Baba mzazi ampiga kichanga cha mwezi kwa mchi kichwani, ni katika ugomvi
>Mtoto mchanga mwenye umri wa mwezi mmoja, Yadiko Chigoda amelazwa katika Hospitali ya Benjamini Mkapa wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma baada ya kupigwa na mchi kichwani na baba yake mzazi na kumsababishia maumivu makali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo30 Jul
Ndugai ampiga mpinzani wake fimbo kichwani
MCHAKATO wa kura za maoni ya Ubunge katika Jimbo la Kongwa, juzi uliingia dosari baada ya Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai anayeomba ridhaa ya kutetea ubunge wake kudaiwa kumpiga hadi kuzirai mgombea mwenzake.
11 years ago
Habarileo12 Apr
Hakimu ampiga risasi Muasia ugomvi wa hawara
HAKIMU wa Mahakama ya Mwanzo ya Maromboso, David Shayo (40), anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani hapa kwa kosa la kumpiga risasi mfanyabiashara mwenye asili ya kiasia, kwa kile kinachodaiwa kuwa ni ugomvi wa kugombea mwanamke.
11 years ago
Michuzi04 Apr
11 years ago
GPLKICHANGA KILICHOOPOLEWA CHOONI TANGA CHATIMIZA MWEZI MMOJA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5B-ypsnWBOk/Xrvm95noidI/AAAAAAALqEE/EFKPFfXM9pADMwBHW90bZ615-qmAbbHlgCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
WATU WANNE WASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI KWA TUHUMA ZA KUMUUA BABA YAO MZAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-5B-ypsnWBOk/Xrvm95noidI/AAAAAAALqEE/EFKPFfXM9pADMwBHW90bZ615-qmAbbHlgCLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
JESHI la Polisi mkoani Katavi linawashikilia watu wanne,watatu wakiwa familia moja kwa tuhuma za kumuuwa kwa kumkata na kitu chenye ncha kali shingoni na sehemu za siri Baba yao Lumba Nhalima(57).
Tukio hilo limetokea jana majira ya saa 3 usiku katika kijiji cha Kasekese wilaya ya Tanganyika mkoa wa Katavi wakati marehemu akitoka kunywa pombe na kuelekea nyumbani.
Akithibitisha tukio hilo,Kamanda wa Polisi mkoa wa Katavi Benjamin Kuzaga alisema, siku ya tukio watuhumiwa walimnywesha pombe...
5 years ago
Bongo514 Feb
Tanzia: Baba yake mzazi na Belle 9 afariki dunia kwa kugongwa na boda boda
Abedinego Damian aka Belle 9 amepata msiba mzito.
Baba yake mzazi amefariki dunia usiku wa kuamkia leo. Meneja wake, Jahz Zamba, ameiambia Bongo5 kuwa Mzee Damian amefariki dunia baada ya kugongwa na boda boda iliyokuwa kwenye mwendo mkali huko mjini Morogoro alikokuwa anaishi.
Alivunja mguu mmoja pale pale na kujeruhiwa vibaya kabla ya kupelekwa hospitali. Dereva wa boda boda naye ameumia vibaya ikiwemo kuvunjika taya na kujeruhiwa kichwa. Jahz amesema baada ya Mzee Damian kupelekwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79xb1yI4El*55dTy0MioSJoUxV9DIPODaG3zzFksfYJAQxJ6kcwfkqfLxoRLE-NCS9w7D7ZeH5KV4D6AQK*OeO5B54ByHIfu/Back.jpg?width=650)
BABA MZAZI KANIBAKA MIEZI 2
10 years ago
VijimamboMAZISHI YA MAMA YAO MZAZI WA WANAHABARI DOTTO, KULWA NA NICO MWAIBALE KATIKA KIJIJI CHA KIBUMBE RUNGWE MBEYA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-WWbse34cnM4/VJF5mMKLvLI/AAAAAAAAyAM/71vn_M9V7tM/s1600/IMG-20141217-WA0046.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-W-6W-ihyXR0/VJF5f82Jg7I/AAAAAAAAx_8/x--PHwg3Dl8/s1600/IMG-20141217-WA0042.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8lTCMgzhDLc/VJF5fXHVDYI/AAAAAAAAx_s/GF_RQIi_4iY/s1600/IMG-20141217-WA0025.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-sEfeJQ6lSi0/VJF5fRP7WpI/AAAAAAAAx_w/EQZ_Anzsi84/s1600/IMG-20141217-WA0028.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eJOurMoyKQo/VJF5mCV4AnI/AAAAAAAAyAQ/9zD6WcOT2vM/s1600/IMG-20141217-WA0045.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5W1fGMD3XQRJCfu69yf4lwKDpYPQ-SpV*gLgRihahpgcE5Cw92SKmr9N2V0Ud0QTtL8U3OnVd4V5jDiUEd1LptFBkkhdc*5S/11.jpg)
ESTER: BABA MZAZI ALINIKATAZA KUIGIZA