima Serikali na wananchi wazingatie masharti na tahadhari inayotolewa kimataifa kuudhibiti ugonjwa na utayari...
10 years ago
Mwananchi24 Mar
JK awaambia polisi wakae mguu sawa
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
Sugu ataka wenzake wakae majimboni
MBUNGE wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi (CHADEMA), amesema wabunge wanatakiwa kutambua majimboni si sehemu ya kupakimbia na wapaone kuwa ni nyumbani kwao. Alitoa kauli hiyo jana bungeni alipokuwa akizungumza na...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-l6X5Q-ML5mc/XuHt0KJcwBI/AAAAAAABMVE/yZY_DPY_Q7QrCAKF345XPche8IrvctxJACLcBGAsYHQ/s72-c/EaN3nhxXYAEHQAl.jpeg)
"PIGA UA GARAGAZA" MJI WA SERIKALI WA MTUMBA LAZIMA UITWE MAGUFULI CITY-JAFO
![](https://1.bp.blogspot.com/-l6X5Q-ML5mc/XuHt0KJcwBI/AAAAAAABMVE/yZY_DPY_Q7QrCAKF345XPche8IrvctxJACLcBGAsYHQ/s400/EaN3nhxXYAEHQAl.jpeg)
9 years ago
Mwananchi16 Aug
Polisi wasitoe amri, wakae na vyama vya siasa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1asLTm0wi-vvNdKXI20aYYMxFd4bszW6n4v6u4uKvVkNP0x7jzIihE*qNKX3nHRGfqS*X5-*9lLEFtr4Ikbz-nMaZteVRqSf/XXLV.jpg)
NI LAZIMA MUACHANE KWA UGOMVI?